Joy FM
Joy FM
21 March 2024, 08:59
Jumla ya kaya 30 za wazee wenye mahitaji maalum katika kata ya Murufyiti halmashauri ya mji Kasulu mkoani Kigoma zimepatiwa msaada wa bima za afya ICHF zilizoboreshwa kutoka shirika la Endeleza Wazee Kigoma (EWAKI) ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za…
20 March 2024, 15:18
Waziri ofisi ya waziri mkuu kazi , vijana , ajira na wenye ulemavu prof Joyce ndalichako amezindua magati matano ya maji katika mtaa wa nyachijima kata ya kigondo halmashauri ya mji wa kasulu ikiwa ni mwendelezo wa kuhakikisha serikali inamtua…
20 March 2024, 09:13
Serikali ya Tanzani imeshauriwa kuendelea kutoa elimu ya ukatili wa kijinsia katika jamii ili kupunguza na kutokomeza vitendo vya ukatili hali itakayosaidia kujua usawa wa mwanamke na mwanaume ndani ya jamii. Hayo yameelezwa na Katibu Mtendaji wa Kanisa la Anglikana…
19 March 2024, 10:02
Shule ya Sekondari ya wasichana Mkugwa iliyoko Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma inakabiliwa na changamoto mbali mbali ikiwemo upungufu wa nyumba za walimu, mabweni na madarasa hali inayozorotesha kiwango cha taaluma shuleni hapo. Hayo yamebainishwa na mkuu wa shule hiyo mwalimu…
14 March 2024, 10:20
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kigoma Mganwa Nzota amekemea tabia za wananchi wanaoharibu miundombinu ya nguzo na vibao vya anuani ya makazi na kutumia kama vyuma chakavu. Ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya utekelezaji wa mfumo wa anuani za makazi…
12 March 2024, 14:35
Madiwani na Wananchi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma, wameadhimia kwa pamoja, kuwasaka na kuwakamata Vijana wanaozurura Mitaani na kufanya Uhalifu kwa kuvunja makazi ya watu na kuiba thamani za ndani na kuhatarisha usalama wa watu, ikiwa ni baada…
12 March 2024, 13:24
Madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma wameitaka idara ya afya wilayani humo kuhakikisha dawa muhimu zinapatikana muda wote katika zahanati, vituo vya afya na hospitali ya wilaya ili kuondoa usumbufu kwa wagonjwa hasa wajawazito, watoto na wazee.…
12 March 2024, 13:21
Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kuzingatia matumizi ya vyakula vyenye lishe kwa watoto ili kusaidia kuwakinga na utapiamlo ambao unasababisha udumavu kwa watoto. Na, Emmanuel Kamangu Wananchi wa kata ya Kimobwa halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuhudhuria…
11 March 2024, 16:47
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Kigoma Mhe. Augustine Rwizile amesema kila mtu ana haki ya kulinda na kuthamini haki za mtoto kwani haki hizi hazigawanyiki. Na, Mwandishi wetu Winfrida Ngassa. Mh Augustine Rwizile amesema hayo wakati…
11 March 2024, 15:36
Wananchi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kufuata huduma za afya katika vituo vinavyotambuliwa na serikali baada ya kubainika uwepo wa maabara Bubu ambayo imekuwa ikitoa huduma za vipimo kinyume cha sheria. Akiwa katika ukaguzi wa usafi wa Mazingira katika mtaa…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.