Joy FM
Joy FM
26 December 2025, 12:52
Halmashauri ya Wilaya Kibondo Mkoani Kigoma imesema kuwa utekelezaji wa afua za lishe umesaidia kuongeza ufaulu chanya kwa wanafinzi shuleni Na Mwabdishi wetu Kikao cha tathmini ya utekelezaji wa afua za lishe kwa robo ya kwanza ya mwaka, kwa kipindi…
26 December 2025, 11:56
Ili kuharakisha maendeleo kwa jamii viongozi hawana budi kushirikiana katika kuwahudmia wananchi na kutatua changamozo azo Na Hagai Ruyagila Viongozi wa Serikali na dini nchini wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wananchi wao ili kutambua changamoto zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi kwa…
25 December 2025, 11:36
Waumini wa dini ya Kikristo duniani kutumia Sikukuu ya Krismasi ya mwaka huu kuchagua matendo ya huruma, huku wakizingatia umoja na mshikamano. Na Orida Sayon Wakristo Mkoani Kigoma wametakiwa kuacha kusherehekea sikukuu ya kristmas kwa mazoea badala yake iwe sehemu…
24 December 2025, 09:12
Serikali imesema itaendelea kutoa mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu huku ikisisitiza waliopata mkopo kuzitumia kwa manufaa na kurejesha kwa wakati Na mwandishi wetu Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, imekabidhi pikipiki sita kwa vikundi viwili…
23 December 2025, 11:48
Asili na jadi ni msingi wa kukuza, kuhifadhi na kuendeleza utamaduni na mila kwa kuzithamini na kuzifundisha kwa vizazi vipya na kuhakikisha jamki inabaki na utambulisho imara huku ikikua na kubadilika katika njia chanya. Na Tryphone Odace Wito umetolewa kwa…
23 December 2025, 08:37
Jukumu la msingi la wazazi na walezi ni kuhakikisha watoto wanalindwa, wanalelewa kwa upendo na wanaishi katika mazingira salama ili waweze kufikia ndoto zao na kuchangia maendeleo ya jamii. Na Prisca Kizeba Wazazi na walezi wanapotekeleza wajibu wao ipasavyo, jamii…
22 December 2025, 09:47
Jamii na wadau mbalimbali mkoani Kigoma wameaswa kujitokeza na kuwasaidia watoto yatima na wenye uhitaji ili nao waweze kujiona wanathaminiwa na jamii inayowazunguka. Na Tresiphol Odace Kituo cha tiba mbadala cha Lupimo Sanitarian Clinic kimetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa…
19 December 2025, 15:33
Serikali imesema imedhamiria kuendelea kuwekeza kwenye sekta ya usafirishaji kwa kujenga mpya mbili zitakazofanya kazi ziwa Tanganyika Na Bukuru Daniel, Burundi Tanzania imetenga shilingi bilioni 214 katika utekelezaji miradi ikiwemo ujenzi wa meli mpya mbili mkoani Kigoma ambazo zitasaidia katika…
19 December 2025, 14:09
Serikali imeendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inatajwa kuchochea uchumi na kipato kupitia mapato yatokanayo na miradi hiyo Na Lucas Hoha Manispaa ya Kigoma Ujiji inatarajia kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 1 kwa mwaka kutoka chanzo cha mapato cha soko…
19 December 2025, 13:03
Wahitimu na wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini wanaosoma fani ya uandishi wa habari, wameshauriwa kuongeza ujuzi wao katika masuala ya kidijitali, ili kuepusha matumizi mabaya ya teknolojia yanayoweza kupotosha umma. Na Orida Sayon Wahitimu kutoka chuo cha utangazaji Ujiji Broadcasting…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.