Joy FM
Joy FM
20 November 2025, 11:32
Viongozi wametakiwa kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na uwajibikaji Na Hagai Ruyagila Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika Mhashamu Emmanuel Bwatta amewahimiza viongozi wa Dini na watumishi wa umma nchini kuwatumikia wananchi kwa nidhamu, uadilifu, uwazi na uwajibikaji…
20 November 2025, 10:37
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwa marais watatu waliotunukiwa tuzo ya heshima kwa kuandaa fainali za CHAN 2024 iliyofanyika mwezi Agosti mwaka huu katika mataifa ya Kenya, Uganda na Tanzania. Na Mwandishi wetu Shiriko la Soka…
19 November 2025, 12:33
Mashamba darasa ni maeneo maalumu yanayotumika kufundishia na kuonesha mbinu mbalimbali za kilimo kwa vitendo na ni darasa wazi linalomuwezesha mkulima kujifunza kwa kuona na kushiriki moja kwa moja katika shughuli za kilimo. Na Michael Mpunije Mkuu wa wilaya ya…
19 November 2025, 12:22
Na Lucas Hoha Kikundi cha umoja wa majirani wanaume waishio Kata ya Kibirizi Mtaa wa Buronge Manispaa ya Kigoma Ujiji wametoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea wazee wasiojiweza cha Silabu lengo likiwa ni kuonesha umoja katika kuisaidia…
18 November 2025, 17:16
Wakulima katika Halmashauri ya Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kujikita katika kilimo cha kahawa ili waweze kujikwamua kiuchumi Na Emmanuel Kamangu Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma leo Jumanne Novemba 18, 2025, imetoa jumla ya miche 200,000 ya Kahawa…
18 November 2025, 13:04
Vitendo vya ukatili kwa vijana ni tabia au matendo yanayowadhuru kimwili, kihisia, kijinsia, au kijamii na ukatili huu unaweza kufanywa na watu wazima, wenzao, au hata mamlaka. Na Sadick Kibwana Vijana katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameiomba Serikali kuendelea kutoa…
18 November 2025, 11:50
Serikali ya Mkoa wa Kigoma imewatoa shukrani kwa wawakilishi wa nchi na wadau wa maendeleo kwa kufanikisha kuendelea kufadhili miradi mbalimbali ya kijamii katika kambi za wakimbizi zilizopo Kigoma Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro…
17 November 2025, 17:12
Wahitimu katika chuo cha ufundi stadi veta Wilayani Kibondo mkoani Kigoma wamehimizwa kutumia mafunzo waliyoyapata kwa ajili ya manufaa yao ili waweze kujikwamua katika maisha yao ya kila siku hali itakayopunguza wimbi la vijana wasio na ajira hapa nchini. Na…
17 November 2025, 15:32
Serikali katika Halmashauri ya Mji wa Kasulu imewataka wakulima kutunza vizuri miche ya kahawa waliyopewa ili iweze kuwanufaisha na kuongeza kipato cha familia na Taifa kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Zaidi ya miche Milioni 1.3 ya Kahawa imegawiwa kwa wakulima…
17 November 2025, 13:24
Wazazi na walezi Mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanawalea watoto wao katika malezi yaliyo bora Na Hagai Ruyagila Katibu tawala wa mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa amewataka maafisa maendeleo ya jamii na maafisa ustawi wa jamii katika Halmashauri zote za Mkoa…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.