Jamii FM
Jamii FM
25 May 2024, 15:22 pm
Wananchi wengi wameonesha kufurahishwa kwa kitendo cha viongozi wa serikali ya mkoa na wilaya ya Mtwara kuungana nao katika zoezi zima la usafi na wengi wao wakisema kuwa watakuwa na mwendelezo wa zoezi hilo majumbani mwao Na Musa Mtepa Mkuu…
25 May 2024, 11:13 am
Na Musa Mtepa Tanzania imepitisha sheria inayowataka makampuni kutoa sehemu ya mapato yao kusaidia jamii wanakofanya biashara au uzalishaji. Makampuni haya yanatakiwa kuchangia wastani wa 0.7% ya mapato yao kwa ajili ya kusaidia maendeleo ya jamii husika. Michango hii inajulikana…
24 May 2024, 23:15 pm
Waheshimiwa Madiwani wameunga mkono kubatirishwa kwa kiwanja kinachosadikiwa kumilikiwa na Mbunge wa Mtwara Mjini huku mstahiki Meya akiwaagiza watendaji kuyatambua na kuyawekea alama maeneo yote yaliyopo chini ya halmashauri ili kurahisiasha utambuzi inapotokea mtu kuvamia maeneo hayo Na Musa Mtepa…
24 May 2024, 17:37 pm
niwapongeza mkurugenzi na timu yako mmefanya kazi kubwa kwenye kusimamia miradi ya maendeleo kwani kila mmoja katika kata zenu mmeweza kusimamia vizuri miradi ya maendeleo inayotekelezwa Na Musa Mtepa Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mwanahamisi Munkunda amelipongeza na kuridhishwa na…
16 May 2024, 17:46 pm
Wakulima wanashukuru kupitia mbegu zinazozalishwa na kufanyiwa utafiti katika kituo cha Naliendele kwani wamekuwa wakipata tija kwenye uzalishaji hivyo wengine wanakaribishwa kufika na kujifunza namna bora ya uzalishaji wa zao la ufuta. Na Musa Mtepa Wakulima na wadau wa ufuta…
15 May 2024, 21:33 pm
Napenda kuwajulisha wananchi kuwa mkoa wa Mtwara upo shwari dhidi ya uhalifu na Elimu ya kuzuia na kutanzua imeendelea kutolewa kwa wananchi kupitia wakaguzi wa kata katika maeneo mbalimbali ya mkoa. Na Musa Mtepa Jeshi la polisi mkoa wa Mtwara…
15 May 2024, 20:00 pm
Taasisi zinazohusika na utoaji wa haki na kusimamia masuala haya kuyatendea haki ili kuendelea kumlinda mtoto na mwanamke na mtanzania kwa ujumla ili awe salama zaidi. Na Musa Mtepa Wananchi wameombwa kushirikiana na serikali katika kuelimisha jamii kuachana na vitendo…
14 May 2024, 08:24 am
Tumeamua kujenga ghala hili kwasababu Kijiji chetu hatuna ghara na mazao yetu sasa hivi tumekua tukiazima jengo la maarifa ya kilimo la kata ambalo tumekuwa tukilitumia kupimia kwa kila pale inapofikia msimu wa korosho na ufuta tukaona bora tujichange ili…
14 May 2024, 08:06 am
Boti hiyo ambayo ilikwenda baharini jioni ya tarehe 9/5/2024 kwa matarajio ya kurudi asubuhi ya tarehe 10/5/2024 lakini hawakufanikiwa kurudi baada ya kupata hitilafu na walinipigia simu kuanzia saa kumi na moja hadi saa sita mchana wakaniambia mwenyekiti simu zetu…
11 May 2024, 14:30 pm
Na Musa Mtepa Makala hii inachunguza athari za mabadiliko ya tabianchi kwenye mazingira na maisha ya samaki katika Mkoa wa Mtwara. Inatilia maanani jinsi mabadiliko haya yanavyoweza kusababisha mabadiliko ya nchi kimaumbile, kibiolojia, na kijamii. Mabadiliko kama vile ongezeko la…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.