Joy FM
Joy FM
23 October 2025, 15:30
Watu wenye ulemavu wameomba jamii kutoendelea kuwanyanyapaa badala yake wawaelekeze na kuwasaidia ili nao waweze kufanya shughuli za kuwaingizia kipato na kuchangia pato la familia na Taifa Na Mwandishi wetuMgombea ubunge Jimbo la Kigoma kusini Nuru Kashakali maarufu Kandahari ameahidi…
23 October 2025, 12:41
Licha ya jitihada mbalimbali za Serikali na wadau kutoa elimu ya masuala ya ukatili bado ukatili kwa njia ya mitandao umeonekana kuwa tatizo kwenye jamii Na Mwandishi wetu Makundi yenye jukumu la malezi katika jamii yametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya…
22 October 2025, 09:51
Watu wenye mahitaji maalum hawana budi kushirikishwa kikamilifu katika shughuli za kijamii na kiuchumi ikiwa ni sehemu ya kujenga jamii jumuishi Na Hagai Ruyagila Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umetoa msaada wa viti mwendo 11 vyenye thamani ya shilingi…
22 October 2025, 09:36
Wakati ikiwa imebaki wiki moja kabla ya kufika siku ya uchaguzi Mkuu utakaofanyika oktoba 29, 2025 wananchi wameaswa kufuatilia taarifa na vituo vyao mapema ili waweze kuhudhuria kupiga kura Na Hagai Ruyagila Wananchi katika Halamashauri ya mji wa Kasulu Mkoani…
16 October 2025, 23:33
Licha ya Serikali na shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR kuhamasisha wakimbizi waliopo katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu tangu mwaka 2017 na kuonekana zoezi la kurejea nchini kwao kwa hiari kusuasua sasa mwarobaini wa kuwarudisha wakimbizi hao…
16 October 2025, 19:55
Na Hagai Ruyagila Chama cha NCCR – Mageuzi kimewataka wananchi wote wenye nia ya kuanzisha maandamano kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, kuachana mara moja na mpango huo, kikisisitiza kuwa maandamano hayo yanaweza kuhatarisha amani na usalama wa taifa.…
15 October 2025, 14:36
Wakati zikiwa zimesalia siku chache kabla ya uchuguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani kampeni zimeendelea katika maeneo mbalimbali nchini huku wanawake nao wakiwa hawajaachwa nyuma katika kushiriki uchaguzi.
13 October 2025, 10:55
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitaendelea kuwatetea wananchi wa Kigoma hususani wenye changamoto ya kupata vitambulisho vya uraia, kuboresha miundombinu ya barabara za mitaa na kuufanya mji wa Kigoma kuwa wa kimkakati Na Mwandishi wetu Mgombea ubunge katika Jimbola Kigoma…
11 October 2025, 16:30
Katika kuadhimisha miaka 53 tangu kuanzishwa kwa Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Kigoma Maweni, Hospitali hiyo inatarajia kutoa huduma za matibabu ya kibingwa kwa wananchi wa Mkoa wa Kigoma kuanzia jumatatu ya Oktoba 13 hadi 17 mwaka huu wa…
11 October 2025, 11:56
Chama cha CUF kimesema kitaendelea kusimamia haki za wananchi ikiwemo kutatua changamoto zinazowakabili hasa miundombinu ya barabara za mitaa, afya na huduma zote za kijamii Na Mwandiahi wetu Mgombe Ubunge katika Jimbo la Kigoma Kaskazini kupitia Chama cha CUF Kashindi Ally…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.