Joy FM

Recent posts

1 December 2025, 16:25

Wazazi waaswa kufuatilia maendeleo ya watoto shuleni Kigoma

Wazazi wanapofuatilia maendeleo ya watoto wanaweza kugundua mapema kama mtoto ana matatizo ya kitaaluma, kitabia, au kihisia ili changamoto zikibainika, ni rahisi kupata suluhisho kabla hazijawa kubwa na ushiriki wa mzazi umethibitishwa kuwa na athari chanya kwenye matokeo ya mtoto…

1 December 2025, 12:21

MEOs watoa msaada kwa watoto wenye uhitaji Kasulu

Wadau mbalimbali Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameshauriwa kuendelea kujitokeza na kuwasaidia watoto wenye uhitaji Na Hagai Ruyagila Umoja wa Kikundi cha Watendaji wa Serikali za Mitaa (MEOS) cha Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma kimetoa msaada wa mahitaji mbalimbali kwa…

28 November 2025, 15:31

Viongozi wa dini walia na vitendo vya ukatili Kigoma

Wakati tukiwa ndani ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na elimu ikiendelea kutolewa katika maeneo mbalimbali na makundi mbalimbali hasa watoto na wanawake, serikali imetakiwa kuweka sheria kali dhidi ya watuhusu wa matukio ya ukatili Na Sadick Kibwana…

27 November 2025, 15:33

Polisi, JWTZ waanza doria Ziwa Tanganyika

Katika kukabiliana na vitendo vya uhalifu ndani ya ziwa Tanganyika Jeshi la Pilisi kwa kushirikiana na JWTZ limezindua boti ya doria ndani Ziwa Tanganyika. Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma kwa kushirikiana na jeshi la wananchi wa Tanzania…

27 November 2025, 14:52

Watumishi wa umma wapewa elimu ya majanga ya moto Kasulu

Watumishi wa umma Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wamepatiwa elimu ya kukabiliana na majanga ya moto Na Hagai Ruyagila Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, limetoa mafunzo kwa watumishi wa umma wa Halmashauri ya Mji Kasulu…

26 November 2025, 15:47

World vision yakabidhi madarasa mapya na vyoo Kasulu

Shirika la World Vision Tanzania limekabidhi madarasa na vyoo kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya Kasulu ikiwa nisehemu ya kuunga mkono juhudi za kuboresha sekta ya elimu Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanali Isaack Mwakisu, amelipongeza Shirika…

26 November 2025, 12:59

Watumishi wa umma watakiwa kutumia PSSSF kidijitali Kigoma

Watumishi wa Mkoani Kigoma wamepongeza Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kwa kuboresha huduma zake za kuanza kutoa huduma kidijitali Na Emmanuel Matinde Maafisa Utumishi na Wahasibu kutoka taasisi mbalimbali za Serikali wametakiwa kutumia mifumo ya…

26 November 2025, 08:11

Wananchi watakiwa kufichua wahalifu ziwa Tanganyika

Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Sirro ametembelea mwalo wa Lubengela katika Kijiji cha Msiezi Kata ya Sunuka Wilayani Uvinza mkoani hapa kwa lengo la kuzungumza na wakazi wanaoishi mwambao mwa Ziwa Tanganyika na kuwataka kuwafichua wahalifu…

25 November 2025, 17:08

Wanamabadiliko wa kupinga ukatili wapewa baiskeli 100 Kasulu

Katika kukabiliana na vitendo vya ukatili kwenye jamii, wanamabadiliko wa masuala ya ukatili wa kijinsia wamepewa baiskeli ili waweze kuwafikia wahanga wa vitendo hivyo. Na Hagai Ruyagila Shirika la Kivulini kwa kushirikiana na shirika la Plan International chini ya ufadhili…

25 November 2025, 12:34

RC Kigoma atangaza kiama kwa majambazi Ziwa Tanganyika

Wavuvi katika Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma wamelalamikia matukio ya kuvamiwa na kuporwa zana za uvuvi ambapo wameiomba Serikali kuchukua hatua ili kudhibiti uhalifu na wahalifu wanaofanya matukio hayo ya wizi kwa wavuvi wakiwa katika majukumu yao nyakati za usiku. Na…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.