Joy FM
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
Serikali imetaka miundombinu ya barabara kuelekea hifadhi ya mahale kuimarishwa ili kurahsisha usafir wa watali Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, amewaelekeza Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, pamoja na Wakala wa Barabara za Mijini na…
10 March 2026, 16:37
Shirika la Posta Tanzania limesema litaendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha miundombinu ya elimu kwa lengo la kuinua taaluma kwa wanafunzi kwa kuhakikisha wanafunzi wanajifunza katika mazingira rafiki. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma…
10 March 2026, 14:43
Biashara haramu ya binadamu ni moja ya matatizo makubwa ya kijamii yanayoikumba dunia ya leo kwa kusafirisha, kudanganya au kulazimisha watu kufanya kazi au vitendo fulani kwa manufaa ya watu wengine bila ridhaa yao. Na Mwandishi wetu Wazazi na walezi…
9 March 2026, 21:00
Wakazi wa Kijiji cha Bugaga na maeneo ya jirani katika Wilaya ya Kasulu wamejitokeza kwa wingi kupokea miche 120,000 ya kahawa aina ya Arabica iliyotolewa bure na Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu katika awamu ya pili ya ugawaji. Hatua hiyo…
9 March 2026, 12:48
Watoto wenye mahitaji maalum ni watoto ambao wanahitaji msaada wa ziada katika maisha yao ya kila siku kutokana na changamoto za kimwili, kiakili au kijamii kutokana na kuwa watoto hawa ni sehemu ya jamii na wana haki sawa kama watoto…
9 March 2026, 12:32
Mikopo ni fedha zinazotolewa na taasisi za kifedha au mashirika mbalimbali kwa watu binafsi au vikundi ili kuwasaidia kuanzisha au kuendeleza shughuli za kiuchumi kwa wanawake huunda vikundi maalum ili kupata mikopo kwa urahisi zaidi. Na Hagai Ruyagila Zaidi ya…
9 March 2026, 09:18
Kutoa taarifa za ukatili ni jukumu la kila mwanajamii kwani kutasaidia kulinda maisha ya watu, kuwapatia wahanga msaada, kuzuia ukatili kuendelea na kuhakikisha haki inatendeka. Na Dotto Josephati Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa kuachana na tabia ya kufumbia macho vitendo vya…
9 March 2026, 08:12
Ukatili ni tatizo kubwa katika jamii nyingi na unaweza kutokea majumbani, shuleni, kazini au katika maeneo ya umma, mara nyingi wahanga wa ukatili hukosa msaada kwa sababu watu wanaoshuhudia au wanaojua kuhusu vitendo hivyo hushindwa kutoa taarifa. Na Mwandishi wetu…
9 March 2026, 07:59
Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kutoa taarifa kwa wakati kuhusu vitendo vya ukatili vinavyotendeka dhidi ya wanawake na watoto ili kudumisha ulinzi na usalama kwa makundi hayo. Na Mwandishi wetu Wanawake mkoani Kigoma wamehimizwa kuendelea kutumia fursa zilizopo kuwekeza katika shughuli…
6 March 2026, 16:30
Bima ya afya kwa wote ni mpango unaolenga kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma za matibabu bila kuathiriwa na gharama za matibabu hii ni baada ya serikali kuimarisha mfumo wa bima ya afya ili kuwasaidia wananchi kupata huduma bora za afya.…
6 March 2026, 16:02
Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanal Isaac Mwakisu amewataka viongozi wa serikali za mitaa kufanya kazi karibu na wananchi ili waweze kutambua changamoto zao na kuzitatua Na Hagai Ruyagila Watendaji wa Kata na Mitaa katika halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.