Joy FM
Joy FM
21 January 2026, 10:57
Katika jamii zetu kuna watu wenye mahitaji maalum kama vile wenye ulemavu wa viungo, kusikia, kuona au akili na watu hawa ni sehemu muhimu ya jamii na wana haki sawa na wengine hivyo basi ni wajibu wa jamii kuwasaidia ili…
20 January 2026, 15:28
Jeshi la Polisi limewasihi wafanyabiashara kuwa waaminifu na kuepuka udanganyifu katika kupima mazao ikiwa ni pamoja na kutumia serikali ya kata na mtaa kutatua kero zinazojitokeza katika eneo lao Na Emmanuel Kamangu Wafanyabiashara wa mazao katika soko la Mnadani Kata…
20 January 2026, 11:37
Maeneo ya hifadhi ni maeneo maalumu yaliyotengwa kwa ajili ya kulinda maliasili kama vile wanyamapori, mimea na mazingira kwa ujumla, maeneo haya yana mchango mkubwa katika uhifadhi wa mazingira, kukuza utalii, na kulinda urithi wa taifa kwa vizazi vya sasa…
19 January 2026, 15:25
Naibu Waziri wa Ujenzi Godfrey Kasekanya ameupongeza wakala wa barabara nchini TANROADS Mkoa wa Kigoma kwa kumsimamia vizuri mkandarasi anaejenga barabara ya Malagarasi-Ilunde- Uvinza kwa kuikamilisha kwa viwango. Na Josephine Kiravu Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amemwagiza mkandarasi…
19 January 2026, 14:47
Naibu Waziri wa maji Mhandisi Kundo Matthew amempa siku 60 mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa mradi wa maji wa miji 28 katika Halmashauri ya mji Kasulu Mkoani Kigoma kukamilisha mradi huo. Na Hagai Ruyagila Naibu Waziri wa Maji, Mheshimiwa Kundo Mathew,…
19 January 2026, 13:06
Elimu ni nguzo muhimu katika maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa ujumla na taifa lolote linalotamani maendeleo ya kiuchumi, kijamii na kiteknolojia haliwezi kufanikiwa bila kuwa na mfumo wa elimu imara. Na Michael Mpunije Walimu wa shule za msingi…
16 January 2026, 15:35
Afisa Elimu Mkoa wa Kigoma Mwalimu Paulina Ndigeza amewataka walimu kuhakikisha wanafundisha matumizi ya msingi wa awali (baseline) ili kuwajengea uwezo wanafunzi wa somo la kingereza Na Hagai Ruyagila Walimu wakuu pamoja na walimu wa kidato cha kwanza katika Halmashauri…
16 January 2026, 14:15
Jeshi la Zima moto na uokoaji Mkoani Kigoma limewataka wananchi kuhakikisha wanachukua tahadhari za majanga ya moto. Na Sadiki Kibwana Wananchi wanaotumia bandari za Mkoa wa Kigoma wametakiwa kuchukua tahadhari mapema kabla ya kuanza kusafiri majini ili kujikinga na majanga…
16 January 2026, 11:38
Serikali imesema inaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha inaongeza ufaulu kwa wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari Wakuu wa shule za msingi na Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimama kidete kuhakikisha ufaulu kwa wanafunzi unaongezeka.…
15 January 2026, 11:43
Wakimbizi wa Congo wanaohifadhiwa Kambi ya wakimbizi Nyarugusu Mkoani Kigoma, wameiomba Serikali ya Congo kuwahakikishia amani na usalama nchini mwao hasa katika maeneo yaliyoathiriwa kutokana na mchafuko ya vita na kuwalazimu kukimbia, ili waweze kurejea nchini kwao kwa hiyari na…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.