Joy FM
Joy FM
18 August 2023, 10:21
Na, Tryphone Odace Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye amewataka viongozi wa Serikali za mitaa kuchukua hatua za kisheria haraka kwa watu wanaojihusisha na upigaji wa ramli chonganishi kwani imekuwa…
18 August 2023, 10:00
Na, Tryphone Odace Shirika la Maendeleo ya Vijana Mkoani Kigoma, KIVIDEA limewataka vijana kujiepusha na makundi yanayoweza kusababisha kutofikia ndoto zao kwani makundi hayo yanaweza kusababisha kutumbukia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya. Hayo yameelezwa na Afisa Program wa KIVIDEA,…
9 August 2023, 12:43
Vitendo vya ukatili katika jamii vimetajwa kuchochewa na uwepo wa mmomonyoko wa maadili hali ambayo inatajwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya wazazi ambao hawatimizi wajibu wao ipasavyo kwa watoto. Na Josephine Kiravu Viongozi mbalimbali wa dini kutoka mikoa…
4 August 2023, 17:04
Mashirika yasiyo ya kserikali yametakiwa kuhakikisha wanatumia fedha za wafadhili katika kutekeleza miradi ya maendeleokwenye maeneoyao. Na Lucas Hoha Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishina Mstaafu wa Jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye amezitaka Sekta binafisi kutenga fedha kwa…
4 August 2023, 10:09
Maadili nchini yanaonekana kuendelea kuporomoka hali inayosababisha jamii kuendelea kupotoka na kusababisha jamii kuwa katika hali ngumu ya maisha hasa kufanyiwa ukatilii. Na, Josephine Kiravu Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa Kujiepusha vitendo vilivyo kinyume na maadili ya Kitanzania kuanzia ngazi ya…
3 August 2023, 10:17
Wakati serikali ya Tanzania na Burundi kwa kushirikiana na maashirika ya kuhudumia wakimbizi wakiendelea kuhamasisha wakimbizi kutoka Burundi ambao wanaishi katika kambi ya Nyarugusu kurudi kwao, wakimbizi hao wamesema wanaogopa kurudi kwao kutokana na ukosefu wa mashamba ya kuishi. Na,…
2 August 2023, 01:11
Serikali nchini Tanzania imesema itaendelea kuhamasisha wakimbizi waliopo katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu kurudi nchini Burundi kutokana na amani iliyopo kwa sasa. Wakimbizi wanaoishi katika kambi ya Nyarugusu iliyopo mkoani Kigoma nchini Tanzania wameiomba serikali ya Burundi kutatua matatizo ya…
31 July 2023, 16:22
Na, Emmanuel Matinde Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa, ametoa siku 15 kwa mkandarasi kampuni ya Sinohydro Corporation inayojenga kipande cha pili cha barabara ya Kabingo – Manyovu mkoani Kigoma kufikisha mitambo eneo la kazi ili kukamilisha ujenzi…
31 July 2023, 15:32
Serikali imetakiwa kumsimamia mkandarasi anayejenga mradi wa bandari ya ziwa Tanganyika ili kurahisisha usafirishaji wa bidhaa. Na, Tryphone Odace Wananchi mkoani Kigoma pamoja na wafanyabiashara wanaosafirisha bidhaa katika nchi jirani, wameiomba serikali kumsimamia mkandarasi anayejenga miradi ya bandari katika ziwa…
28 July 2023, 15:40
Wafanyabiashara wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametakiwa kurasimisha taarifa za biashara za mazao wanazofanya ili waweze kutambulika na Wizara ya Kilimo Na, Tryphone Odace Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma imeanza zoezi la usajili wa wafanyabiashara wa mazao na wenye…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.