Joy FM

Recent posts

7 January 2026, 14:21

RC Sirro amkalia kooni mkandarasi soko la Mwanga

Ujenzi wa soko la Mwanga Manispaa ya Kigoma unaoendelea unatajwa kuwa utakapokamilika utasaidia wafanyabiashara kupata sehemu salama ya kufanyia biashara zao. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simoni Nyakoro Sirro amemtaka Mkandarasi wa Ujenzi wa Soko la…

7 January 2026, 08:59

RC Kigoma asema hali ya usalama ni shwari

Serikali inaendelea kuchukua hatua katika kuboresha utendaji kazi wa Jeshi la Polisi kwa kuongeza kiasi kikubwa nyenzo za usafiri ili kurahisisha ufikiwaji wananchi na kutatua changamoto zao za kiusalama Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro…

6 January 2026, 14:21

Uhamiaji Kigoma waja na mkakati wa mjue jirani yako

Wananchi Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kutoa taarifa za watu wanaingia na kuishi Nchini kinyume cha sheria ili waweze kuchukuliwa hatua za kisheria Na Orida Sayon Jeshi la uhamiaji Mkoani Kigoma limesema limeanza mkakati wa kudhibiti uhamiaji haramu kutoka nchi jirani…

6 January 2026, 10:56

Serikali yaimarisha dhana ya polisi jamii kwa kusogeza huduma

Maofisa wa Polisi kutoka katika mikoa mitatu ya Kigoma, Tabora na Kagera wamepatiwa elimu kuhusu dhana ya Polisi Jamii Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi kupitia Kamisheni ya Polisi jamii limeendesha mafunzo ya siku moja ya kuwajengea uwezo Maofisa wa…

1 January 2026, 14:37

Rais wa Burundi aomba Rwanda kusema ukweli

Rais Evariste Ndayishimiye ameishutumu Rwanda kwa madai ya kuyumbisha usalama ukanda wa maziwa makuu na Afrika masshariki na kuwa na nia mbaya kwa nchi ya Burundi. Katika hotuba ya mwaka mpya kwa warundi, rais Ndayishimiye alihusisha machafuko katika Jamhuri ya…

1 January 2026, 14:19

Wakristo waaswa kumtegemea Mungu katika maisha yao Misenyi

Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kikukwe Dayosisi ya Kaskazini Magharibi Mchungaji Edward Mutashobya amesema kumtegemea mungu kunasaidia kuendelea kuwa maisha yaliyo mema. Na Hagai Ruyagila Waumini wa dini ya Kikristo Wilayani Misenyi mkoani…

31 December 2025, 12:38

Kigoma watakiwa kuzingatia lishe bora kwa watoto

Na Esperance Ramadhan Katika kuendelea  kuhakikisha jamii inakuwa na afya njema, Jamii imetakiwa kutekeleza afua za lishe kwa kutoa elimu ya afya na lishe kwa wazazi na walezi.  Lishe bora ni msingi mzuri wa afya bora na  inachangia kwa kiasi…

30 December 2025, 12:37

DC Buhigwe apongeza wananchi kwa juhudi za kuleta maendeleo

Wananchi Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wamepongezwa kwa hatua ya kuongeza juhudi za kuchochea shughuli za maendeleo zilizosaidia kukuza uchumi wa familia na Taifa kwa ujumla. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Michael Ngayalina amewapongeza wananchi Wilayani humo kwa…

29 December 2025, 15:55

Burundi yatajwa nchi yenye watu wenye furaha

Wakati mashirika ya kimataifa yakieleza kuwa Burundi ni miongoni mwa nchi masikini zaidi duniani, Rais wa nchi hiyo amesema watu wa nchi hiyo wana furaha. Na Bukuru Daniel Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye anasema anaiona nchi yake kama nchi ya…

29 December 2025, 09:45

Jamii Kasulu yaaswa kutumia mitandao ya kijamii kwa njia chanya

Katika ulimwengu wa sasa, mitandao ya kijamii imekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku watu wengi hutumia mitandao kwa mawasiliano, kupata habari na kujiburudisha, hata hivyo, matumizi ya mitandao yanaweza kuwa na faida au hasara kulingana na namna inavyotumiwa.…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.