Joy FM
Joy FM
3 March 2026, 11:14
Katika miaka ya karibuni, kumekuwa na ongezeko la taasisi na programu za simu zinazotoa mikopo ya haraka inayojulikana kama mikopo kausha damu na mikopo hii huvutia watu wengi kwa sababu ya urahisi wa kuipata bila dhamana kubwa au taratibu ndefu…
3 March 2026, 10:44
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU Mkoani Kigoma kwa kushirikiana na World Vision imefanikisha ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kabale Wilayani Kakonko na kusaidia upatikanaji wa huduma za afya karibu na wananchi Na Lucas Hoha Wananchi wa…
2 March 2026, 12:09
Elimu ni msingi muhimu katika maendeleo ya mtoto na taifa kwa ujumla hata hivyo katika mchakato wa kujifunza, kumekuwepo na changamoto mbalimbali zinazoathiri ufanisi wa masomo darasani ikiwemo ni tatizo la watoto kukaa chini kwa kukosa madawati. Na Mwandishi wetu…
2 March 2026, 09:39
Zao la korosho ni miongoni mwa mazao muhimu ya biashara na korosho imekuwa nguzo muhimu katika kuinua uchumi wa taifa na kuboresha maisha ya wananchi, hasa wakulima wa vijijini. Na Mwandishi wetu Wilaya ya Uvinza imedhamiria kuwakilisha vema Mkoa wa…
2 March 2026, 09:23
Chakula shuleni ni nguzo muhimu katika kuhakikisha mwanafunzi anakuwa na afya njema, anafaulu masomo, na anakua katika mazingira bora ya kielimu. Na Mwandishi wetu Wilaya ya Uvinza imejipanga kuendelea kuboresha utoaji wa chakula shuleni ikiwa ni mkakati mojawapo wa kuongeza…
27 February 2026, 17:22
Katika dunia ya leo yenye ushindani mkubwa wa kiuchumi, vijana wanahitaji maarifa na ujuzi utakaowawezesha kujitegemea na kukabiliana na changamoto za maisha na mojawapo ya elimu muhimu wanayopaswa kupewa ni elimu ya biashara ili iweze kuwasaidia kuelewa misingi ya ujasiriamali,…
27 February 2026, 16:24
Ardhi ni rasilimali muhimu sana katika maisha ya mwanadamu na maendeleo ya taifa kwa ujumla, lakini migogoro ya ardhi imekuwa ikijitokeza mara kwa mara katika jamii kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mipaka ya mashamba, umiliki wa viwanja, urithi, na matumizi…
27 February 2026, 12:42
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari kutoka Kanda ya magharibi ili kuwajengea uelewa kuhusu majukumu ya BoT, udhibiti wa mikopo umiza, na umuhimu wa kutumia taasisi ndogo za kifedha zilizosajiliwa Na Josephine Kiravu Benki kuu…
24 February 2026, 16:30
Kwaresma ni wakati wa kuonyesha imani kwa vitendo kwa kuwasaidia wenye uhitaji kupitia matendo ya huruma na upendo. Na Hagai Ruyagila Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika, Mhashamu Emmanuel Bwatta, amewataka waumini wa dini ya Kikristo mkoani…
23 February 2026, 12:37
Watoto ni hazina ya taifa na msingi wa maendeleo ya baadaye ya jamii yoyote hivyo wanahitaji malezi bora, elimu, ulinzi na mazingira salama ili waweze kukua kimwili, kiakili na kimaadili licha ya kuwa bado kuna changamoto ya watoto kutumikishwa kwenye…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.