Jamii FM
Jamii FM
22 April 2024, 16:30 pm
Inaonesha kumekuwa na ongezeko la vitendo vya utovu wa nidha kwa watu wa umma wakiwa kazini ikiwemo Rushwa na upungufu wa maadili. Na Mwanahamisi Chikambu Kamishina wa utumishi umma Balozi John Haule amewataka watumishi wa umma mkoa wa Mtwara kufanya…
21 April 2024, 16:26 pm
Miti na misitu ina faida nyingi kwa maisha ya binadamu ikiwa ni Pamoja na kuwa chanzo cha mvua,dawa ,chakula na ni chanzo cha bidhaa za ujenzi Na Gregory Milanzi Wananchi wameshauriwa kuwa na utamaduni wa upandaji wa miti ili kukabiliana…
19 April 2024, 21:14 pm
Bonde limefanya tathmini ya maji yaliyopo juu ya ardhi na chini ya ardhi na linavituo vya kufuatilia mienendo ya maji na tunatoa vibari kwa wahitaji wa matumizi ya maji hasa kwa wanaohitaji kuweka miundombinu. Na Musa Mtepa Jumla ya vyanzo…
18 April 2024, 23:38 pm
Jamii ya mikoa ya kusini tangu enzi za mababu wamekuwa na mila ya jando na unyago kwa watoto wa kike na kiume huku dhamira kubwa ilikuwa kuwatengeneza watoto kuwa heshima na busara mbele ya wakubwa hali ambayo imekuwa tofauti kwa…
18 April 2024, 21:57 pm
Shughuli zinazofanywa karibu na vyanzo vya maji zimekuwa zikihatarisha uwepo wake huku mamlaka zikiombwa kuendelea kutoa elimu ya athari hasi na umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji. Na Msafiri Kipila Mammlaka zinazo simamia vyanzo vya maji zimeombwa kutoa Elimu…
16 April 2024, 13:03 pm
Barabara hiyo hivi sasa imekuwa Mbovu kupitiliza ukilinganisha na kipindi cha nyuma ambacho Gari zinazobeba Watoto kuwapeleka shuleni zilikuwa zinapita bila mashaka lakini kwa hivi sasa imekuwa tofauti Na Grace Hamisi Wananchi wa mtaa wa Mangamba Chini Manispaa ya Mtwara…
16 April 2024, 08:55 am
Wazazi wengi wamekuwa wakiweka nguvu kubwa kwenye mila ya Jando na unyango kuliko Elimu Na Musa Mtepa Inaelezwa kuwa Wazazi kutotambua umuhimu wa Elimu ndio chanzo cha Watoto wengi kutomaliza Elimu ya Msingi katika Halmashauri ya Mtwara Vijijini. Wakizungumza na…
10 April 2024, 23:17 pm
kKuvaa kofia ngumu kwa mwendesha wa pikiki ni suala la kisheria hivyo ni wajibu kwa maafisa usafirishaji (Bodaboda) wote mkoani Mtwara na abiria wake kuzingatia sheria hiyo. Na Musa Mtepa Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara Kamishna Mwandamizi…
10 April 2024, 13:52 pm
Kumewa na kutozingatia matukufu na makatazo ya Mwenyezimungu ambayo huenda ikawa sababu ya kuwepo kwa ugumu wa Maisha kutokana na Binadamu kutozingatia maagizo yake Na Musa Mtepa Waislam wametakiwa kuendelea kuishi Katika Maisha walivyoishi kwenye Mwezi mtukufu wa Radhamani ili…
6 April 2024, 20:58 pm
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanal Patrick Sawala akitoa neno la shukrani kwa hadhira iliyojitokeza kufuturu hapo jana(Picha na Mtwara rs) Binadamu hakuna aliyekamilika mmoja anaweza kumkosea mwingine kwa bahati mbaya bila kutambua hivyo tuendelee kusameheana Na Musa Mtepa Mkuu…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.