Joy FM

Recent posts

15 January 2026, 11:04

Ujumbe wa viongozi Congo watoa msaada kwa wakimbizi Kigoma

Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, Barbara Dotse amesema shirika hilo linaendelea kutafuta fedha ili huduma za kibinadamu kwa wakimbizi hao wa Congo ziweze kurejea kawaida huku wakitafuta suluhisho la kudumu la wakimbizi hao kurejea…

14 January 2026, 10:55

COPRA yakabidhi mbegu za mbaazi kwa wakulima Uvinza

Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mh. Dinah Mathamani amesema kuwa kilimo bado ni uti wa mgongo wa uchumi wa wananchi wa Uvinza na kuwa mbegu bora zinasaidia kuongeza mavuno Na Mwandishi wetu Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko…

13 January 2026, 11:04

RC Kigoma atembelea machimbo ya dhahabu Mwironge Kakonko

Serikali ya Mkoa wa Kigoma imeeleza kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa katika kulinda maji ya mto Nyamironge na kuelekeza kutumia eneo kwa umbali wa mita sito kutoka usawa wa mto Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya Kakonko Mkoani Kigoma Kanasli Evance…

12 January 2026, 20:34

Mawaziri kutoka Congo kutembelea kambi ya wakimbizi Nyarugusu

Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema wakimbizi kutoka Congo waliopo katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu wameendelea kuwa watulivu na kufuata sheria za ndani ya Nchi Na Mwandishi wetu Ujumbe wa Mawaziri kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umewasili Mkoani…

11 January 2026, 15:16

RC Kigoma aagiza soko la Kagunga lianze kutumika

Mradi wa soko la kimkakati la kimataifa lililopo Kagunga lilianza kujengwa mwaka 2009 na likitarajiwa kuwanufaisha wafanyabiashara kutoka Tanzania, Burundi na hata Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro ameagiza kuanza…

9 January 2026, 11:53

Mikopo ya 10% ilivyoinua maisha ya wananchi Kigoma

Mikopo ni nyenzo muhimu ya kuwawezesha vijana, wanawake na watu wenye ulemavu katika kujenga maisha bora na kuchangia maendeleo endelevu. Na Orida Sayon Baadhi ya wananchi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji hasa vijana wameomba kuendelea kupewa elimu ya mikopo ya…

9 January 2026, 08:54

TASAC yawapa kicheko watumiaji Ziwa Tanganyika

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeshusha boti ya uokoaji katika Ziwa Tanganyika yenye vifaa vya kisasa ambavyo vitawawezesha kutambua eneo ilipotokea changamoto majini na kufikisha huduma za dharura. Na Mwandishi wetu Wasafirishaji wa vyombo vidogo vya majini na…

8 January 2026, 14:23

TANTRADE kusaidia wazalishaji wa zao la mhogo Kakonko

Serikali wilayani Kakonko mkoani Kigoma kupitia TANTRADE imesema itawasaidia wakulima wa zao la mhogo kutafuta masoko ili waweze kuuza zao ndani na nje ya nchi na kuwa na soko la uhakika. Na Josephine Kiravu Wafanyabiashara wa zao la mhogo wilayani…

8 January 2026, 13:08

Mkandarasi ajenge vibanda vya biashara kwa wakati-RC Kigoma

Ujenzi wa vibanda vya biashara kwa ajili ya wajasiriamali vinavyoendelea kujengwa kando ya barabara vimetajwa kuwasaidia wafanyabiashara wadogo wadogo ambao wamekuwa wakipata changamoto ya mvua na jua wakati wa biashara zao. Na Lucas Hoha Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi…

8 January 2026, 08:41

IRC yakabidhi majengo yake kwa serikali Kigoma

Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Isack Mwakisu ameielekeza Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu kuhakikisha ndani ya kipindi cha siku 14 inaandaa maandiko yatakayobainisha matumizi ya majengo ya IRC Na Mwandishi wetu Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma imekabidhiwa rasmi…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.