Joy FM

Recent posts

9 February 2026, 08:18

Serikali kuwasaka waliohusika na mauaji Uvinza

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, amekemea vikali tabia ya baadhi ya wananchi kujichukulia sheria mkononi sambamba na kujihusisha na uhalifu. Na Kadislaus Ezekiel Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro, amekemea vikali tabia ya baadhi ya…

6 February 2026, 12:30

Wananchi Kigoma watakiwa kudumisha amani

Chama Cha Mapinduzi kimeendelea kuhimiza wajibu wa msingi na wa kudumu wa kwa wananchama wake ili kuhakikisha CCM inakuwa chama cha Watanzania na kimbilio lao. Na Hagai Ruyagila Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mlezi wa Chama…

5 February 2026, 16:43

World vision yakabidhi miradi ya bilioni 1.47 Kakonko

Miradi inayotekelezwa na mashirika ya kimataifa ina umuhimu mkubwa sana kwa wananchi hasa kwa kuzingatia hali ya kijamii, kiuchumi na kijiografia. Na Mwandishi wetu Shirika la World vison limekabidhi miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 1.47 wilayani Kakonko ikiwemo mradi…

5 February 2026, 12:34

Kigoma Ujiji kununua mitambo ya kukarabati barabara

Miundombinu ya barabara ni nguzo muhimu katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa jamii yoyote kwani barabara bora huwezesha usafiri wa watu na bidhaa, kuimarisha biashara, na kurahisisha upatikanaji wa huduma muhimu kama elimu, afya na usalama hali inayosababisha usumbufu…

5 February 2026, 10:23

Baraza la madiwani lapitisha bajeti ya zaidi ya bilioni 43 Kasulu

Bajeti hiyo imepitishwa katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2025/2026 Oktoba, Novemba na Desemba ikiwa na lengo la kuhakikisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo itakayogusa na kuboresha maisha ya wananchi wa…

4 February 2026, 13:15

Zaidi ya wahamiaji 1200 waliingia Kigoma kinyume cha sheria

Idara ya uhamiaji Mkoani Kigoma imeendelea na kampeni ya mjue jirani yako inayolenga kuwatambua wahamiaji haramu wanaoingia nchini kinyume cha sheria. Na Sadick Kibwana Zaidi ya wahamiaji haramu elfu moja na mia mbili kutoka nchi za Burundi na Jamhuri ya…

3 February 2026, 14:25

Wito watolewa kuchangia damu kwa wahitaji Kasulu

Wito umetolewa kwa wadau mbalimbali kuendelea kujitokeza kuchagngia damu ili kuweza kuokoa maisha ya wahitaji. Na Emmanuel Kamangu Jamii na taasisi mbali mbali za dini Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma zimetakiwa kujenga utaratibu wa kujitolea kuchangia damu ili kusaidia hospital wilayani…

30 January 2026, 18:15

Kigoma watakiwa kuchangamkia fursa zitokanazo na taka

Taka kwa muda mrefu zimekuwa zikichukuliwa kama vitu visivyo na maana na vinavyosababisha uchafuzi wa mazingira, hata hivyo kwa sasa dunia imeanza kubadilisha mtazamo huo kwa kuona taka kama rasilimali muhimu inayoweza kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Na Lucas…

30 January 2026, 08:25

TRA Kigoma yatoa msaada wa magari kwa vyombo vya ulinzi, usalama

Usalama ni nguzo muhimu katika maendeleo ya taifa lolote kwani bila usalama, shughuli za kijamii, kiuchumi na kisiasa haziwezi kufanyika kwa ufanisi na hivyo, mchango wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kigoma wa magari kwa vyombo vya ulinzi…

28 January 2026, 15:04

Migogoro ya familia inavyoathiri maendeleo ya ukuaji kwa watoto

Familia ni msingi muhimu sana katika malezi na ukuaji wa mtoto kwani mtoto hupata upendo, ulinzi, maadili na mwelekeo wa maisha, hata hivyo, pale migogoro inapojitokeza mara kwa mara ndani ya familia, huathiri vibaya maendeleo ya ukuaji wa mtoto katika…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.