Joy FM
Joy FM
10 December 2025, 13:19
Wilaya Kasulu imeendelea kuwa mfano bora kwa uwajibikaji na mshikamano katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo Na Hagai Ruyagila Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma, ambaye ni Katibu tawala wa wilaya ya Kasulu Bi. Theresia Mtelewe, amesema wilaya…
9 December 2025, 12:32
Katibu tawala Wilaya Kigoma Mganwa Nzota amesema wachungaji wana wajibu wa kuhakikisha wanalinda na kukemea maadili kwenye jamii ili kuwa na kizazi chenye maadili mema Na Prisca Kizeba Wachungaji Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuwa kielelezo katika kulinda mmonyoka wa maadili…
9 December 2025, 10:03
Katika jamii yoyote yenye matumaini ya kupata viongozi bora, jukumu la malezi ya watoto ni la msingi na la lazima na mojawapo ya nguzo muhimu zinazoweza kuwaongoza watoto kuwa viongozi wenye maadili ni kuwajengea msingi imara wa imani ya kimungu.…
8 December 2025, 16:23
Wito umetolewa kwa jamii kuendelea kukemea vitendo vya ukatilii ambavyo vimekuwa vikifanyika kwa jamii Na Prisca Kizeba Wanawake Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameaswa kuwalinda watoto wao dhidi ya vitendo vya ukatili unaoendela katika jamii Hayo yamesemwa na Afisa Ustawi…
8 December 2025, 09:06
Vyombo vya ukamataji na upelelezi mkoani Kigoma, vimetakiwa kutotumia vibaya madaraka badala yake vifuate kanuni za ukamataji na kuhakikisha kwamba suala la upelelezi na uchunguzi wa mashauri linafanyika kwa uadilifu weledi na uwajibikaji wa hali ya juu ili kuepuka kuharibu…
5 December 2025, 22:56
Nidhamu ya kitaaluma na utekelezaji wa maelekezo ya serikali katika kuimarisha mifumo ya fedha na uwazi wa taarifa vimetajwa kuchochea Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kutunukiwa tuzo ya mshindi wa pili ya uwasilishaji bora wa fedha kwa mwaka 2024 Na…
5 December 2025, 14:28
Serikali imewataka watendaji wa Serikali za mitaa kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa ya maendeleo Na Hagai Ruyagila Maafisa Watendaji wa serikali za Mitaa katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa ya maendeleo…
5 December 2025, 13:44
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania amehimiza watendaji wa vyombo vinavyohusika na ukamataji na upelelezi kufuata taratibu na sheria Na Emmanuel Matinde Vyombo vya ukamataji na upelelezi mkoani Kigoma, vimetakiwa kutotumia vibaya madaraka badala yake vifuate kanuni za ukamataji…
5 December 2025, 09:05
Mkuu wa Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma Dinah Mathamani amesema wataendelea kufanya oparesheni ili kubaini na kukamata nyavu haramu zinazotumiwa na wavuvi ndani ya ziwa Tanganyika Na Mwandishi wetu Serikali wilayani Uvinza imeziteketeza nyavu haramu 197 katika Kijiji cha Rubengela kata…
4 December 2025, 17:44
Mkuu wa Wilaya Kigoma Dk. Rashid Chuachua ameagiza mkandarasi anayetekeleza mradi wa Bangwe – Ujiji kuhakikisha anajenga mitaro ya kupitisha maji ambayo yamekuwa yakiathiri wananchi. Na Lucas Hoha Baadhi ya wananchi wa kata ya Bangwe maeneo ya Magela Manispaa ya…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.