Jamii FM
Jamii FM
19 December 2022, 11:32 am
Na Grace Hamisi Sikiliza kipindi hiki maalumu juu ya jamii inavyopambana katika kumlinda mtoto dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia. Sikiliza hapa
19 December 2022, 11:27 am
Na Grace Hamisi sikiliza makala haya juu ya kinachotokea kwa wanawake mara baada ya msimu wa korosho kuisha. Sikiliza Hapa
19 December 2022, 11:14 am
Na Grace Hamisi Sikiliza kipindi ambacho kimeandaliwa na mwandishi wetu juu ya uhuru wa mwanamke katika kujieleza pale anapokuwa katika maeneo ya kazi. Sikiliza hapa
2 December 2022, 17:32 pm
Na Mussa Mtepa Wakulima wameshauriwa kuacha kilimo cha mazoea na kuanza kufuata taratibu zinazoelekezwa na wataalamu wa kilimo. Akizungumza na Jamii fm Radio afisa utabiri wa hali ya hewa kutoka kituo cha utafiti na kilimo TARI Naliendele Omari Rashidi Kahoki…
30 November 2022, 18:07 pm
Na Musa Mtepa, Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya imejipanga kuweka adhabu kali kwa watu wote wanaojihusisha uuzaji na madawa ya kulevya ikiwemo Walimaji na watumiaji wa Bangi nchini. Wakiwa kwenye Wiki ya Maadhimisho ya siku ya…
30 November 2022, 13:12 pm
Na Gregory Millanzi. Afisa sheria Mkuu wa Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za Kulevya nchini, Christina Rweshabura amesema kuwa ukibainika kujihusisha na kilimo cha bangi na Mirungi , sheria inatoa kifungo cha miaka 30 jela. Rweshabura amesema kuwa,…
30 November 2022, 12:12 pm
Na Mohamed Massanga Chanjo ya uviko 19 imekuwa na mapokezi mazuri kwa jamii ya watu wa mkoa wa mtwara na lindi, sikiliza kipindi hiki upate elimu juu ya chamjo na usikilize shuhuda za watu waliochanja.
28 November 2022, 14:54 pm
Waziri wa Nishati, Januari Makamba akiwa kwenye utiaji saini mkataba wa uzalishaji na ugawanaji mapato (PSA) kitalu cha Ruvuma – Mtwara, Waziri Makamba amesema >> ‘Ndugu zangu wa Lindi na MTWARA – sasa nchi yetu inaanza kuingia kwenye uchumi wa…
24 November 2022, 15:00 pm
Na Gregory Millanzi. MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA ) Mkoa wa Mtwara imevuka lengo la kukusanya Shilingi Bilioni 8.902 kati ya Julai na Septemba 2022 ikiwa sawa na asilimia 110 .67 ya lengo la kukusanya Shilingi Bilioni 8.043 kwa Kipindi…
21 November 2022, 15:50 pm
Na Gregory Millanzi. Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani imetumia shilingi milioni ishirini na saba na laki nane (27,800,000) kutoka katika mapato yake ya ndani kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za afua za lishe kwa Watoto wenye umri chini ya…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.