Joy FM

Recent posts

17 November 2025, 13:20

Wananachi Kigoma waaswa kuzingatia lishe bora

Na Timotheo Leonard Wananachi Mkoani Kigoma wameaswa kuzingatia lishe bora ya  makundi sita ya vyakula ili kuimarisha afya zao kwa  kuongeza virutubishi mwilini vinavyoimarisha  mwili na akili. Kauli hiyo imetolewa na Afisa lishe Mkoa wa Kigoma James Mbalabo wakati akizungumza na…

17 November 2025, 12:45

Wananchi watakiwa kutunza miundombinu ya maji Uvinza

Serikali Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma imesema inaendelea kuboresha miundombinu ya maji ili kuhakikisha upatikanaji wa maji kwa wananchi umaimarika zaidi kwa kupata maji safi na salama Na Sadick Kibwana Wananchi Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma wametakiwa kusaidia kutunza na kuchangia huduma…

17 November 2025, 08:56

Ujenzi wa masoko 14 pembezoni mwa barabara wafikia 75% Kigoma

Mkoa wa Kigoma umeanza rasmi utekelezaji wa ujenzi wa masoko pembezoni mwa barabara umeanza ili kuhakikisha wajasiriamali wanapata sehemu ya kuuzia. Na Mwandishi wetu Serikali mkoani hapa  inatekeleza mradi wa ujenzi wa masoko madogo 14 yenye Thamani ya Shilingi Mil.490…

13 November 2025, 09:04

RC Kigoma ataka miundombinu ya barabara mahale kuboreshwa

Serikali imetaka miundombinu ya barabara kuelekea hifadhi ya mahale kuimarishwa ili kurahsisha usafir wa watali Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, amewaelekeza Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, pamoja na Wakala wa Barabara za Mijini na…

7 November 2025, 09:10

Wafanyabiashara soko la Nazareti walia na ukosefu choo na maji

Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro ametoa mwezi mmoja kwa uongozi wa Manispaa ya Kigoma ujiji kupitia kwa Mkuu wa Wilaya hiyo kuhakikisha huduma ya choo inapatikana katika soko la Nazareti Na Mwandishi wetu Wafanyabiashara katika soko la wakulima…

7 November 2025, 08:51

Serikali kujenga masoko madogo ya wachuuzi Kigoma

Baadhi ya vijiji yatakapojengwa masoko hayo ni Simbo wilayani Kigoma, Kazuramimba na Nguruka wilayani Uvinza na Rusesa, Kasangezi na Bugaga wilayani Kasulu. Na Emmanuel Matinde Serikali Mkoani Kigoma imeanza mpango wa ujenzi wa masoko madogo ya wachuuzi kwenye vituo vidogo…

6 November 2025, 13:56

Waratibu wa JZK watakiwa kuleta matokeo chanya kwenye elimu

Serikali imeendelea kuwanoa waratibu wa Jumuiya za Kujifunza ili waweze kusiamamia maadili ya kazi Na Emmanuel Kamangu Waratibu wa Jumuiya za Kujifunza (JZK) katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wametakiwa kuacha tabia ya kutanguliza posho mbele hasa wanaposhiriki mafunzo badala…

5 November 2025, 15:55

DC Kasulu ataka wananchi kuendelea na shughuli zao

Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Isaac Mwakisu amewataka wananchi kuendelea na shughuli zao kwa amani na utulivu Na Hagai Ruyagila Wananchi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea na shughuli za uzalishaji kwa uhuru na Amani Kutokana na kuimarishwa kwa Hali…

29 October 2025, 11:30

Katibu tawala Kigoma aongoza wananchi kupiga kura

Wananchi na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Kigoma wamejitokeza kupiga kura leo katika maeneo mbalimbali ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa matakwa ya kikatiba ya kuchagua viongozi wao Na Josephine Kiravu Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa hii leo…

29 October 2025, 10:01

Dkt. Mpango ashiriki zoezi la upigaji kura Buhigwe

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameshiriki zoezi la kupiga kura ya kuchagua Rais, Mbunge na Diwani akiwa katika Kijiji cha Kasumo, Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma leo tarehe 29 Oktoba 2025. Na…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.