Joy FM
Joy FM
21 February 2024, 13:07
Waziri ofisi ya Waziri Mkuu, ajira, vijana na wenye ulemavu Pro. Joyce Ndalichako amesema ataendelea kuhakikisha sekta ya elimu katika jimbo la kasulu mjini inapewa kipaumbele. Profesa Ndalichko amesema hayo wakati akigawa viti mwendo na fimbo Kwa walemavu, pamoja na magari…
21 February 2024, 12:07
Uongozi wa chama cha wasioona wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameomba viongozi ngazi ya halmashauri kujenga tabia ya kuwashirikisha katika mambo mbalimbali ili kutoa maoni juu ya maendeleo yao na taifa kwa ujumla. Emmanuel Kamangu anaripoti zaidi.
20 February 2024, 11:25
Tangu shule zifunguliwe januari 8 mwaka 2024 takwimu zinaonyesha wanafunzi walio wengi hawajaripoti kuanza masomo ya kidato cha kwanza. Na Michael Mpunije Idadi ya wanafunzi walioripoti shuleni kuanza kidato cha kwanza tangu shule zilipofunguliwa januari 8 mwaka huu inatajwa kuwa…
16 February 2024, 15:31
Wakulima Katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, wameiomba Serikali kusaidia upatikanaji wa soko la uhakika la kuuza mazao ya mahindi na maharage, kufuatia ongezeko kubwa la uzalishaji wa mazao hayo, ikiwa ni baada ya kupatiwa mbinu za uzalishaji…
14 February 2024, 11:47
Watoto kuanza kupatiwa chanjo ya surua na rubela ikiwa ni mkakati wa serikali wa kuhakikisha wanadhibiti ugonjwa huo kwa watoto nchini. Na James Jovin Wizara ya afya imelenga kutoa chanjo ya Surua Rubella kwa watoto wapatao 61,545 wenye umri chini…
13 February 2024, 11:36
Katika kuangazia siku ya redio duniani wananchi na wadau mbalimbali wamehusika katika kuzungumzia umuhimu wa redio katika jamii. Ikumbukwe kuwa kauli mbiu mwaka 2024 ni ”Redio: Karne ya kufahamisha, kuburudisha na kuelimisha” ”Inaangazia mambo mengi ya zamani, yanayofaa ya sasa…
13 February 2024, 10:54
Zaidi ya watoto laki nne na elfu themanini na sita mia saba sabini na mbili wenye umri wa kuanzia miezi 9-59 Mkoani Kigoma wanatarajia kupatiwa chanjo ya Surua Rubella kuanzia Feb 15-18 mwaka huu kwenye vituo vya afya na zahanati…
12 February 2024, 15:12
Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa kuzingatia usafi wa mazingira ili kujilinda na magonjwa ya mlipuko ambayo yamekuwa yakiwakumba baadhi ya wakazi wa mkoa huu katika baadhi ya maeneo ikiwemo kibirizi, Kalalangabo na Gungu lakini na wilaya ya Uvinza ambapo watu 74…
9 February 2024, 13:56
Ofis ya Eliu wilayani Kibondo imeanza msako wa kuwatafuta wanafunzi waliofaulu kujiunga kidato cha kwanza na hawajaripoti shuleni mpaka sasa. Na, James Jovin Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma imeanza msako wa wanafunzo wote ambao bado hawajajiandikisha kuanza masomo…
8 February 2024, 19:59
Wananchi mkoani Kigoma wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa macho mekundu, ulioripotiwa hivi karibuni kutokea katika baadhi ya mikoa mbalimbali hapa nchini. Na, Horida Sayoni Mganga mkuu wa mkoa wa kigoma Dr. Jesca Leba Amesema hayo wakati akizungumza na…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.