Joy FM

Wananchi waomba mikakati ya kusimamia utupaji taka ovyo Kasulu

10 February 2025, 12:42

Muonekano wa taka zinazotupwa na wananchi katika maeneo yao, Picha na Mtandao

Baadhi ya wananchi  halmshauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wameomba mamlaka zinazohusika na usafi wa mazingira kuweka mkakati wa kudhibiti utupaji wa taka ovyo ili kuimarisha usafi wa mazingira katika mji huo.

Sauti ya Mwandishi wetu Michael Mpunije