Wananchi waomba mikakati ya kusimamia utupaji taka ovyo Kasulu
Wananchi waomba mikakati ya kusimamia utupaji taka ovyo Kasulu
10 February 2025, 12:42
Muonekano wa taka zinazotupwa na wananchi katika maeneo yao, Picha na Mtandao
Baadhi ya wananchi halmshauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wameomba mamlaka zinazohusika na usafi wa mazingira kuweka mkakati wa kudhibiti utupaji wa taka ovyo ili kuimarisha usafi wa mazingira katika mji huo.