Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma SACP Filmon Makungu akizungumza na waandishi wa habari, Picha na Josephine Kiravu
Mahakama Kuu kanda ya Kigoma imemuhukumu kijana mmoja kunyogwa hadi kufa kwa kosa la mauaji huku vijana wengine wawili wakihukumiwa kwenda jela miaka 30 kila mmoja kwa makosa ya ubakaji.