Jamii FM

Recent posts

8 April 2021, 17:32 pm

Kizito aibuka mshindi uchaguzi TCCIA

Kizito Garnoma ameibuka mshindi kwa nafasi ya Mwenyekiti wa chama cha wafanyabiashara, kilimo na Viwanda TCCIA mkoa wa Mtwara kwa miaka minne ijayo. Kizito amechaguliwa kushika wadhifa huo leo katika ukumbi wa Tiffany Diamond Mtwara huku akishinda kwa kura 45…

8 April 2021, 12:44 pm

TCCIA Mtwara kufanya uchaguzi leo

Mwenyekiti wa Chama cha wafanyabiashara, Viwanda na kilimo TCCIA mkoa wa Mtwara Swallah Said Swallah amesema hotuba ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hasan imerudisha matumaini kwa wakulima, Wafanyabiashara, na wenye viwanda mkoani hapa. Amesema…

24 March 2021, 11:24 am

Njia yenye mawe yawakimbiza wanafunzi wa kijiji cha Imekuwa

Wananchi wa kitongoji cha Bohari pwani kilichopo kwenye kijiji cha Imekuwa halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani hapa wamekubaliana kuwaondoa watoto wote wenye umri wa kuanza shule katika kitongoji hicho na kuwapeleka kwenye kijiji cha Imekuwa ili waweze kupata elimu.…

23 March 2021, 18:05 pm

Naliendele Mtwara wamlilia Hayati Magufuli

Wananchi wa kata ya Naliendele Manispaa ya Mtwara Mikindani wametoa salamu za pole kwa Watanzani kufuatia  kifo cha Rais Dkt.John Pombe Magufuli kilichotangazwa usiku wa kuamkia leo Machi 18,2021. Wakizungumza kwa masikitiko makubwa wameeleza namna ambavyo watamkumbuka Rais Dkt.Magufuli kwa…

16 March 2021, 08:02 am

Bibi Esha apata makazi Mapya

Jamii fm radio kwa kushirikiana na Wanasalam kanda ya kusini yaani Mikoa ya Mtwara na Lindi pamoja na wadau wengine wamefanikiwa kujenga nyumba katika eneo la Mtaa wa Namayanga Kata ya Mtawanya Manispaa ya Mtwara Mikindani kwa ajili ya Bibi…

14 March 2021, 18:08 pm

Wazazi simamieni ndoto za watoto wa kike

Shirika la Sports Development Aid (SDA) limeadhimisha siku ya Wanawake Duniani Machi 12, 2021 kwa kuandaa tamasha lililowakutanisha wanafunzi wa shule ya Msingi na Sekondari Naliendele zilizopo Manispaa ya Mtwara Mikindani Mkoani Mtwara. Lengo la tamasha hilo likilenga kuwapa elimu…

9 March 2021, 11:57 am

Umeme upo wakutosha Mtwara na Lindi – TANESCO

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoa wa Mtwara limesema kwa sasa uzalishaji wa umeme Mtwara na Lindi umeongezeka na kupita kiwango cha matumizi ya mikoa hii ya Lindi na Mtwara na wanahakikisha kila mwananchi ananufaika na nishati hii ya umeme.…

9 March 2021, 09:35 am

Msitegemee Korosho tu: Makamu rais TCCIA

Wakulima mkoani Mtwara wameshauriwa kulima kilimo bora na cha kisasa ili kuendana na fursa mbalimbali za masoko na mazao ya kibiashara ikiwemo zao la muhogo. Akitoa wito huo jana Machi 08,2021 kupitia Jamii FM Radio Makamu wa rais wa chama…

9 March 2021, 09:19 am

Mkopo Milioni 162.7 wapamba siku ya Wanawake

Wananchi kata ya Nanguruwe wameonesha furaha baada ya kushuhudia baadhi ya vikundi vya wajasiriamali wakipokea mkopo wenye thamani ya Tzs. 162,770,000/= kutoka sehemu ya 10% ya mapato ya ndani ya halmashauri ya Wilaya ya Mtwara unaolenga kuwainua kiuchumi kupitia makundi…

8 March 2021, 09:52 am

Waandishi wa Habari wanawake Mtwara waadhimisha IWD21

Waandishi wa Habari Wanawake kutoka Chama cha Waandishi wa Habari Mtwara (MTPC) Leo Machi 8, 2021 wameadhimisha siku ya Wanawake Duniani katika shule ya sekondari ya Mtwara Sisters. Akizungumza katika maadhimisho hayo mwenyekiti wa MTPC Grace Kasembe amesema wameona vyema…