Joy FM
Joy FM
27 March 2024, 14:49
Wakazi wa kata ya Mahembe halmashauri ya wilaya ya Kigoma wamepatiwa elimu ya namna ya kulinda amani iliyopo huku wakitakiwa kushirikiana na vyombo vya usalama katika kufichua wahalifu ambao wamekuwa chanzo cha uvunjifu wa amani. Na, Josephine Kiravu.Awali akizungumza kwenye…
26 March 2024, 15:38
Wakazi wa Kata ya Kanyonza katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, wameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kujenga shule ya sekondari ya wasichana ya bweni na ambayo itatoa fursa kwa mabinti…
26 March 2024, 09:06
Jamii wilayani Kasulu mkoani Kigoma imeaswa kupinga na kukemea huduma zinazotolewa na wapiga ramli chonganishi maarufu kwa jina la Kamchape ama lambalamba kwani wanasababisha kuvuruga amani hali inayosababisha madhara makubwa katika wananchi. hii hapa ni ripoti yake Hagai Ruyagila
25 March 2024, 15:39
Shule za Msingi Wilayani Kibondo, zimeomba Serikali, Mashirika ya Kuhudumia Wakimbizi pamoja na Wadau wa Elimu, Kusaidia ufanisi wa mazingira rafiki ya Ufundishaji na Ujifunzaji. Kutoka Wilayani Kibondo Mwanahabari Wetu Kadisilaus Ezekiel Anaripoti.
21 March 2024, 08:59
Jumla ya kaya 30 za wazee wenye mahitaji maalum katika kata ya Murufyiti halmashauri ya mji Kasulu mkoani Kigoma zimepatiwa msaada wa bima za afya ICHF zilizoboreshwa kutoka shirika la Endeleza Wazee Kigoma (EWAKI) ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za…
20 March 2024, 15:18
Waziri ofisi ya waziri mkuu kazi , vijana , ajira na wenye ulemavu prof Joyce ndalichako amezindua magati matano ya maji katika mtaa wa nyachijima kata ya kigondo halmashauri ya mji wa kasulu ikiwa ni mwendelezo wa kuhakikisha serikali inamtua…
20 March 2024, 09:13
Serikali ya Tanzani imeshauriwa kuendelea kutoa elimu ya ukatili wa kijinsia katika jamii ili kupunguza na kutokomeza vitendo vya ukatili hali itakayosaidia kujua usawa wa mwanamke na mwanaume ndani ya jamii. Hayo yameelezwa na Katibu Mtendaji wa Kanisa la Anglikana…
19 March 2024, 10:02
Shule ya Sekondari ya wasichana Mkugwa iliyoko Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma inakabiliwa na changamoto mbali mbali ikiwemo upungufu wa nyumba za walimu, mabweni na madarasa hali inayozorotesha kiwango cha taaluma shuleni hapo. Hayo yamebainishwa na mkuu wa shule hiyo mwalimu…
14 March 2024, 10:20
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigoma Mganwa Nzota amekemea tabia za wananchi wanaoharibu miundombinu ya nguzo na vibao vya anuani ya makazi na kutumia kama vyuma chakavu. Ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya utekelezaji wa mfumo wa anuani za makazi…
12 March 2024, 14:35
Madiwani na Wananchi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma, wameadhimia kwa pamoja, kuwasaka na kuwakamata Vijana wanaozurura Mitaani na kufanya Uhalifu kwa kuvunja makazi ya watu na kuiba thamani za ndani na kuhatarisha usalama wa watu, ikiwa ni baada…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.