Jamii FM
Jamii FM
29 April 2023, 14:52 pm
Na Musa Mtepa Kutokana na kukuwa kwa Technolojia Binadamu ameweza kubadilika na kuendana na mazingira husika yanayoendana na mabadailiko hayo ambayo sio tu kwa wakazi wa mijini bali hata katika maeneo ya Vijijini. Zamani ukienda vijijini na kukutana na Mzee…
28 April 2023, 11:18 am
Na Msafiri Kipila Kutokana na mabadiriko makubwa kwenye nyaja ya elimu, technolojia na utamaduni, tunu ya vijana imekuwa tofauti na wazee, vijana wanaona kuishi kwa tamadauni za mababu ni kupitwa na wakati, Wazee wamezungumza na Jamii fm kwenye makala haya…
11 April 2023, 12:17 pm
Na Musa Mtepa Mifumo ya usaidizi ni muhimu ili watu wenye ulemavu waweze kuishi maisha yenye utu, waweze kujitegemea na wawe huru zaidi, haya ni maneno yaliyosemwa Machi 13 2023 kwenye mkutano wa ‘’Mtazamo wa Kimataifa wa Habari za kiutu’’ huko…
10 April 2023, 11:29 am
Na Mussa Mtepa Uwepo wa mtandao wa gesi asilia kwaajili ya kupikia katika baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Mtwara kumesaidia kumtunza mazingira na muda wa kukaa jikoni kwaajili ya maandalizi ya chakula. Katika makala haya utasikia wanufaika mbalimbali wa…
8 April 2023, 13:28 pm
Mama mjamzito akiwa anatumia madawa ya kulevya zinamuathili mama mwenyewe na kwenye mfumo wake wa uzazi na kupelekea mtoto kuathirika moja kwa moja kama ambavyo mama anaathirika kwa dawa hizo, na kupelekea mtoto kuwa na uraibu na wakati mwingine husababisha…
1 April 2023, 23:18 pm
Na Mwandishi wetu. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa amewataka wakimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa kukagua miradi yote kwa umakini na kuishauri Serikali hatua za kuchukua kwa kila mradi. Muende mkakague miradi ya maendeleo…
1 April 2023, 23:07 pm
Na Mussa Mtepa Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kasim Majaliwa amewataka wakimbiza mwenge kitaifa kukagua na kujiridhisha na ubora wa Miradi ya Maendeleo itakayokaguliwa ili ilingane na thamani ya fedha zilizotolewa kwenye mradi husika na kuahidi kuzifanyia kazi taarifa zote…
30 March 2023, 18:29 pm
Mwenge wa Uhuru wa Tanzania unatarajiwa kuwashwa Mkoani Mtwara Ili kuanza kuzunguka Tanzania nzima kwaajili ya kujenga amani na mshikamano wa Taifa kwa mwaka 2023 Na Mussa Mtepa WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio…
28 March 2023, 16:26 pm
Na Mussa Mtepa na Mwanahamisi Chikambu Saratani ya mlango wa kizazi ni ugonjwa ukuaji usio wa kawaida wa chembechembe hai na mgawanyo wa chembechembe hai usio wa kawaida ambapo havionekani kwa macho ya kawaida. Ugonjwa huu husambazwa kwa njia ya…
27 March 2023, 11:18 am
Na Gregory Millanzi, Mwanahamisi Chikambu na Mussa Mtepa Utoaji wa chanjo ya surua na rubella kwa watoto umeanza kwa awamu ya dharula baada ya uwepo wa mlipiko wa magonjwa hayo ambayo yanawaadhiri watoto. Kupitia kipindi cha dira ya asubuhi tumewapata…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.