Joy FM
Joy FM
6 March 2026, 11:36
Katika dunia ya leo, ujuzi wa kazi ni muhimu kwa maendeleo ya vijana na taifa kwa ujumla na wengi wanahitaji mafunzo ya vitendo ili waweze kujitegemea na kuchangia katika maendeleo ya jamii ambapo VETA imekuwa na mchango mkubwa katika kuwasaidia…
6 March 2026, 10:19
Wanawake ni sehemu muhimu ya jamii na wana mchango mkubwa katika maendeleo ya familia na taifa kwa ujumla ambapo katika dunia ya sasa kuna fursa nyingi zinazowazunguka wanawake kama vile elimu, biashara, kilimo na ajira na wanapochangamkia fursa hizo wanaweza…
5 March 2026, 12:29
Serikali katika Halmashauri ya Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma imesema imeanza utekeleza wa ujenzi wa soko la Kazuramba ili kujenga soko litakalosaidia wafanyabiashara Na Orisa Sayon Wafanyabiashara wadogo katika soko la Kazurumimba Halmashauri ya Wilaya ya UvinzaMkoani Kigoma wameomba kujengewa sehemu…
5 March 2026, 12:03
Uadilifu ni mojawapo ya sifa muhimu kwa viongozi wa umma hasa watendaji wa vijiji na kata ambao ni viongozi wa karibu zaidi na wananchi katika ngazi za serikali za mitaa. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Mhe. Kanali…
5 March 2026, 09:31
Wakulima wameiomba serikali na wadau wengine kuendelea kutoa elimu ya upimaji wa udongo ili kutambua aina za viatilifu vya kutumia kulingana na aina ya udongo Na Mwandishi wetu Baadhi ya wakulima katika kijiji cha Mukarazi kata ya Mabamba Wilayani Kibondo…
5 March 2026, 09:05
Kuwajengea uwezo madiwani kunachangia uongozi bora, uwajibikaji, na utekelezaji mzuri wa miradi ya maendeleo, jambo ambalo linaongeza ustawi wa wananchi katika ngazi ya kata na Halmashauri. Na Mwandishi wetu Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) Sospeter Mtwale amewataka…
4 March 2026, 16:51
Ushiriki wa wananchi katika kukemea vitendo vya ukatili ni msingi muhimu wa kujenga jamii salama, yenye haki na usawa na wanaposhiriki kikamilifu, husaidia kuzuia uhalifu, kulinda waathirika, na kuimarisha mshikamano wa kijamii. Na Mwandishi wetu Kuelekea maadhimisho ya siku ya…
4 March 2026, 15:45
Usawa wa kijinsia ni hali ambapo wanawake na wanaume wanapata haki, fursa na rasilimali kwa usawa bila kubaguliwa na ni msingi muhimu wa haki za binadamu na maendeleo ya jamii yoyote. Na Orida Sayon Katibu tawala Mkoa wa Kigoma Hassan…
4 March 2026, 12:23
Kulinda vyanzo vya maji ni wajibu wa kila mtu na hivyo tunapaswa kuepuka kutupa taka hovyo, kupanda miti, na kufuata sheria za mazingira ili kuhakikisha maji yanabaki safi na salama kwa wote. Na Emmanuel Kamangu Wananchi wa tarafa ya heru…
3 March 2026, 17:24
Kilimo cha tangawizi ni fursa nzuri kwa wakulima kutokana na soko lake kubwa na faida zake kiafya kwa kufuata kanuni bora za kilimo, mkulima anaweza kupata mavuno mengi na kuongeza kipato chake. Na Michael Mpunije Wakulima Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.