Joy FM

Recent posts

19 February 2026, 16:40

Serikali na wadau wapunguza vifo vitokanavyo na uzazi

Shirika la Thamini Uhai limezindua mradi wa Mjamzito na Mtoto Salama wenye lengo la kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi katika mikoa mitatu ya Kigoma, Katavi na Geita Na Mwandishi wetu Serikali kwa kushirikiana na wadau wameendelea kupiga hatua muhimu kuelekea…

19 February 2026, 15:57

Wakristo watakiwa kuhubiri amani kuimarisha maendeleo Kasulu

Amani na mshikamano ni nguzo ya maendeleo endelevu na kila mwananchi ana wajibu wa kulinda amani kwa matendo na maneno yake. Na Hagai Ruyagila Waumini wa dini ya Kikristo wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, wametakiwa kuendelea kudumisha amani na mshikamano ili…

19 February 2026, 15:44

Ukarabati MV Liemba wafikia asilimia 55 Kigoma

Serikali kupitia Wizara ya uchukuzi imesema haitosita kuchukua hatua za kisheria kwa wasimamizi wanaopewa dhamana ya kusimamia miradi ya maendeleo ambao wanashindwa kuendana na kasi ya serikali katika utekelezaji na ukamilishaji wa miradi kwa wakati Na Tryphone Odace Naibu Waziri…

17 February 2026, 10:51

KUWASA Kasulu kuboresha upatikanaji wa maji kwa wananchi

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Kasulu Mjini (KUWASA) imesema inaendelea kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi ili kuhakikisha wanapata maji safi na salama kwa matumizi ya kila siku. Akizungumza kuhusu hali ya huduma hiyo, Kaimu…

17 February 2026, 10:42

Wabunge Kigoma wataka ubovu wa barabara kupatiwa ufumbuzi

Wabunge mkoani Kigoma wametaka miundombinu mibovu ya barabara kupatiwa ufumbuzi, ili kuondoa adha kwa wajawazito kupoteza maisha wakiwa njiani kufuata huduma maeneo mengine na wananchi kushidwa kusafiri Na Kadislaus Ezekiel Changamoto ya ukosefu wa daraja katika Mto Maragalasi Kijiji cha…

16 February 2026, 16:36

RC Sirro aongoza kikao cha bodi ya barabara Kigoma

Wakala wa barabara za mijini na vijijini TARURA pamoja na Wakala wa barabara Nchini TANROADS Mkoa wametakiwa kuwaelekeza wakandarasi kutochimba vifusi jirani na maeneo ya makazi Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro ameongoza kikao cha…

13 February 2026, 16:18

RAS Kigoma ataka wataalamu wa afya kufanya kazi kwa weledi

Katibu tawala Mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa amewataka wataalamu wa afya Mkoani Kigoma kufanya kazi kwa weledi katika utekelezaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali Na Sadick Kibwana Zaidi ya wajawazito 3,000 wanatarajia kunufaika na kitita jumuishi cha afya ya…

13 February 2026, 14:54

Wafanyabiashara watakiwa kulipa kodi Kasulu

Halmashauri ya Mji wa Kasulu kupitia baraza la madiwani lililo keti hivi karibuni walikubaliana kukusanya  na kutumia kiasi cha  zaidi ya shilingi billion 40 kwa mwaka wa fedha 2026/27 hivyo  oparesheni hiyo ni moja na mwanzo kwa halmashauri hiyo kukusanya…

13 February 2026, 14:15

DED Kasulu ahimiza nidhamu kwa walimu na wanafunzi kuongeza ufaulu

Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imewataka walimu wakuu wa shule za Sekondari kuhakikisha wanasimamia nidhamu ili kuongeza ufaulu Na Hagai Ruyagila Wakuu wa Shule za Sekondari katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia suala la nidhamu…

13 February 2026, 10:05

Watoto yatima wapewa msaada na kanisa la Anglikani Kigoma

Watoto yatima ni sehemu muhimu ya jamii yetu na hawa ni watoto waliopoteza wazazi wao au walezi wao, hivyo hukosa malezi, ulinzi na msaada wa karibu wa kifamilia na kutokana na hali hiyo, watoto yatima hukumbana na changamoto nyingi kama…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.