Joy FM
Joy FM
26 September 2023, 12:21
Benki ya NMB kanda ya magharibi imetoa msaada wa madawati 50 katika shule ya msingi Busunzu Biliyopo Wilayani kibondo Mkoani Kigoma ikiwa ni jitihada za kukabiliana na uhaba wa madawati katika shule hiyo. Na James Jovin Shule ya msingi Busunzu…
26 September 2023, 11:41
Uamzi wa serikali kugawa mitungi ya gesi kwa wananchi ni miongoni mwa mikakati ya kukabiliana na uharibifu wa mazingira kwa kukata kuni za kupikia. Na, Hagai Ruyagila Jumla ya mitungi ya gesi 400 yenye thamani ya shilingi milioni 30 imetolewa…
14 September 2023, 18:27
Baadhi ya Wanaume Katika Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, wametuhumiwa Kunyonya Maziwa ya Wenza wao wa Ndoa baada ya kujifungua, hali ambayo imechangia watoto kukosa maziwa ya kutosha. Na, Tryphone Odace Mkuu Wa Wilaya ya Buhigwe Kanali Michael…
14 September 2023, 16:58
Wakati wananchi na watumiaji wa vyombo vya moto Nchi wakiendelea kuteseka na uhaba wa mafuta kwenye vituo vya mafuta huko Kibondo madiwa wameeleza kuwa wanaoficha mafuta ni uhujumu uchumi. Na, James Jovin Madiwani katika halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani…
14 September 2023, 16:24
Wazazi na walezi Manispa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia lishe kwa watoto wao kwa kuanda na kuwalisha vyakula vye lishe ya kutosha ili kuwakinga na utaopiamlo. Na, Josephine Kiravu Tangu kuanzishwa kwa siku ya afya ya lishe kila…
13 September 2023, 14:04
Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kigoma wakituhumiwa kufanya uhalifu na wizi katika maeneo mbalimbali mkoani wa Kigoma. Na, Kadislaus Ezekiel. Jeshi la Polisi mkoani Kigoma, limethibitisha kuwakama watu sita wakituhumiwa kujihusisha na matukio ya uvunjaji na wizi…
13 September 2023, 13:07
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imewataka wafanyabiashara kuendelea kutoa stakabadhi za EFD kwa mujibu wa sheria ili serikali iweze kupata mapato kwa maendeleo ya nchi. Na, Lucas Hoha. Wafanyabiashara mkoani Kigoma wameaswa kutoa stakabadhi (risiti) za mashine ya kielektroniki EFD…
11 September 2023, 13:21
Vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT Kambi ya Mtabila Wialayni Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa wazalendo. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isack Mwakisyu amewataka wahitimu wa mafunzo ya awali ya kijeshi kikosi namba…
8 September 2023, 13:34
Na, Josephine Kiravu Zaidi ya watoto 884,500 walio chini ya miaka 8 wanatarijiwa kufikiwa na kupatiwa chanjo ya Polio ambayo itaanza kutolewa nyumba kwa nyumba kuanzia septemba 21hadi 24 Mkoani Kigoma. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa kamati ya…
6 September 2023, 16:03
Viongozi wa Halmashauri Mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha watoto wanasajiliwa. Na, Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye amewaagiza wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani hapa kusimamia…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.