Joy FM
Joy FM
9 September 2025, 09:44
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isaac Mwakisu amesema mwenge wa uhuru utetembelea na kuweka jiwe la msingi katika miradi ya maendeleo utakapowasili Wilayani humo Na Hagai Ruyagila Wananchi wilayani ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kujitokeza kwa wingi kushiriki katika…
8 September 2025, 14:43
Wito umetolewa kwa waganga wa jadi kuacha kupiga ramli chonganishi kwenye jamii kwani zimekuwa zikileta uchonganishi kwa wananchi na kuchochea migogoro Na Sofia Cosmas Wakristo katika Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wametakiwa kuachana na imani za kishirikina na…
8 September 2025, 12:36
Kampeni za uchaguzi Mkuu zikiwa zinaendelea vyama mbalimbali nchini vimeendelea kuzunguka kunadi sera na kueleza watakachokifanya iwapo watapewa nafasi ya kuongoza Na Sadik Kibwana Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA kimezindua kampeni zake katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kuomba…
8 September 2025, 09:38
Mgombea ubunge wa jimbo la Kigoma mjini kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amewataka wapiga kura katika jimbo hilo kumpa kura nyingi za ndiyo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu ili aweze kurudi bungeni kuwatumikia…
4 September 2025, 16:02
Ofisi ya usalama barabarani Mkoani Kigoma imesema itaendelea kutoa elimu na kuwachulia hatua za kisheria maredereva bodaboda wanaokiuka sheria za usalama barabarani Na Orida Sayon Vijana wanaofanya shughuli za usafirishaji maarufu bodaboda katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameshauriwa kufuata kanuni…
4 September 2025, 15:27
Serikali imewataka wananchi Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma kushiriki katika uchaguzi na kuwapata viongozi wataoweza kuwasaidia kutatua changamoto zao Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma Kanal Isaac Mwakisu amewataka wananachi wa Wilaya hiyo kushiriki…
4 September 2025, 15:09
Tanzania imekuwa mojawapo ya nchi zilizo Mashariki na Kusini mwa Afrika zilizopiga hatua kubwa katika udhibiti wa utakasishaji fedha haramu na uzuiaji wa silaha za maangamizi na ufadhili wa ugaidi nchini. Na Tryphone Odace Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali Mkoani Kigoma…
3 September 2025, 12:20
Wakati uchaguzi Mkuu ukitarajia kufanyika Oktoba 29, 2025, waumini wa kikristo wametakiwa kuendelea kuliombea amani Taifa ili uchaguzi ufanyike kwa amani na utulivu Na Hagai Ruyagila Waumini wa Dini ya Kikristo Wilayani Kasulu, Mkoani Kigoma, wametakiwa kushiriki kikamilifu katika maombi…
3 September 2025, 08:49
Serikali Mkoani Kigoma imeanza kuchukua hatua kuhusu mgogoro wa eneo la hekta 10,000 ambalo wananchi wa kijiji cha Ruchugi wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wanadaiwa kuvamia eneo la mwekezaji kampuni ya FAZENDA ambayo imekusudia kuwekeza katika mradi wa kilimo huku…
2 September 2025, 11:09
Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imewataka wananchi kuzingatia usafi wa mazingira ili kuepuka mlipuko wa magonjwa Na Hagai Ruyaila Wananchi wa Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuongeza juhudi katika utunzaji wa mazingira kwa kuacha kutupa taka…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.