Jamii FM
Jamii FM
16 September 2024, 17:26 pm
Katika kuelekea msimu wa korosho 2024/2025 bodi ya korosho CBT imeamua kuondoa tozo zilizokuwa zinatozwa kwa wakulima na kuzipeleka kwa wanunuzi lengo likiwa kumsaidia mkulima kunufaika na zao hilo. Na Musa Mtepa Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Francis…
15 September 2024, 11:58 am
Soko bora la korosho huchangiwa na ubora wenyewe wa korosho hivyo wadau hawana budi kuhakikisha korosho zinazo kusanywa,kuhifadhiwa na kusafirishwa nje ya nchi zinakuwa bora kimataifa. Na Musa Mtepa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayeshughulikia Ushirika na Umwagiliaji,…
11 September 2024, 08:43 am
Halmashauri zilizopo kwenye miradi ya uchimbaji wa Gesi Asilia zihakikishe fedha za ushuru zina wanufaisha wananchi wa maeneo husika na sio kama hali ilivyo hivi sasa. Na Musa Mtepa Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati Dkt Dotto Biteko ameziagiza…
10 September 2024, 08:18 am
Ujenzi wa kituo cha afya katika kijiji cha Mtandi kata ya Msimbati ni katika kutekeleza maagizo yaliyotolewa na naibu Waziri mkuu na waziri wa nishati DK Dotto Biteko alipofanya ziara katika eneo na kutoa maagizo ya kuwajengea kituo cha afya,kituo…
9 September 2024, 21:48 pm
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ilikuwa katika ziara ya kakizi katika kujionea miradi mbalimbali ya inayotekelezwa katika jamii kupitia urejeshwaji wa jamii (CSR) kuptia Shirika la Maendeleo ya Petrol Nchini TPDC katika vjiji vya Msimbati,Mngoji na…
9 September 2024, 11:50 am
“Tangu masika yameanza hadi kipindi hiki joto halipungui, mvua na miundombinu inaharibika kwasababu hakuna miti inayozuia mmonyoko wa ardhi” Na Musa Mtepa, Uhifadhi wa misitu unasimamiwa kisheria ambapo inatambulika na sheria za Tanzania na pia kabla kuvuna mazao ya misitu,…
1 September 2024, 11:06 am
“Malengo yetu sisi ni kutambulika na chama cha soka mkoani Mtwara (MTWAREFA) pamoja na kuwa timu kubwa itakayo kuwa inashiriki mashindano mbalimbali ndani na nje ya mkoa wa Mtwara lakini pia kuwa timu ya kukuza na kuuza vipaji “ Na…
31 August 2024, 12:21 pm
“Miaka yote tumekuwa tukifanya sherehe hizo kwa kutumia nguvu zetu hivyo kutokana na hali ya maisha kubadilika tunaomba wadau wenye uwezo kuchangia sherehe hizo ili kuendelea kumtukuza Mtume Muhammadi S.W.A”. Na Musa Mtepa Umoja wa wanawake waislamu kutoka Chihiko kata…
30 August 2024, 18:13 pm
“Nashukuru kwa kunikomboa kwani nilikuwa nakutana na changamoto nyingi, nilikuwa nanyimwa chakula, mume wa bosi wangu alikuwa ananisumbua ananitaka kimapenzi kufika hapa salama nashukuru na hapa naungana na mama yangu na sitamuacha tena.“ Na Musa Mtepa Kituo cha Msaada na…
7 August 2024, 11:21 am
Kutokana na wahudumu kuwa wachache katika zahanati ya Kijiji cha Kawawa wakati mwingine Wagonjwa hususani akina mama wajawazito wanalazimika Kwenda mjini ua Nanguruwe kupata huduma ya afya kwa kuamini kuwa wanaweza kupata huduma kwa uharaka kutokana na kuwepo kwa Wahudumu…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.