Joy FM
Joy FM
21 July 2025, 15:59

Wavuvi wanaofanya shughuli za uvuvi ndani ya ziwa Tanganyika wameomba Seriakali kushughulikia vitendo wizi na uhalifu ndani ya ziwa hilo
Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wanadaiwa kuwavamia na kupora mashine nane za uvuvi katika mwalo wa Katonga Ziwa Tanganyika Mkoani Kigoma ambapo baadhi ya wavuvi wamelitupia lawama Jeshi la Polisi kutokana na vitendo hivyo kujirudia mara kwa mara bila kudhibitiwa.