Joy FM
Joy FM
27 July 2023, 10:58
Kufuatia mtoto wa miaka mitano kuchomwa moto mikono na mama yake mzazi Esther Damiani mnamo tarehe Juni 29 mwaka huu baada ya kuiba muwa, hatimaye mtoto huyo anaendelea vizuri kutokana na matibabu anayoendelea kupatiwa. Na, Hagai Ruyagila. Akizungumza na Radio…
27 July 2023, 09:10
Chama Cha Mapinduzi kimesema kitaendelea kuhakikisha kinaisimamia serikali katika utekelezaji wa masuala mbalimbali ya maendeleo ili kufikisha huduma bora kwa wananchi. Na, Tryphone Odace Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Daniel Chongolo amesema chama hicho kitaendelea kuisimamia Serikali Kuu…
21 July 2023, 12:02
Wananchi Mkoani Kigoma wametakiwa kuacha kufanya shughuli za kibinadamu katika ya hifadhi za barabara Na, Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye amewataka wakazi wa Mkoani hapa kufuata sheria…
21 July 2023, 09:16
Mkandarasi anayetekeleza mradi wa uchimbaji wa visima vya maji Wilayani Kibondo ametakiwa kukamilisha mradi huo kwa haraka baada ya kutelekeza mradi huo kwa kipindi kirefu na kusababisha wananchi kukosa hudum ya maji. Na, Kadislaus Ezekiel Waziri wa maji Jumaa Aweso…
19 July 2023, 11:17
Shughuli ya uendeshaji wa pikipiki maarufu bodaboda kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa na mchango mkubwa kwa vijana kujipatia kipato kwa kusafirisha abiria huku wengi wao wakipewa pikipiki hizo kwa mikataba hali iayosababisha kutofikia malengo yao. Na,Hagai Ruyagila Vijana waendesha…
18 July 2023, 16:16
Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma limesema litaendelea kutoa elimu kwa jamii kuachana na vitendo vya ramli chonganishi ambavyo husababisha uvunjfu wa amani. Na, Josephine Kiravu Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma linawashikilia watuhumiwa 29 wakiwa na vifaa vya kufanyia ramli chonganishi…
18 July 2023, 11:23
Shirika la viwango Tanzania TBS limesema litaendelea kuwachukulia hatua wafanyabiashara wanaouza bidha zilizopigwa marufuku ili kuepusha matumizi ya vipodozi visivyokidhi viwango kutumika kwa wananchi. Na, Lucas Hoha Wananchi Mkoani Kigoma wametakiwa kununua vipodozi kwenye maduka ambayo yameruhusiwa na wahakikishe kama…
16 July 2023, 14:02
Waziri wa Maji Mheshimiwa Jumaa Aweso katika picha ya ukaguzi wa miradi ya maji Kasulu, picha na Tryphone Odace Watumishi wa idara za maji Mkoani Kigoma, watakiwa kusimamia miradi kulingana na fedha zinazotolewa na Serikali. NA, Kadisilaus Ezekiel. Waziri wa…
13 July 2023, 13:15
Wananchi wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametakiwa kutohusianisha tukio la kijana aliyefariki na kupatikana akiwa hai mkoani Tabora na imani za kishirikina. Na James Jovin Serikali wilayani Kibondo mkoani Kigoma imemkabidhi kijana Daniel Gastoni mwenye umri wa miaka 35 kwa ndugu…
13 July 2023, 11:58
Ukosefu wa maji katika baadhi ya vijiji vya halmashauri ya wilaya na mkoani Kigoma umetajwa kuendelea kuwatesa wananchi kwani hulazimika kutumia maji ya visima na mito yasiyokuwa safi na salama. Na, Kadislaus Ezekiel Wananchi wa vijiji vinane vya halmashauri ya…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.