Joy FM

Recent posts

25 September 2025, 08:34

Zitto aendelea kuanika mikakati ya kuipaisha Kigoma

Chama cha ACT – Wazalendo kimeendelea na mikakati ya kuhakikisha kinatatua changamoto zinazowakabili wananchi wake. Na Tryphone Odace Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo, mojawapo…

25 September 2025, 08:26

Jamii imehimizwa kujiunga na bima ya afya Kasulu

Jamii Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma imehimizwa kujiunga na Bima ya Afya ili kujihakikishia huduma bora za matibabu kwa wakati wa changamoto za kiafya. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi wa wilaya ya Kasulu Bw, Selemani Malumbo wakati…

24 September 2025, 08:55

Zitto kuboresha barabara na soko kata ya Businde Kigoma

Chama cha ACT- Wazalendo kimesema kuwa kimedhamiria kuhakikisha kinaboresha maisha ya wananchi wa Kata ya Businde kwa kujenga barabara, Soko na kutatua changamoto zinazowakabili ili kata hiyo ionekane kama kata iliyopo ndani ya Manispaa Na Tryphone Odace Mgombea ubunge katika…

22 September 2025, 14:03

Mwenge wa uhuru wazindua kituo cha sayansi Buhigwe

Jumla ya miradi 7 ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 2 wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma imetembelewa,kuzinduliwa na mingine kuwekewa mawe ya msingi na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru Kitaifa Ismail Ali Ussi. Na Emmanuel Kamangu…

22 September 2025, 12:23

TADB kuwezesha wafugaji na wakulima mikopo Kigoma

Wafugaji na wakulima wameomba Serikali na wadau mbalimbali wa maendeleo kuendeleaa kuwapa mikopo ili waweze kuendesha shughuli zao na kuongeza thamani ya bidhaa wanazozalisha Na Tryphone Odace Benki ya Kilimo Tanzania TADB imesema inaendelea kufanya mapinduzi ya kilimo kwa kuwawezesha…

19 September 2025, 08:41

Wananchi wachekelea milioni 300 zikijenga wodi ya wazazi Kasulu

Serikali imesema itaendelea kuboresha huduma za afya ili wananchi waweze kupata huduma karibu na maeneo yao Na Hagai Ruyagila Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Ismail Ussi, ameweka jiwe la msingi katika jengo la wodi ya wazazi katika…

18 September 2025, 15:30

Zitto kutenga bilioni 1 mikopo isiyo na riba Kigoma

Wananchi wa Kata ya Kagera Manispa ya Kigoma Ujiji, wameomba mgombea ubunge wa jimbola Kigoma mjini Zitto Kabwe kuwasiadia kutatua changamoto ya uwepo mikopo umiza. Na Mwandishi wetu Mgombea ubunge jimbo la Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto…

18 September 2025, 10:09

ACT Wazalendo kuifanya Kagera kuwa eneo la kimkakati

Chama cha ACT Wazalendo kimeahidi kuhakikisha kinatatua changamoto zinawakabili wananchi wa Kata ya Kagera Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa kuboresha na kuendelea miradi iliyoanzishwa na chama hichi kwa kipindi walichokuwepo madarakani ikiwemo barabara na maji Na Mwandishi wetu Mgombea ubunge…

17 September 2025, 15:06

Ussi akoshwa na mradi wa nyumba za walimu Kasulu

Katika kuthamini mchango wa watumishi  wa Umma, Serikali imeendelea kuimarisha mazingira ya kutolea huduma ikiwemo kujenga nyumba kwa ajili ya makazi ya watumishi ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wao. Na Hagai Ruyagila Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru…

17 September 2025, 09:57

Mwenge wa uhuru wawasili Kasulu, kukagua miradi 14 ya maendeleo

Mwenge wa uhuru umewasili Wilayani Kasulu na unatarajia kupitia na kukagua miradi 14 ya maendeleo Na Hagai Ruyagila Jumla ya miradi 14 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.7 inatarajiwa kukaguliwa, kutembelewa na mingine kuwekewa jiwe la msingi wakati…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.