Joy FM
Joy FM
4 December 2025, 14:17
Chakula ni sehemu muhimu sana katika maisha ya mwanafunzi shuleni hasa walio katika umri wa ukuaji, wanahitaji virutubisho vya kutosha kama protini, vitamini, madini, na wanga ili miili yao ikue kwa afya lishe duni inaweza kusababisha kudumaa, udhaifu, na magonjwa…
4 December 2025, 12:13
Kituo cha afya cha Mwamintare kilichopo Halmashauri ya Mji wa Kasulu kinahudumia kata tatu ya Muhunga, Mganza na Heru Juu kwa wakazi 50887. Na Hagai Ruyagila Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini mkoani Kigoma Profesa Joyce Ndalichako amekabidhi gari la…
3 December 2025, 13:57
Vijana Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameaswa kuacha kufanya mambo yasiofaa katika jamii na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti Msaidizi Mstaafu wa makanisa ya CPCT Mkoa wa Kigoma, Mchungaji Augustino Japhari Kizeba wakati wa kilele cha sherehe za…
3 December 2025, 11:22
Katibu tawala wa Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma Bi. Theresia Mtewele amewataka madiwani kushirikiana katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi Na Hagai Ruyagila Diwani wa Kata ya Kigondo, Ayubu Ngalaba (CCM), amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kasulu…
2 December 2025, 12:39
Manispaa ya Kigoma Ujiji kupitia kwa madiwani wamazimia kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato kutoka shilingi milioni 400 hadi milioni 500 ili kusaidia kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi kwa wananchi Na Lucas Hoha Baraza la madiwani katika Manispaa ya…
2 December 2025, 11:52
Madiwani katika Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkaoni Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanafuatilia na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi katika maeneo yao Na Mwandishi wetu Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma Elisante Mbwilo amewataka waheshimiwa madiwani kuwatumikia wananchi kwa uaminifu na uadilifu…
2 December 2025, 09:24
Amani ni nguzo muhimu katika maisha ya binadamu na msingi wa ustawi wa jamii yoyote ile bila amani, hakuna jambo linaloweza kufanikiwa ipasavyo na ndiyo maana jamii nyingi duniani huchukua hatua mbalimbali kuhakikisha kuwa amani inadumishwa na amani si jukumu…
1 December 2025, 16:25
Wazazi wanapofuatilia maendeleo ya watoto wanaweza kugundua mapema kama mtoto ana matatizo ya kitaaluma, kitabia, au kihisia ili changamoto zikibainika, ni rahisi kupata suluhisho kabla hazijawa kubwa na ushiriki wa mzazi umethibitishwa kuwa na athari chanya kwenye matokeo ya mtoto…
1 December 2025, 12:21
Wadau mbalimbali Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameshauriwa kuendelea kujitokeza na kuwasaidia watoto wenye uhitaji Na Hagai Ruyagila Umoja wa Kikundi cha Watendaji wa Serikali za Mitaa (MEOS) cha Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma kimetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa…
28 November 2025, 15:31
Wakati tukiwa ndani ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na elimu ikiendelea kutolewa katika maeneo mbalimbali na makundi mbalimbali hasa watoto na wanawake, serikali imetakiwa kuweka sheria kali dhidi ya watuhusu wa matukio ya ukatili Na Sadick Kibwana…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.