Joy FM
Joy FM
13 September 2023, 13:07
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imewataka wafanyabiashara kuendelea kutoa stakabadhi za EFD kwa mujibu wa sheria ili serikali iweze kupata mapato kwa maendeleo ya nchi. Na, Lucas Hoha. Wafanyabiashara mkoani Kigoma wameaswa kutoa stakabadhi (risiti) za mashine ya kielektroniki EFD…
11 September 2023, 13:21
Vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT Kambi ya Mtabila Wialayni Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa wazalendo. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isack Mwakisyu amewataka wahitimu wa mafunzo ya awali ya kijeshi kikosi namba…
8 September 2023, 13:34
Na, Josephine Kiravu Zaidi ya watoto 884,500 walio chini ya miaka 8 wanatarijiwa kufikiwa na kupatiwa chanjo ya Polio ambayo itaanza kutolewa nyumba kwa nyumba kuanzia septemba 21hadi 24 Mkoani Kigoma. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa kamati ya…
6 September 2023, 16:03
Viongozi wa Halmashauri Mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha watoto wanasajiliwa. Na, Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye amewaagiza wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani hapa kusimamia…
6 September 2023, 12:39
Kikosi cha Jeshi la kujenga Taifa JKT Bulombora kimesema kitaendelea kuwafundisha ujuzi na uzalendo vijana wote ili waweze kulitumikia Taifa. Na, Tryphone Odace. Vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi oparesheni miaka 60 katika kambi ya Jeshi la kujenga Taifa JKT, kikosi…
1 September 2023, 11:41
Katika kuboresha huduma za usafirishaji, Mamlaka ya Bandari Tanzania mkoani Kigoma imesema inaendelea kuboresha usafirishaji wa mafuta kwa nchi ya Burundi. Na, Tryphone Odace Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania TPA mkoa wa Kigoma, imeanza kuchukua hatua za kuboresha nyanja…
1 September 2023, 11:16
Katika kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia, Shirika la Maendeleo ya Vijana mkoani Kigoma KIVIDEA limeendelea kutoa elimu kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili kuwapa elimu ya kujitambua ili waweze kuepukana na vitendo vya ukatilii. Na,…
30 August 2023, 12:52
Katika kukabiliana na ajali ndani ya Ziwa Tanganyika Serikali ya Tanzania na Burundi zimeonyesha nia ya kushirikiana kutoa elimu ya matumizi ya vifaa vya usafirishaji ndani ya ziwa. Na, Tryphone Odace Nchi za Tanzania na Burundi zimeanza kuchukua hatua za…
25 August 2023, 17:24
Magonjwa ya mlipuko mkoani Kigoma yanaweza kudhibitiwa iwapo hatua mbalimbali zitachukuliwa na jamii. Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kushirikiana vyema na wadau wa sekta ya afya ili kuondoa tatizo la magonjwa ya mlipuko ambayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara. Mganga Mkuu…
24 August 2023, 15:37
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mkoa wa Kigoma, Limezindua kampeni ya Operasheni Maboya katika ziwa Tanganyika, ili kubaini Boti zisizo na Vifaa vya Kusafiria Kwa Wavuvi na Abiria ili kuwachukulia hatua za kisheria. Na, Kadislaus Ezekiel Afisa mfawidhi…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.