Joy FM

Recent posts

17 September 2025, 09:11

Miradi ya maendeleo kupitiwa na mwenge wa uhuru Kasulu Mji

Mwenge wa uhuru umeendelea kukimbizwa katika Halmashauri za Mkoa wa Kigoma kwa kutembelea na kuweka mawe ya msingi Na Hagai Ruyagila Miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo miradi ya shule afya na miradi ya vikundi vya vijana na wanawake katika Halmashauri…

16 September 2025, 09:56

Miradi 56 ya shilingi 64.7b kupitiwa na mwenge Kigoma

Mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2025 zimeanza rasmi mkoani Kigoma ambapo miradi 16 ikitarajiwa kuwekewa mawe ya Msingi, mmoja kufunguliwa, 27 kuzinduliwa huku mingine 12 ikitembelewa na kukaguliwa. Na Tryphone Odace Mwenge wa uhuru umeanza mbio zake Mkoani…

12 September 2025, 13:23

DC Kigoma awaita wananchi kumpokea Dkt. Samia

Mgombea Uras kupitia chama cha mapinduzi CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwasili Mkoani Kigoma kwa ajili kampeni za kuomba kura kwa wananchi Na Esperance Ramadhan Mkuu wa Wilaya Kigoma Dk. Rashid Chuachua amewataka wananchi wa Mkoa Kigoma kujitokeza kwa…

12 September 2025, 08:24

TRA yazindua dawati la uwezeshaji biashara Kigoma

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoani Kigoma imezindua dawati la uwezeshaji biashara ili kusaidia wafanyabiashara wadogo na wakubwa kuinuka kiuchumi huku wakiomba dawati hilo kusaidia kuondoa changamoto ya kubambikizwa kodi. Na Kadislaus Ezekiel Mamlaka ya mapato (TRA) Mkoa Kigoma imesema…

11 September 2025, 15:53

RC Sirro: Mipaka ya vijiji na kitalu cha uwindaji iwekwe alama

Wananchi wa vijiji vinavyopakana na enep la hifadhi ya Kitalu cha Uwindaji cha Makere – Uvinza wametakiwa kuheshimu mipaka iliyowekwa Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Wiilaya ya Kasulu kutambulisha…

11 September 2025, 14:17

Miradi 7 kutembelewa na mwenge wa uhuru Buhigwe

Wananchi Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kujitokeza kuupokea mwenge wa uhuru ambao unatarajiwa kuingia Wilayani humo September 19 Na Emmanuel Kamangu Mwenge wa uhuru katika Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma unatarajia  kutembelea  miradi saba ya maendeleo. Mratibu wa…

11 September 2025, 13:39

Wagombea vyama vya siasa waonywa kutovunja amani Kasulu

Wito umetolewa kwa wagombea kuhakikisha wanafanya kampeni za ustaarabu na kuheshimu kanuni na sheria za Nchi ili kuepuka kusababisha vurugu kwa Taifa Na Hagai Ruyagila Wagombea wa nafasi mbali mbali za uongozi katika wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, wameshauriwa kuhakikisha…

10 September 2025, 14:18

Dkt. Samia kutua Kasulu Septemba 13

Wananchi wa Wilaya ya Kasulu wameeleza furaha yao kwa ujio wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni mgombea Urais kuwa utatoa nafasi kwa wananchi kueleza mahitaji yao Na Hagai Ruyagila Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye…

10 September 2025, 09:28

RC Kigoma ahimiza viongozi wa dini kuhubiri amani

Serikali ya Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na Serikali Kuu imesema itaendelea kusimamia Sera na mikakati ya kudumisha amani, usalama na Maendeleo kwa wananchi wa Mkoa wa Kigoma. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, IGP Mstaafu Balozi Simon…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.