Jamii FM
Jamii FM
5 February 2024, 14:08 pm
Kwa mujibu wa SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema kiwango cha uchakataji wa gesi asilia kwa miaka nane katika kiwanda cha kuchakata gesi asilia cha Madimba kimeongezeka kutoka futi za ujazo milioni 20 mwaka 2015 hadi kufikia futi za…
23 December 2023, 15:21 pm
Kwa mujibu wa Mganga Mkuu mkoa wa Mtwara, kumekuwepo na ongezeko la vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga kwa kipindi cha miezi mitatu. Na Gregory Millanzi Binadamu tunapitia nyakati tofauti tofauti katika maisha yetu, baadhi ya nyakati tunazopita…
8 December 2023, 10:38 am
Baba na Mama tunaamini ndio wanaoanzisha safari ya maisha ya binadamu hapa duniani, na hapa nazungumzia jukukumu la mama kubeba mimba na baba kubeba jukumu la kulea na kuhudumia mimba Na Mwanahamisi Chikambu na Gregory Millanzi Maisha ya binadamu yanasafari…
20 November 2023, 11:12 am
Nimefarijika kuona jinsi gani wananchi wa Mkunwa na viongozi wao wapo tayari kuhakikisha kwamba wanawake wenye uwezo na vigezo wanaweza kushiriki katika nafasi mbalimbali za uamuzi. Na Musa Mtepa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umefurahishwa na Maendeleo ya Mradi wa…
18 November 2023, 12:44 pm
Wadau wa kilimo kila mmoja anawajibika katika kutekeleza majukumu yake ili kufikia malengo tuliyojiwekea kama mkoa ikiwepo kuondoa changamoto zinazowakabiri wakulima Na Musa Mtepa Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanal Ahmed Abasi Novemba 17, 2023 amefanya uzinduzi wa msimu wa…
16 November 2023, 13:13 pm
Na Grace Hamisi Naibu Waziri mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko Novemba 15,2023 amewasha umeme wa ujazilizi katika maeneo ya vijiji – miji awamu ya III mitaa ya Pachoto A, Pachoto B na Pwani kata ya Naliendele mkoani…
3 November 2023, 17:54 pm
Rushwa ya ngono katika maeneo ya kazi kwa upande mwingine ni suala la mkanganyiko kwa sababu ni suala Mtambuka huku akisema kuwa inawezekana Bosi akampenda kweli mfanyakazi wake lakini wakati mwingine anaweza kutafsiriwa kuwa ni Rushwa ya ngono Na Musa…
2 November 2023, 18:00 pm
Na Mwanahamisi Chikambu/ Gregory Millanzi Huduma ya mama na mtoto ina chimbuko lake kulingana na historia, wapo wanaosema binadamu ametokana na sokwe na wengine wanasema binadamu anatokana na binadamu mwenyewe. Karibu katika makala haya ambapo tunaangazia namna mama na mtoto…
31 October 2023, 12:53 pm
Na Musa Mtepa Katika makala haya tunaangazia nafasi ya ushiriki wazawa hasa vijana wa Manispaa ya mkoa wa Lindi kuelekea kunufaika na fursa ujenzi wa kiwanda cha uziduaji na uchakataji wa Gesi cha LNG mkoani Lindi. kusikiliza makala haya Bonyeza…
31 October 2023, 11:43 am
Na Musa Mtepa Kipindi kinazungumzia uwepo wa shughuli za uzalishaji Gesi katika mikoa ya kusini Lindi na Mtwara, je Vijana wamejiandaaje kukabiliana na fursa hiyo. Kupitia kipindi hiki tumezungumza na Victor Kaiza mkufunzi wa chuo cha Elimu ya mafunzo ya…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.