Joy FM

Recent posts

6 November 2025, 13:56

Waratibu wa JZK watakiwa kuleta matokeo chanya kwenye elimu

Serikali imeendelea kuwanoa waratibu wa Jumuiya za Kujifunza ili waweze kusiamamia maadili ya kazi Na Emmanuel Kamangu Waratibu wa Jumuiya za Kujifunza (JZK) katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wametakiwa kuacha tabia ya kutanguliza posho mbele hasa wanaposhiriki mafunzo badala…

5 November 2025, 15:55

DC Kasulu ataka wananchi kuendelea na shughuli zao

Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Isaac Mwakisu amewataka wananchi kuendelea na shughuli zao kwa amani na utulivu Na Hagai Ruyagila Wananchi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea na shughuli za uzalishaji kwa uhuru na Amani Kutokana na kuimarishwa kwa Hali…

29 October 2025, 11:30

Katibu tawala Kigoma aongoza wananchi kupiga kura

Wananchi na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Kigoma wamejitokeza kupiga kura leo katika maeneo mbalimbali ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa matakwa ya kikatiba ya kuchagua viongozi wao Na Josephine Kiravu Katibu Tawala Mkoa wa Kigoma Hassan Rugwa hii leo…

29 October 2025, 10:01

Dkt. Mpango ashiriki zoezi la upigaji kura Buhigwe

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameshiriki zoezi la kupiga kura ya kuchagua Rais, Mbunge na Diwani akiwa katika Kijiji cha Kasumo, Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma leo tarehe 29 Oktoba 2025. Na…

28 October 2025, 14:32

Wazazi watakiwa kuwapa fursa ya elimu watoto wenye ulemavu Kasulu

Serikali imewataka wazazi na walezi kuhakikisha wanawapa watoto wenye ulemavu nafasi ya kwenda shule ili wapate elimu kama watoto wengine Na Hagai Ruyagila Wazazi na walezi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa Kuwapatia fursa watoto wao wenye mahitaji maalumu kushiriki katika…

27 October 2025, 14:36

RC Sirro atembelea wakazi waliopisha hifadhi Kasulu

Serikali imesema itahakikisha inapeleka huduma zote muhimu kwa wananchi waliohama kupisha hifadhi ya kitalu cha uwindaji Makere – Uvinza na kuanza makazi mapya katika kitongoji cha Katoto Wilayani Kasulu Na Mwandishi wetu Zaidi ya wakazi 800 wamehamisha makazi yao kutoka…

27 October 2025, 12:42

Wananchi watakiwa kudumisha usafi wa mazingira Kasulu

Serikali imeendelea kuhamasisha wananchi kuzingatia suala usafi wa mazingira kama ambavyo sheria ya mazingira ya 2016 inavyoelekeza kila mwananchi kuhakikisha mazingira yanayomzunguka yanakuwa safi salama Na Hagai Ruyagila Wananchi katika Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanadumisha usafi wa…

25 October 2025, 10:21

RC Sirro ahimiza wananchi kufanya usafi wa mazingira

Idara ya afya Mkoa wa Kigoma imesema inaendelea kuweka mikakati ya kuhamasisha wananchi kuzingatia suala la usafi wa mazingira ili kuepuka magonjwa ya mlipuko Na Tryphone Odace Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka wananchi kuhakikisha wanafanya usafi wa…

24 October 2025, 17:26

Jeshi la zimamoto Kigoma lapata mitambo mipya

Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoani Kigoma limepokea mtambo wa kisasa wa kuzima moto na vitendea kazi vitakavyowezesha kuboresha upatikanaji wa huduma za zimamoto kwa wananchi. Na Orida Sayon Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amekabidhi magari manne…

24 October 2025, 15:32

Wenye ulemavu Kasulu kuchangamkia mikopo

Halmashauri ya mji Kasulu Mkoani Kigoma imewataka watu wenye ulemavu kujitokeza na kuchangamkia mikopo inayotolewa kwa makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu. Na Hagai Ruyagila Watu wenye Ulemavu katika halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wameshauriwa kutumia fursa…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.