Joy FM
Joy FM
17 March 2026, 10:24
Siku chache baada ya ajali ya boti iliyosababisha vifo vya watumishi wa idara ya afya wa Halmashauri ya Wilaya Kigoma, baadhi ya viongozi wa dini na waumini wa kanisa la Anglikana wamesema maisha ya binadamu hapa duniani ni muda na…
16 March 2026, 12:11
Utunzaji wa mazingira ni jambo muhimu kwa maisha ya binadamu na viumbe wengine duniani na katika miaka ya hivi karibuni, dunia imekumbwa na changamoto kubwa ya mabadiliko ya tabianchi ambayo imesababisha mabadiliko ya hali ya hewa kama vile ukame, mafuriko…
13 March 2026, 14:36
Watumishi wa afya 6 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wamefariki baada ya kupinduka kwa boti waliyokuwa wakiitumia kwenda kusambaza dawa katika katika eneo la Kagunga Wilaya ya Kigoma. Jumla ya watu sita wamefariki na wengine 9 wameokolewa kufuatia ajari…
13 March 2026, 14:01
Zana za kilimo ni vifaa vinavyotumika kurahisisha shughuli za kilimo kama kulima, kupanda, kupalilia na kuvuna na zina umuhimu mkubwa kwa wananchi hasa wanaotegemea kilimo kama chanzo cha maisha. Na Mwandishi wetu Wananchi wa Kijiji cha Nyanganga, Kata ya Kazuramimba,…
13 March 2026, 12:58
Mchungaji Bhikolimana Abrahamu Bhitona Katika msimu huu wa mfungo wa Kwaresma, Waumini wa Dini ya Kikristo wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameaswa kuendelea kutenda matendo mema ili kuenzi mateso na kifo cha Yesu Kristo pamoja na kuimarisha upendo na mshikamano katika…
13 March 2026, 08:29
Majiko sanifu ni majiko yaliyoboreshwa ili kutumia nishati kama kuni au mkaa kwa ufanisi zaidi na katika jamii nyingi, hasa maeneo ya vijijini na mijini, majiko haya yamekuwa na umuhimu mkubwa kwa maisha ya wananchi kwani majiko sanifu huchangia katika…
12 March 2026, 17:00
Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika kuhakikisha maendeleo ya Mkoa wa Kigoma yanafikia azma ya serikali ya dira ya maendeleo ya 2050 Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, amesema Sekta binafsi ina…
12 March 2026, 15:02
Mkoa wa Kigoma umefanikiwa kupunguza kiwango cha upotevu wa mazao wakati na baada ya kuvuna kutoka asilimia 11% mwaka 2023 hadi kufikia asilimia 8%, ya sasa. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa Kata ya Nyumbigwa katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani…
11 March 2026, 17:16
Udhibiti wa bidhaa szisizo na ubora husaidia kulinda afya na usalama wa wananchi na mara nyingi bidhaa hizo kama dawa, vipodozi na vyakula ambavyo hutengenezwa bila kufuata viwango vya ubora unaotakiwa. Na Lucas Hoaha Wananchi Mkoani Kigoma wameomba Shirika la…
11 March 2026, 15:23
Barabara ni miundombinu muhimu sana katika maisha ya binadamu na maendeleo ya taifa kwani huwezesha usafiri wa watu na usafirishaji wa bidhaa kutoka sehemu moja hadi nyingine, hata hivyo, wakati wa mvua nyingi barabara nyingi huharibika na kupata mashimo, matope…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.