Joy FM

Recent posts

16 October 2025, 23:33

Tanzania na UNHCR kufuta hadhi ya ukimbizi kwa wakimbizi wa Burundi

Licha ya Serikali na shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR kuhamasisha wakimbizi waliopo katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu tangu mwaka 2017 na kuonekana zoezi la kurejea nchini kwao kwa hiari kusuasua sasa mwarobaini wa kuwarudisha wakimbizi hao…

16 October 2025, 19:55

NCCR Mageuzi yaonya wanaochochea uvunjifu wa amani Nchini

Na Hagai Ruyagila Chama cha NCCR – Mageuzi kimewataka wananchi wote wenye nia ya kuanzisha maandamano kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, kuachana mara moja na mpango huo, kikisisitiza kuwa maandamano hayo yanaweza kuhatarisha amani na usalama wa taifa.…

15 October 2025, 14:36

Ushiriki wa wanawake katika uchaguzi mkuu

Wakati zikiwa zimesalia siku chache kabla ya uchuguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kampeni zimeendelea katika maeneo mbalimbali nchini huku wanawake nao wakiwa hawajaachwa nyuma katika kushiriki uchaguzi.

13 October 2025, 10:55

Zitto aahidi kuifanya Kigoma kuwa kitovu cha biashara

Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitaendelea kuwatetea wananchi wa Kigoma hususani wenye changamoto ya kupata vitambulisho vya uraia, kuboresha miundombinu ya barabara za mitaa na kuufanya mji wa Kigoma kuwa wa kimkakati Na Mwandishi wetu Mgombea ubunge katika Jimbola Kigoma…

11 October 2025, 16:30

Zaidi ya wananchi 3500 kupatiwa huduma za kibingwa Kigoma

Katika kuadhimisha miaka 53 tangu kuanzishwa kwa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Kigoma Maweni, Hospitali hiyo inatarajia kutoa huduma za matibabu ya kibingwa kwa wananchi wa Mkoa wa Kigoma kuanzia jumatatu ya Oktoba 13 hadi 17 mwaka huu wa…

11 October 2025, 11:56

Mgombea ubunge CUF aahidi pembejeo za kilimo na kusaidia wavuvi Kigoma

Chama cha CUF kimesema kitaendelea kusimamia haki za wananchi ikiwemo kutatua changamoto zinazowakabili hasa miundombinu ya barabara za mitaa, afya na huduma zote za kijamii Na Mwandiahi wetu Mgombe Ubunge katika Jimbo la Kigoma Kaskazini kupitia Chama cha CUF Kashindi Ally…

10 October 2025, 21:35

Sirro ahimiza watoto kusoma masomo ya sayansi Kigoma

Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika kubotesha miundombinu ya kujifunza na kufundishia ili kuhakikisha watoto wanapata elimu iliyo bora Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amewahimiza wazazi Mkoani Kigoma kuhamasisha watoto kuyapenda…

10 October 2025, 12:32

RC Kigoma ataka wananchi kutoa ushahidi vitendo vya ukatili Kasulu

Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo katika kutoa elimu na hamasa kwa wananchi ili waweze kushiriki katika mikakati ya kutokomeza vitendo vya ukatili kwenye jamii. Na Mwandishi wetu Wananchi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa tayari…

10 October 2025, 11:45

Walimu wanolewa kutengeneza zana za kufundishia Kigoma

Katika kuhakikisha walimu wanaendelea kuwa mahiri katika ufundishaji serikali imeendelea kuwapa ujuzi wa walimu ili kufahamu namna ya kutengeneza zana za kufundishia wanafunzi. Na Tryphone Odace Mafunzo ya uandaaji na utengenezaji wa zana za kufundishia na kujifunzia kwa Walimu mahiri…

10 October 2025, 08:05

Dkt. Nchimbi kufanya ziara ya kampeni Kigoma

Mgombea Mwenza wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kinyang’anyiro cha Urais wa Tanzania katika mwaka huu kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt.Balozi Emmanuel John Nchimbi anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili ya kampeni Mkoani Kigoma kuanzia Kigoma Oktoba 12 na 13.…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.