Joy FM

Recent posts

23 December 2025, 08:37

Wazazi, walezi waaswa kuwalinda watoto Kigoma

Jukumu la msingi la wazazi na walezi ni kuhakikisha watoto wanalindwa, wanalelewa kwa upendo na wanaishi katika mazingira salama ili waweze kufikia ndoto zao na kuchangia maendeleo ya jamii. Na Prisca Kizeba Wazazi na walezi wanapotekeleza wajibu wao ipasavyo, jamii…

22 December 2025, 09:47

Watoto yatima wakumbukwa Kigoma

Jamii na wadau mbalimbali mkoani Kigoma wameaswa kujitokeza na kuwasaidia watoto yatima na wenye uhitaji ili nao waweze kujiona wanathaminiwa na jamii inayowazunguka. Na Tresiphol Odace Kituo cha tiba mbadala cha Lupimo Sanitarian Clinic kimetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa…

19 December 2025, 15:33

Tanzania yatenga bilioni 100 ujenzi wa meli mbili Kigoma

Serikali imesema imedhamiria kuendelea kuwekeza kwenye sekta ya usafirishaji kwa kujenga mpya mbili zitakazofanya kazi ziwa Tanganyika Na Bukuru Daniel, Burundi Tanzania imetenga shilingi bilioni 214 katika utekelezaji miradi ikiwemo ujenzi wa meli mpya mbili mkoani Kigoma ambazo zitasaidia katika…

19 December 2025, 14:09

Bilioni 1 kupatikana kupitia soko la mwanga Kigoma

Serikali imeendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo inatajwa kuchochea uchumi na kipato kupitia mapato yatokanayo na miradi hiyo Na Lucas Hoha Manispaa ya Kigoma Ujiji inatarajia kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 1 kwa mwaka kutoka chanzo cha mapato cha soko…

19 December 2025, 13:03

Wahitimu UBA waaswa kuzingatia maadili ya uandishi wa habari Kigoma

Wahitimu na wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini wanaosoma fani ya uandishi wa habari, wameshauriwa kuongeza ujuzi wao katika masuala ya kidijitali, ili kuepusha matumizi mabaya ya teknolojia yanayoweza kupotosha umma. Na Orida Sayon Wahitimu kutoka chuo cha utangazaji Ujiji Broadcasting…

17 December 2025, 09:01

Wananchi wapongeza ujenzi daraja la mto Luiche Kigoma

Serikali katika Manispaa ya Kigoma Ujiji imesema inaendelea kuhakikisha inatekeleza miradi yote ambayo itasaidia kuchochea maendeleo kwa wananchi Na Lucas Hoha Baadhi ya wananchi wa Kata ya Kagera Manispaa ya Kigoma Ujiji wamepongeza hatua ya serikali  kujenga daraja katika mto…

17 December 2025, 07:59

TMDA yatakiwa kusimamia ubora, udhibiti wa bidhaa za kiafya Kigoma

Mamlaka ya usimamizi wa chakula na vifaa tiba Tanzania TMDA Kanda ya Magharibi imesema itaendelea kufanya operesheni mbalimbali kwa ajili ya kudhibiti bidhaa za afya zinazoingizwa nchi kinyuma cha sheria na ambazo hazikidhi vigezo Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa…

16 December 2025, 13:15

Kibondo, Uvinza zatolewa mashindano ya ujirani mwema Burundi

Mashindano ya ujirani mwema yaliyokuwa yanaendelea katika Wilaya ya Makamba Nchini Burundi Timu kutoka Mkoa wa Kigoma Tanzania zimetolewa kwa kipigo Na Mwandishi wetu Burungu, Burundi Timu za wachezaji mchanganyiko za wilaya za Kibondo na Uvinza za mkoani Kigoma nchini…

16 December 2025, 11:10

Polisi Kigoma yathibitisha kumuua mtuhumiwa wa ujambazi Ziwa Tanganyika

Siku chache baada ya kuzinduliwa kwa oparesheni na doria katika ziwa Tanganyika kwa lengo la kudhibiti vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na majambazi kwa kuwapora zana za uvuvi wavuvi hatimaye wavuvi, mmoja apigwa risasi wakati wakitaka kutelekeleza jaribio la uhalifu ziwa…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.