Joy FM
Joy FM
25 November 2025, 17:08
Katika kukabiliana na vitendo vya ukatili kwenye jamii, wanamabadiliko wa masuala ya ukatili wa kijinsia wamepewa baiskeli ili waweze kuwafikia wahanga wa vitendo hivyo. Na Hagai Ruyagila Shirika la Kivulini kwa kushirikiana na shirika la Plan International chini ya ufadhili…
25 November 2025, 12:34
Wavuvi katika Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma wamelalamikia matukio ya kuvamiwa na kuporwa zana za uvuvi ambapo wameiomba Serikali kuchukua hatua ili kudhibiti uhalifu na wahalifu wanaofanya matukio hayo ya wizi kwa wavuvi wakiwa katika majukumu yao nyakati za usiku. Na…
25 November 2025, 11:00
Wito umetolewa kwa wazazi na walezi wilayani Kigoma mkoani Kigoma kuwekeza kwenye elimu kwa kuhakikisha wanawasomesha watoto wao ili waweze kufikia ndoto zao. Na Sofia Cosmas Wazazi na walezi wametakiwa kuwapeleka watoto kusoma elimu ya awali katika shule zilizopo karibu…
24 November 2025, 14:34
Wakristo wameaswa kufanya kazi kwa bidii na kuacha utegemezi Na Prisca Kizeba Waumi wa Dini ya Kikristo Katika Manispa ya Kigoma Ujiji wameaswa kufanya kazi ili waweze kuepukana na utegemezi na kujiletea maendeleo yao binafsi na kanisa kwa ujumla. Hayo…
24 November 2025, 13:01
Jamii na wadau wa maendeleo wameshauriwa kuendelea kujtokeza na kuwasaidia watoto wenye ulemavu ili waweze kujiona ni sehemu ya jamii Na Hagai Ruyagila Katika kuunga mkono jitihada za serikali kwa kuboresha sekta ya elimu kwa watoto wenye mahitaji maalum, Kampuni…
24 November 2025, 12:32
Wazazi na Walezi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na desturi ya kuanda lishe bora kwa watoto Na Dotto Josephati Wazazi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wanatakiwa kuongeza juhudi kwa kuwachangia chakula cha watoto wao shuleni ili iwasaidie kuongeza ufanisi wa…
22 November 2025, 11:17
Licha ya mikakati inayoendelea kuweka na Serikali ya Burundi ya kuhakikisha inasaidia kuondoa watoto wanaoishi mitaani bado watoto hao wameendelea kuonekana namitaani na wengine wakijikuta katika kazi zisizo rasmi Na Bukuru Daniel Mji mkuu wa kiuchumi wa Burundi Bujumbura unaendelea…
22 November 2025, 09:31
Wahitimu wa fani mbalimbali katika chuo cha uhasibu ndaki ya Kigoma wametakiwa kuendelea kuwa wabunifu ili waweze kujiajiri na kuacha kuendelea kusubiri kuajiriwa na serikali au mashirika binafsi. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka wahitimu…
21 November 2025, 08:34
Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema kutokana na ukuaji wa teknolojia elimu haina budi kutolewa kwa kuzingatiamatumizi ya teknolojia kwa wanafunzi Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka wakurugenzi wa halmshauri za mkoa Kigoma kuongeza…
20 November 2025, 15:43
Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema inaendelea kuthamini mchango wa mashirika mbalimbali yanayounga mkono juhudi za serikali katika kuboresha sekta ya elimu Na Lucas Hoha Shirika la Maendeleo la Ubelgiji ENABEL limekabidhi vifaa vya kidijitali vya kufundishia shuleni kwa Mkuu…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.