Jamii FM
Jamii FM
29 June 2024, 13:13 pm
Mikindani Marathoni Marathoni ni sherehe zinazoambatana na maadhimisho ya siku ya mikindani(Mikindani day) ambayo dhima ni kutangaza utalii wa mji mikindani ,utamaduni wa makabila ya mikindani(Mtwara) pamoja na historia mbalimbali za mji huo. Na Musa Mtepa Katika kusheherekea kilele cha…
28 June 2024, 18:18 pm
Huduma za msaada wa kisheria katika kituo cha msaada wa kisheria cha Door of Hope zitatolewa bure kwa kupitia vigezo kama vya kupitia mawakili waliopo kituonina kupitia kikosi kazi cha jumla ya watu 11 Na Musa Mtepa Taasisi inayofanyakazi ya…
28 June 2024, 16:00 pm
Na Musa Mtepa Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP umeendelea na zoezi la kutoa Elimu kwa Wananchi wa kata ya Mkunwa juu ya Mila na tamaduni zinazo sababisha Wanawake kutoshiriki katika nafasi mbalimbali za uongozi na maamuzi katika jamii. Wakizungumza baada…
25 June 2024, 20:13 pm
Programu ya Imarisha Uchumi na Samia ni Programu inakuja kuboresha shughuli za kiuchumi zinazofanywa na wananchi ambayo itakuwa na mfumo wa usajili kwa kila mmoja au kikundi kwa kutumia namba ya NIDA,akaunti ya Benki na kutoa taarifa za mtaji alionao,biashara…
23 June 2024, 10:00 am
Imeandaliwa na Gregory Millanzi pamoja na Mwanahamisi Chikambu Chakula ni kitu chochote kinacholiwa ambacho huupa mwili nguvu na joto. Ni lishe inayompa mtumiaji virutubisho vyote vinavyohitajika na mwili kwa kiasi kinachozingatia kanuni za afya. Serikali ya Tanzania imeanzisha Huduma ya…
22 June 2024, 20:21 pm
Katika siku zijazo tunataka mkulima wa korosho awe na misimu miwili ana ule msimu wa korosho karanga na msimu wa bibo kwani siku hizi bibo linaonekana ni kitu cha kutupwa kumbe kuna bidhaa ambazo zinapatikana kama mvinyo (wine),Ethanol inayotokana na…
22 June 2024, 09:59 am
Katika utekelezaji wa shughuli za NSSF mfuko umekuwa ukikutana na changamoto mbalimbali na moja yake ni Pamoja na Mwajiri kutowasilisha michango kwa wakati na hili limekuwa tatizo kubwa kiasi kwamba inasababisha malalamiko kwa wananchi na wanachama na kudhani kwamba serikali…
21 June 2024, 10:20 am
Gregory Millanzi na Mwanahamisi Chikambu Miaka ya nyuma baadhi ya wazazi, walezi na wananchi walikuwa wanaogopa kuwapeleka watoto wenye umri wa kuanza elimu ya darasa la awali na darasa la kwanza hasa wale wenye ulemavu na mahitaji maalum, na wengine…
20 June 2024, 18:56 pm
Uelewa wa jamii juu ya masuala ya malezi,makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto kwa wenye umri wa miaka 0-8 ni jambo muhimu katika kuirejesha jamii katika mstari wa malezi sahihi ya watoto. Na Mwanahamisi Chikambu Uelewa juu ya masuala…
20 June 2024, 16:00 pm
Watu wenye ulemavu wanasisitiza umuhimu kwa watumiaji wa barabara kuwapa kipaumbele kutokana na changamoto wanazokutana nazo wanapotumia barabara. Kila mmoja wetu ana jukumu la kuhakikisha usalama barabarani, si jukumu la serikali pekee. Abeid Yusufu Lukanga, ambaye ni mlemavu anayetumia baiskeli,…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.