Joy FM
Joy FM
20 November 2023, 14:24
Serikali imesema itaendelea kuthamini mchango wa taasisi ya Jane Goodall katika kuhakikisha inatekeleza shughuli zake za utoaji wa elimu ya mazingira na kilimo kuitia ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID. Na Tryphone Odace Wadau wa maendeleo mkoani Kigoma wameshauriwa…
20 November 2023, 13:55
Baadhi ya wavuvi wanaofanya shughuli za uvuvi ndani ya Ziwa Tanganyika mkoani Kigoma wanatarajia kujikwamua kiuchumi baada ya serikali kuwawezesha zana za kisasa za uvuvi ikiwemo boti 9 na vifaa vyake zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 500. Na,…
20 November 2023, 08:57
16 November 2023, 17:03
Familia ya Kijana Enock Elias aliyefariki katika mazingira ya kutatanisha yaomba uchunguzi dhidi ya waliohusika na mauaji hayo. Na Kadislaus Ezekiel Familia ya kijana Enock Elias Sabakwishi, mkazi wa kijiji cha Ilabiro kata ya Katanga wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma,…
8 November 2023, 17:53
Wizara ya Maji Kupitia Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini RUWASA wilayani Buhigwe mkoani Kigoma, wamefanikiwa kufikia asilimia 72.2 ya usambazaji wa huduma ya maji safi na salama kwa wananchi, na kupunguza kwa kiwango kikubwa cha ukosefu wa…
8 November 2023, 13:39
Vitendo vya rushwa vimeendelea kushamiri katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo hapa nchi hali inayochangia baadhi ya miradi hiyo kushindwa kukamilika kwa wakati. Na, Lucas Hoha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Takukuru mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu…
6 November 2023, 14:33
Katika kukabiliana na vitendo vya ukatili kwenye jamii wanachama wa chama cha Biblia tawi la kigoma wamesema chama hicho kimekuwa saada kwa kutoa elimu kwa jamii ili kuwa na hofu ya mungu. Na, Lucas Hoha Wakiristo mkoani Kigoma wameshauriwa kuzingatia…
3 November 2023, 16:39
Kubomolewa kwa vibanda hivyo kunatajwa kuwarudisha nyuma wafanyabiashara wakubwa na wadogo kwani ndio sehemu pekee walitegeme kujipatia kipato. Na Emmanuel Matinde Watu wasiojulikana wanaokisiwa idadi yao kuwa ishirini wamevunja kuta za vibanda vya biashara 13 kati ya 25 vinavyojengwa katika…
1 November 2023, 15:32
Wafanyabiashara wameomba serikali kuweka mazingira rafiki ili waweze kufanya vizuri katika kufanya baishara ndani na nje ya nchi. Na Lucas Hoha Serikali imewahakikishia wafanyabiashara wa mkoa wa Kigoma kuwa inaendelea kutatua changamoto na vikwazo vinavyowafanya kushindwa kufanya biashara ikiwemo kuboresha…
25 October 2023, 16:07
Zaidi ya watoto Laki tatu na elfu hamsini wenye umri chini ya miaka 8 Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya polio awamu ya pili ili kuwakinga na ugonjwa wa polio. Na, Hagai Ruyagila Hayo yamebainishwa na katibu…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.