13 November 2025, 09:04

RC Kigoma ataka miundombinu ya barabara mahale kuboreshwa

Serikali imetaka miundombinu ya barabara kuelekea hifadhi ya mahale kuimarishwa ili kurahsisha usafir wa watali Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, amewaelekeza Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, pamoja na Wakala wa Barabara za Mijini na…

Offline
Play internet radio

Recent posts

13 December 2025, 12:03

RC Sirro aipongeza Buhigwe usimamizi vyanzo vya maji

Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo ili kuhakikisha inaimarisha utunzaji wa vyanzo vya maji Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amesema jamii inapaswa kuendelea kutunza vyanzo vya Maji…

12 December 2025, 22:57

Wanahabari watembelea miradi ya bilioni 57 Kigoma

Serikali katika Manispaa ya Kigoma Ujiji imeendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ili kusogeza karibu huduma kwa wananchi Na Mwandishi wetu Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari Mkoani Kigoma wamefanya ziara ya kutembelea miradi ya Maendeleo inayotekelezwa Manispaa…

12 December 2025, 18:11

RAS Kigoma ataka elimu ya ukatili iendelee kutolewa kwa jamii

Wadau mbalimbali wa masuala ya ukatili wa kijinsia kwa kushirikiana na Serikali wametakiwa kuendelea kutoa elimu na mikakati ya kukabiliana na vitendo vya ukatili Na Hagai Ruyagila Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Hassan Rugwa, amewataka wadau wa maendeleo kuendelea…

10 December 2025, 15:24

JAI yakabidhiwa gari la wagonjwa Maweni Kigoma

Na Daniel Amando Jumuiya ya Watu Wenye Kuhuisha Tabia za Kiislam Tanzania JAI, Mkoa wa Kigoma, imepiga hatua muhimu katika kutoa huduma za kiutu kwa wagonjwa, baada ya kupatiwa msaada wa gari la wagonjwa kutoka kwa wadau wa huduma za…

10 December 2025, 14:13

Madiwani watakiwa kuongeza juhudi ukusanyaji mapato Kasulu

Wakati madiwani wa Halmashauri mbalimbali za Mkoa wa Kigoma wakiwa wameshakula kiapo cha kuanza kuwatumikia wananchi kwa kipindi cha miaka mitano msisitizo upo kwenye ukusanyaji wa mapato ili yaweze kusaidia katika utekelezaji wa miradi mbalimbali Na Hagai Ruyagila Kaimu Katibu…

10 December 2025, 13:19

Kasulu yatajwa kuwa mfano bora uwajibikaji wa miradi

Wilaya Kasulu imeendelea kuwa mfano bora kwa uwajibikaji na mshikamano katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo Na Hagai Ruyagila Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma, ambaye ni Katibu tawala wa wilaya ya Kasulu Bi. Theresia Mtelewe, amesema wilaya…

9 December 2025, 12:32

Wachungaji watakiwa kuwa kielelezo cha kulinda maadili Kigoma

Katibu tawala Wilaya Kigoma Mganwa Nzota amesema wachungaji wana wajibu wa kuhakikisha wanalinda na kukemea maadili kwenye jamii ili kuwa na kizazi chenye maadili mema Na Prisca Kizeba Wachungaji Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuwa kielelezo katika kulinda mmonyoka wa maadili…

9 December 2025, 10:03

Wazazi, walezi watakiwa kuwajengea misingi ya maadili watoto Kigoma

Katika jamii yoyote yenye matumaini ya kupata viongozi bora, jukumu la malezi ya watoto ni la msingi na la lazima na mojawapo ya nguzo muhimu zinazoweza kuwaongoza watoto kuwa viongozi wenye maadili ni kuwajengea msingi imara wa imani ya kimungu.…

8 December 2025, 16:23

Jamii yaaswa kuwalinda watoto dhidi ya ukatili

Wito umetolewa kwa jamii kuendelea kukemea vitendo vya ukatilii ambavyo vimekuwa vikifanyika kwa jamii Na Prisca Kizeba Wanawake Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameaswa kuwalinda watoto wao dhidi ya vitendo vya ukatili unaoendela katika jamii Hayo yamesemwa na Afisa Ustawi…

8 December 2025, 09:06

Vyombo vya ukamataji na upelelezi vyaaswa kufanya kazi kwa weledi

Vyombo vya ukamataji na upelelezi mkoani Kigoma, vimetakiwa kutotumia vibaya madaraka badala yake vifuate kanuni za ukamataji na kuhakikisha kwamba suala la upelelezi na uchunguzi wa mashauri linafanyika kwa uadilifu weledi na uwajibikaji wa hali ya juu ili kuepuka kuharibu…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.