Jamii FM
Jamii FM
1 April 2024, 18:19 pm
Imeelezwa kuwa chanzo kikubwa kinachosababisha watoto wa kike kutokufikia malengo yao ni wazazi kutotambua umuhimu wa elimu. Na Musa Mtepa Wazazi wametakiwa kutambua umuhimu wa elimu kwa watoto wa kike ili waweze kukabiliana na changamoto za maisha pamoja na kuwa majasiri…
1 April 2024, 15:19 pm
“Changamoto hizo ni kwa baadhi ya wanaume wenye tabia ya kuwakataza wake zao kushiriki masuala ya uongozi” Na Musa Mtepa Ni kipindi kinachoelezea changamoto zinazosababisha wanawake kutoshiriki kwa asilimia kubwa kwenye nafasi za kisiasa na uongozi . Kupitia kipindi hii…
29 March 2024, 17:46 pm
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wameombwa kutembelea vijiji na kutoa Elimu kwa Wananchi ili wapate uelewa juu ya athari zinazo weza kujitokeza kutokana na matumizi mabaya ya Mazao ya Misitu Na Musa Mtepa Akizungumza na Jamii Fm Radio…
27 March 2024, 17:00 pm
Mila na desturi potofu zimekuwa zikiwarudisha nyuma wanawake wengi wilayani Mtwara kushiriki katika nafasi za uongozi na uamuzi na kupelekea kuwa wachache katika ushiriki kwenye vikao vya uamuzi. Na Musa Mtepa Imeelezwa kuwa mila na desturi zinazofanyika katika jamii ndicho…
25 March 2024, 17:26 pm
Changamoto zinazoikabili Bandari ya Mtwara ni kutokuunganishwa na miundombinu ya Reli pamoja na Barabara ya Mtwara –Dar es Salaam kutokuwa vizuri kuwezesha Bandari hiyo kuunganishwa na miundombinu hiyo. Na Musa Mtepa Naibu mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya usimamizi wa Bandari…
25 March 2024, 14:54 pm
Kamati ya kudumu ya Bunge ya uwekezaji wa mitaji ya umma imeipongeza serikali kwa kuchukua hatua ya kuwasomesha vijana wa kitanzania nje ya nchi ambao kwasasa ndio wanao simamia mitambo ya kuchakata na kuzalisha Gesi Asilia katika kjiji cha Madimba…
19 March 2024, 15:55 pm
“Ongezeko la joto Baharini na uwingi wa maji ya mvua kutoka Kwenye mito mbalimbali kumechangia kwa kiasi kikubwa kupungua upatikanaji wa Samaki “ Na Musa Mtepa Baadhi ya Wavuvi wa wanaofanya shughuli za uvuvi katika ukanda wa Bahari na Pwani…
13 February 2024, 12:01 pm
Na Msafiri Kipila Jamii FM Radio imepata nafasi ya kuzungumza na Sharifu Kasimu Namkanda mkazi wa kata ya Naliendele mkoani Mtwara, ambaye anaeleza kuwa redio ina umuhimu mkubwa sana kwa jamii hasa kwa watu waliopo vijijini ambako mitandao ya kijamii…
13 February 2024, 11:30 am
Na Grace Hamisi, Amua Rushita Kila ifikapo Februari 13 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya Redio Duniani ambapo huzungumziwa mchango wa redio katika masuala mbalimbali ya kimaendeleo, changamoto wanazokutanazo jamii na kuziwasilisha kwa wenye mamlaka . Lakini pia redio…
12 February 2024, 15:07 pm
Kipindi cha Mazingira ambacho amesikika kijana Nelson Everisty mkazi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani ambae amekuwa akizalisha maua katika Eneo hilo huku akielezea namna yanavyoweza kutunza Mazingira ya Nyumbani na mengine hutumika kama Dawa na Matunda. Na Musa Mtepa Bustani…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.