Jamii FM
Jamii FM
15 May 2024, 20:00 pm
Taasisi zinazohusika na utoaji wa haki na kusimamia masuala haya kuyatendea haki ili kuendelea kumlinda mtoto na mwanamke na mtanzania kwa ujumla ili awe salama zaidi. Na Musa Mtepa Wananchi wameombwa kushirikiana na serikali katika kuelimisha jamii kuachana na vitendo…
14 May 2024, 08:24 am
Tumeamua kujenga ghala hili kwasababu Kijiji chetu hatuna ghara na mazao yetu sasa hivi tumekua tukiazima jengo la maarifa ya kilimo la kata ambalo tumekuwa tukilitumia kupimia kwa kila pale inapofikia msimu wa korosho na ufuta tukaona bora tujichange ili…
14 May 2024, 08:06 am
Boti hiyo ambayo ilikwenda baharini jioni ya tarehe 9/5/2024 kwa matarajio ya kurudi asubuhi ya tarehe 10/5/2024 lakini hawakufanikiwa kurudi baada ya kupata hitilafu na walinipigia simu kuanzia saa kumi na moja hadi saa sita mchana wakaniambia mwenyekiti simu zetu…
11 May 2024, 14:30 pm
Na Musa Mtepa Makala hii inachunguza athari za mabadiliko ya tabianchi kwenye mazingira na maisha ya samaki katika Mkoa wa Mtwara. Inatilia maanani jinsi mabadiliko haya yanavyoweza kusababisha mabadiliko ya nchi kimaumbile, kibiolojia, na kijamii. Mabadiliko kama vile ongezeko la…
11 May 2024, 14:10 pm
Na Musa Mtepa Wakulima wa ufuta wameaswa kuzingatia mambo ya msingi kabla na baada ya kuvuna ili waweze kupata soko zuri la zao hilo. Wito huo umetolewa tarehe 10/5/2024 na mkurugenzi wa Taasisi ya utafiti wa kilimo ( TARI) Naliendele…
10 May 2024, 17:48 pm
Kampeni za chanjo zimekuwa zikifanyika mara kwa mara ili kuhakikisha kuwa watoto wanapata chanjo hizi kwa wakati. Ni muhimu kwa wazazi kuhakikisha watoto wao wanapata chanjo hizi mapema ili kuzuia maambukizi na madhara yanayoweza kuepukika Na Gregory Millanzi Ugonjwa wa…
9 May 2024, 17:45 pm
Makala haya yanalenga kutoa elimu ya udumavu na wazazi kutakiwa kuzingatia mlo kamili ili watoto waweze kukua wakiwa na afya iliyo njema Na Gregory Milanzi, Mwanahamisi Chikambu Ni kipindi kinaelezea hali ya udumavu katika wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwarax, tathimini…
29 April 2024, 20:23 pm
Bilioni 73.51 ni gharama za mradi wa usanifu na ujenzi wa jengo la abiria, vituo vya zimamoto na hali ya hewa pamoja na mnara wa kuongezea ndege ambazo zinaungana na bilioni 57 zilizotumika katika ujenzi wa eneo la kukimbilia ndege.…
27 April 2024, 15:51 pm
Kwa upande wa uimarishaji umma ,tumeimarisha klabu za wapinga rushwa 70 zilizopo katika shule za Msingi, Sekondari na Vyuo ,Mikutano ya hadhara 68,Semina 37, maonesho 11 na utoaji wa Habari 3. Na Musa Mtepa Taasisi ya kuzuia na kupambana na…
26 April 2024, 20:50 pm
Faida za muungano wa Tanganyika na Zanziba ni nyingi kwa pande zote mbili zikiwemo za kibiashara,Uchumi na kijamii. Na Musa Mtepa Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mwanahamisi Munkunda amewaomba wananchi kuwa wamoja katika kuuenzi na kudumisha muungano wa Tanganyika na…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.