Joy FM

Recent posts

5 April 2024, 13:51

Shughuli za binadamu zaathiri uhifadhi wa wanyamapori Kigoma

Licha ya Serikali na wadau wa uhifadhi nchini kuhimiza utunzaji wa mazingira kwa lengo la kunusuru uhai wa viumbe vinavyoishi kwenye misitu imeelezwa kuwa bado shughuli za binadamu zimeendelea kuathiri uhifadhi wa wanyamapori ikiwemo sokwe. Hayo yameelezwa na Mtafiti Dkt…

2 April 2024, 09:56

Kivuko chakwamisha wakulima baada ya kusombwa na maji Buhigwe

Zaidi ya wakulima 700 wanaofanya shughuli za kilimo ng’ambo ya mto Ruwiche katika kata ya Kinazi wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wameshindwa kuendelea na shughuli hiyo baada ya kivuko kinacho unganisha vijiji vya kinazi na nyamihanga kusombwa na maji kufuatia mvua…

29 March 2024, 10:53

Madiwani watakiwa kusikiliza kero za wananchi Kasulu

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma Mberwa Chidebwe amewaagiza madiwani wote wa halmashauri ya wilaya ya Kasulu kusikiliza kero za wananchi ili ziweze kutatuliwa na serikali kuliko kusubiri viongozi wa kitaifa. Ameyasema hayo wakati akizungumza…

28 March 2024, 11:55

wapiga ramli chonganishi kuchukuliwa hatua kali za kisheria

Baraza la Madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma limeazimia kuchukua hatua kali za kisheria kwa wapiga ramli chonganishi maarufu kamchape kufuatia kufanya shughuli za uvunjifu wa amani ndani ya halmashauri hiyo. Na, hagai Ruyagila Katika kikao hicho…

27 March 2024, 16:00

wakimbizi wapewa miezi 9 kurudi Burundi kwa hiari

Zaidi ya Wakimbizi Laki Moja Kutoka Nchini Burundi wanaohifadhiwa Katika Kambi za Wakimbizi NDUTA na NYARUGUSU Mkoani Kigoma, Wamepewa miezi tisa kuanzia sasa wote wawe wamerudi nchini Burundi kwa hiyari, Kabla ya kufutia hadhi ya ukimbizi ili kuungana na ndugu…

27 March 2024, 15:39

Mkandarasi barabara ya Kasulu Kibondo kuchukuliwa hatua

Wananchi na watumiaji wa barabara ya Kasulu Kibondo mkoani Kigoma, wameingiwa na hofu baada ya kukatika miundombinu ya barabara hiyo katika kijiji na kata ya Busunzu wilayani Kibondo, ikiwa ni wiki kadhaa zimepita eneo hilo kuanza kupitika, hali ambayo imeacha…

27 March 2024, 14:49

Wananchi watakiwa kutokuwa sehemu ya uvunjifu wa amani Kigoma

Wakazi wa kata ya Mahembe halmashauri ya wilaya ya Kigoma wamepatiwa elimu ya namna ya kulinda amani iliyopo huku wakitakiwa kushirikiana na vyombo vya usalama katika kufichua wahalifu ambao wamekuwa chanzo cha uvunjifu wa amani. Na, Josephine Kiravu.Awali akizungumza kwenye…

26 March 2024, 15:38

Wananchi wafurahia utekelezaji wa miradi ya elimu Kakonko

Wakazi wa Kata ya Kanyonza katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, wameishukuru serikali ya  awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kujenga shule ya sekondari ya wasichana ya bweni na ambayo itatoa fursa kwa mabinti…

26 March 2024, 09:06

Kamchape yawa tishio kwenye jamii Kigoma

Jamii wilayani Kasulu mkoani Kigoma imeaswa kupinga na kukemea huduma zinazotolewa na wapiga ramli chonganishi maarufu kwa jina la Kamchape ama lambalamba kwani wanasababisha kuvuruga amani hali inayosababisha madhara makubwa katika wananchi. hii hapa ni ripoti yake Hagai Ruyagila

25 March 2024, 15:39

Shule za msingi zalia na miundombinu ya ufundishaji na ujifunzaji

Shule za Msingi Wilayani Kibondo, zimeomba Serikali, Mashirika ya Kuhudumia Wakimbizi pamoja na Wadau wa Elimu, Kusaidia ufanisi wa mazingira rafiki ya Ufundishaji na Ujifunzaji. Kutoka Wilayani Kibondo Mwanahabari Wetu Kadisilaus Ezekiel  Anaripoti.

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.