Jamii FM

Recent posts

5 May 2021, 20:49 pm

Matukio ya mauaji yanaichafua Mtwara

Na karim Faida Diwani wa kata ya Mkunwa halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara amesema katika kata yake imekuwa na Matukio ya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na mauaji ya watu watatu tofauti kwa matukio tofauti katika kipindi…

5 May 2021, 16:31 pm

Wafanyabiashara wa Soko la Chuno, wafanya vurugu

Na Gregory Millanzi Wafanyabiashara katika soko la Chuno Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara wameilalamikia serikali kuruhusu wafanyabiashara wa soko la sabasaba kufanya Biashara katika soko hilo ambalo mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa aliamuru biashara zote za jumla…

5 May 2021, 12:33 pm

Bodi ya wakurugenzi TANESCO yafanya zira Mtwara

Na Gregory Millanzi Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya shirika la umeme Tanzania (TANESCO) Dkt Alexander Kyaruzi akiambatana na wajumbe wa bodi hiyo, amewataka wawekezaji kuwekeza Mtwara na Lindi kutokana na uwepo wa Nishati ya umeme wa kutosha. Amesema kuwa…

5 May 2021, 12:26 pm

Zahanati ya mbawala chini kufunguliwa leo

Na Karim Faida Mganga mkuu wa Manispaa ya Mtwara mikindani Dkt Joseph Kisala amesema leo Mei 5 2021 wanatarajia kufungua zahanati ya mtaa wa Mbawala chini iliyopo kwenye kata ya Naliendele Manispaa ya Mtwara mikindani mkoani Mtwara ili kuwarahisishia wananchi…

5 May 2021, 04:41 am

Mbae: Barabara ni changamoto

Na karim Faida Wananchi wa mtaa wa Mbae Chundi, Kata ya Ufukoni manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwatengenezea barabara inayotoka Pacha ya Mbae hadi Mtaa wa Mbawala chini kwa kiwango cha changalawe. Wakiongea na Jamii fm radio…

3 May 2021, 12:40 pm

Viongozi, wapeni ushirikiano waandishi wa habari

Na Karim Faida Waandishi wa habari mkoa wa Mtwara wamekuwa wakikosa ushirikiano kutoka kwa baadhi ya viongozi wa serikali pale wanapohitaji Kuweka mizania ya habari zao huku sababu ikiwa ni kuhofia kupoteza nafasi zao za kazi. Hayo yamesemwa leo katika…

2 May 2021, 19:54 pm

Watoto 41,339 kupata chanjo Mtwara

Na Gregory Millanzi Mkoa wa Mtwara unatarajia kuwapatia chanjo watoto 41,339 wenye umri wa kati ya mwezi 1 mpaka miezi 18 kwa mwaka 2021 ili kufikia lengo na kuhakikisha jamii inakuwa salama dhidi ya magonjwa yanayoepukika kwa chanjo.Akizungumza na Jamii…

24 April 2021, 16:07 pm

Mtwara ipo salama dhidi ya Kimbunga “Jobo”

Na Karim Faida Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania TMA imetangaza uwepo wa kimbunga jobo katika bahari ya Hindi, Baada ya kupokea taarifa hiyo kumekuwa na watu wanaosambaza taarifa kwenye mitandao kwamba kimbunga hicho tayari kimeshafika katika mkoa wa Mtwara.…

24 April 2021, 06:33 am

Mwenendo wa Kimbunga “JOBO”

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa kimbunga “Jobo” kilichopo bahari ya Hindi. Kimbunga Jobo kimeendelea kusogea kuelekea maeneo ya pwani ya nchi yetu ambapo kutokana na taarifa za uchambuzi zilizofanywa na Mamlaka kimbunga…

23 April 2021, 19:31 pm

TPB yatoa elimu kwa wavuvi

Na Karim Faida Wavuvi wa kijiji cha Namela kata ya Msangamkuu halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani hapa wamepewa elimu ya namna ya kupata mkopo Benki ili kujiendeleza katika shughuli zao kwa lengo la kuvua kivuvi chenye tija. Akiongea na…