Joy FM
Joy FM
1 January 2026, 14:19
Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kikukwe Dayosisi ya Kaskazini Magharibi Mchungaji Edward Mutashobya amesema kumtegemea mungu kunasaidia kuendelea kuwa maisha yaliyo mema. Na Hagai Ruyagila Waumini wa dini ya Kikristo Wilayani Misenyi mkoani…
31 December 2025, 12:38
Na Esperance Ramadhan Katika kuendelea kuhakikisha jamii inakuwa na afya njema, Jamii imetakiwa kutekeleza afua za lishe kwa kutoa elimu ya afya na lishe kwa wazazi na walezi. Lishe bora ni msingi mzuri wa afya bora na inachangia kwa kiasi…
30 December 2025, 12:37
Wananchi Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wamepongezwa kwa hatua ya kuongeza juhudi za kuchochea shughuli za maendeleo zilizosaidia kukuza uchumi wa familia na Taifa kwa ujumla. Na Josephine Kiravu Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe Michael Ngayalina amewapongeza wananchi Wilayani humo kwa…
29 December 2025, 15:55
Wakati mashirika ya kimataifa yakieleza kuwa Burundi ni miongoni mwa nchi masikini zaidi duniani, Rais wa nchi hiyo amesema watu wa nchi hiyo wana furaha. Na Bukuru Daniel Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye anasema anaiona nchi yake kama nchi ya…
29 December 2025, 09:45
Katika ulimwengu wa sasa, mitandao ya kijamii imekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku watu wengi hutumia mitandao kwa mawasiliano, kupata habari na kujiburudisha, hata hivyo, matumizi ya mitandao yanaweza kuwa na faida au hasara kulingana na namna inavyotumiwa.…
26 December 2025, 12:52
Halmashauri ya Wilaya Kibondo Mkoani Kigoma imesema kuwa utekelezaji wa afua za lishe umesaidia kuongeza ufaulu chanya kwa wanafinzi shuleni Na Mwabdishi wetu Kikao cha tathmini ya utekelezaji wa afua za lishe kwa robo ya kwanza ya mwaka, kwa kipindi…
26 December 2025, 11:56
Ili kuharakisha maendeleo kwa jamii viongozi hawana budi kushirikiana katika kuwahudmia wananchi na kutatua changamozo azo Na Hagai Ruyagila Viongozi wa Serikali na dini nchini wametakiwa kushirikiana kwa karibu na wananchi wao ili kutambua changamoto zinazowakabili na kuzitafutia ufumbuzi kwa…
25 December 2025, 11:36
Waumini wa dini ya Kikristo duniani kutumia Sikukuu ya Krismasi ya mwaka huu kuchagua matendo ya huruma, huku wakizingatia umoja na mshikamano. Na Orida Sayon Wakristo Mkoani Kigoma wametakiwa kuacha kusherehekea sikukuu ya kristmas kwa mazoea badala yake iwe sehemu…
24 December 2025, 09:12
Serikali imesema itaendelea kutoa mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu huku ikisisitiza waliopata mkopo kuzitumia kwa manufaa na kurejesha kwa wakati Na mwandishi wetu Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji, imekabidhi pikipiki sita kwa vikundi viwili…
23 December 2025, 11:48
Asili na jadi ni msingi wa kukuza, kuhifadhi na kuendeleza utamaduni na mila kwa kuzithamini na kuzifundisha kwa vizazi vipya na kuhakikisha jamki inabaki na utambulisho imara huku ikikua na kubadilika katika njia chanya. Na Tryphone Odace Wito umetolewa kwa…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.