Jamii FM
Jamii FM
13 June 2024, 19:00 pm
Baada ya kikao kilichoagiza kila halmashauri kuwa na vyanzo vipya vya mapato halmashauri ya Kilindi ilifikiria kuwa zao la korosho linaweza kuwa chanzo sahihi cha kuongeza mapato kwa siku za usoni hasa hamasa ikitolewa kwa wananchi na ukizingatia kuna misitu…
8 June 2024, 18:47 pm
Niwapongeze viongozi wote ,wa serikali na wa chama kwa kusimamia vizuri miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika mkoa wa Mtwara ,ni mpongeze mkuu wa wilaya ya Mtwara Mwanahamisi Munkunda kwa kazi nzuri aliyoionesha wakati wa mbio za Mwenge kwani amekimbiza katika…
6 June 2024, 15:18 pm
Na Gregory Millanzi na Mwanahamisi Chikambu Baadhi ya Wananchi wa Mkoa wa Mtwara waliwahi kulalamika kwenye makala zilizopita, kuhusu hali ya utolewaji wa huduma bora ya afya ya mama mjamzito na mtoto kwenye vituo vya afya na Hospitali, kuwa kuna…
5 June 2024, 17:17 pm
Kwa kawaida zao la mwani ni kivutio cha samaki kutoka maji mengi na kufika kwenye maji madogo kwa ajili ya kupata chakula, makazi na wakati mwingine kuzaliana. . Na Musa Mtepa Katika hali isiyotarajiwa wakulima wa mwani kutoka vijiji vya…
5 June 2024, 16:47 pm
Kati ya miti ambayo inafyonza hewa chafu kwa uwingi na kwa haraka ni mikoko hivyo kitendo cha kupanda katika eneo la kigongo ni katika kuendeleza harakati za kupunguza hewa chafu na ni fursa kwa maeneo mengine ya pwani ya kusini…
3 June 2024, 18:45 pm
Serikali na makampuni yanayotengeneza na kuuza mitungi ya gesi iangalie namna nyingine ya kutengeneza mitungi midogo yenye gharama nafuu ili mwananchi wa hali wa chini aweze kuinunua na kutumia ikiwa kama njia ya kupunguza matumizi ya nishati chafu ya kupikia…
3 June 2024, 12:33 pm
Kongamano hili ambalo limehusisha wadau mbalimbali wanataaluma,wanafunzi ,taasisi za serikali na binafsi huku matarajio ya ujumbe kufika ukiwa mkubwa kwa wadau kwani kumekuwa uwasilishaji wa mada mbalimbali hasa kwa upande wa zao la korosho na jinsi ya kukabiliana na mabadiliko…
31 May 2024, 12:49 pm
Ndani ya mkoa wa Mtwara kuna deni lisilopungua takribani Bilioni 3.3 ambalo waajiri 29 bado hawajawasilisha michango yao kama inavyostahili na wakati mwingine hawataki hata kukaguliwa pale inapobidi kujua idadi ya wafanyakazi wao. Na Musa Mtepa Wajiri wametakiwa kutekeleza majukumu…
30 May 2024, 13:32 pm
Na Musa Mtepa Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala leo tarehe 30/5/2024 amepokea Mwenge wa Uhuru ukitokea mkoani Lindi katika Viwanja vya shule ya Msingi Mpapura halmashauri ya Mtwara Vijijini. Akiongea wakati wa mapokezi ya Mwenge huo mkuu…
25 May 2024, 22:36 pm
Mabadiliko ya tabia yanasababishwa na vyanzo vya asili na shughuli za binadamu ambazo changamoto kubwa zinazoleta na mabadiliko hayo ni Pamoja na kuongezeka kwa kiwango cha joto duniani ,misimu ya mvua isiyotabirika na kuongeze kwa kina cha bahari. Na Musa…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.