Joy FM
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
90.5 MHz
Manispaa ya Kigoma Ujiji
0622097953
radiojoy@radiojoy.co.tz
https://radiojoyfm.co.tz/
Serikali imetaka miundombinu ya barabara kuelekea hifadhi ya mahale kuimarishwa ili kurahsisha usafir wa watali Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, amewaelekeza Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, pamoja na Wakala wa Barabara za Mijini na…
5 December 2025, 14:28
Serikali imewataka watendaji wa Serikali za mitaa kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa ya maendeleo Na Hagai Ruyagila Maafisa Watendaji wa serikali za Mitaa katika Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa manufaa ya maendeleo…
5 December 2025, 13:44
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania amehimiza watendaji wa vyombo vinavyohusika na ukamataji na upelelezi kufuata taratibu na sheria Na Emmanuel Matinde Vyombo vya ukamataji na upelelezi mkoani Kigoma, vimetakiwa kutotumia vibaya madaraka badala yake vifuate kanuni za ukamataji…
5 December 2025, 09:05
Mkuu wa Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma Dinah Mathamani amesema wataendelea kufanya oparesheni ili kubaini na kukamata nyavu haramu zinazotumiwa na wavuvi ndani ya ziwa Tanganyika Na Mwandishi wetu Serikali wilayani Uvinza imeziteketeza nyavu haramu 197 katika Kijiji cha Rubengela kata…
4 December 2025, 17:44
Mkuu wa Wilaya Kigoma Dk. Rashid Chuachua ameagiza mkandarasi anayetekeleza mradi wa Bangwe – Ujiji kuhakikisha anajenga mitaro ya kupitisha maji ambayo yamekuwa yakiathiri wananchi. Na Lucas Hoha Baadhi ya wananchi wa kata ya Bangwe maeneo ya Magela Manispaa ya…
4 December 2025, 14:36
Katibu tawala Mkoa wa Kigoma amewataka madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Kasulu kuhakikisha wanawatumikia wananchi katika utekelezaji wa majukumu yao Na Emmanuel Kamangu Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na kusimamia vyema…
4 December 2025, 14:17
Chakula ni sehemu muhimu sana katika maisha ya mwanafunzi shuleni hasa walio katika umri wa ukuaji, wanahitaji virutubisho vya kutosha kama protini, vitamini, madini, na wanga ili miili yao ikue kwa afya lishe duni inaweza kusababisha kudumaa, udhaifu, na magonjwa…
4 December 2025, 12:13
Kituo cha afya cha Mwamintare kilichopo Halmashauri ya Mji wa Kasulu kinahudumia kata tatu ya Muhunga, Mganza na Heru Juu kwa wakazi 50887. Na Hagai Ruyagila Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini mkoani Kigoma Profesa Joyce Ndalichako amekabidhi gari la…
3 December 2025, 13:57
Vijana Katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wameaswa kuacha kufanya mambo yasiofaa katika jamii na Taifa kwa ujumla. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti Msaidizi Mstaafu wa makanisa ya CPCT Mkoa wa Kigoma, Mchungaji Augustino Japhari Kizeba wakati wa kilele cha sherehe za…
3 December 2025, 11:22
Katibu tawala wa Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma Bi. Theresia Mtewele amewataka madiwani kushirikiana katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi Na Hagai Ruyagila Diwani wa Kata ya Kigondo, Ayubu Ngalaba (CCM), amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kasulu…
2 December 2025, 12:39
Manispaa ya Kigoma Ujiji kupitia kwa madiwani wamazimia kuongeza kasi ya ukusanyaji wa mapato kutoka shilingi milioni 400 hadi milioni 500 ili kusaidia kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi kwa wananchi Na Lucas Hoha Baraza la madiwani katika Manispaa ya…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.