Joy FM
Joy FM
5 January 2024, 17:38
Takribani Kaya 17 katika mtaa wa Kigungani Kata ya Mwilanvya Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma zimekumbwa na mafuriko kufuatia mvua kubwa iliyonyesha hapo jana na kupelekea baadhi ya kaya kuhama. Na, Hagai Ruyagila Mvua hiyo iliyodumu kwa zaidi ya…
5 January 2024, 17:02
Halmashauri ya wilaya ya Kibondo imezindua kituo kipya cha afya kilichopo katika kata ya Kibondo mjini kilichogharimu shilingi milioni 500 mpaka kukamilika kwake ikiwa ni mkakati wa kupunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali ya wilaya na kuboresha huduma za afya.…
5 January 2024, 16:43
Zaidi ya watoto wachanga 600 wamefariki wakati wa kuzaliwa mkoani Kigoma huku akina mama 76 wakipoteza maisha wakati wa kujifungua katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2023. Na, Josephine Kiravu. Hakuna mama anaebeba ujauzito kwa kipindi cha miezi 9 halafu matarajio…
5 January 2024, 09:39
Viongozi wa vijiji na kata wilayani Buhigwe mkoani Kigoma wametakiwa kuitisha mikutano na wananchi ili kujadili vipaumbele vya miradi ya maendeleo inayotakiwa kujengwa katika maeneo yao. Na, Michael Mpunije Wito huo umetolewa na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Buhigwe…
4 January 2024, 15:40
Mkuu wa wilaya ya Kibondo mkoani kigoma Kanali Agrey Magwaza amelitaka Jeshi la Polisi wilayani Humo kwa kushirikiana na wasaidizi wa Kisheria , kutoa elimu kwa wananchi kuhusu Haki ya Mtuhumiwa anapokamatwa ili kuondoa mkanganyiko na mitazamo waliyonayo wananchi juu…
4 January 2024, 15:02
Wazazi na walezi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwapelekea watoto wao shule ili waweze kupata elimu itakayo wasaidia katika maisha yao ya kila siku. Akizungumza na vyombo vya habari mjini Kasulu Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi wilayani Kasulu Selemani Malumbo…
4 January 2024, 13:51
Wananchi kutoka katika kaya zaidi ya 300 katika kitongoji cha Kazaroho Kijiji cha Chakuru wilaya ya Uvinza hazina mahali pa kuishi baada ya serikali kuwaondoa katika maeneo waliyokuwa wakiishi tangu mwaka 2021 ambayo ni sehemu ya ya ranchi ya Uvinza.…
3 January 2024, 14:11
Halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma imeanzisha mkakati wa kuhakikisha usafi wa mazingira unaimarishwa ili kujiweka katika nafasi nzuri za ushindani wa usafi wa mazingira kitaifa hali itakayosaidia kuepuka magonjwa yatokanayo na uchafu ikiwemo kipindu pindu. Hayo yamebainishwa na afisa…
3 January 2024, 12:30
Wito umetolewa kwa mashirika na wananchi wa mkoani Kigoma kujitokeza na kuchangia vitu mbalimbali kwa ajili ya kuwasaidia watoto wanaolelewa na kituo cha malezi ya watoto Matyazo. Na Lucas Hoha Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Joy…
1 January 2024, 14:03
Madereva wa mabasi yaendayo mikoani wametakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani hasa kipindi hiki cha mvua ili kudhibiti athari zinazoweza kujitokeza ikiwemo ajali. Na Josephine Kiravu. Akizungumza na madereva Mkuu wa dawati la elimu usalama barabarani Nchini, ACP Michael Dereri…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.