Joy FM

Recent posts

10 May 2024, 12:38

Ziwa Tanganyika kufungwa kwa miezi mitatu

Waziri wa mifugo na uvuvi Mh. Abdallah Ulega amesema shughuli za uvivi zitafungwa rasmi kuanzia may 15 hadi mwezi augost lengo ikiwa ni kulinda rasmali za ziwa tanganyika kuongeza. Na Orida Sayon – Kigoma Katika kutekeleza dhamira ya  kulinda  rasilimali…

9 May 2024, 13:16

Wezi wa dawa vituo vya afya watinga kwenye baraza a madiwani

Hivi karibuni kumeibuka wimbi la wizi wa dawa katika vituo vya kutolea huduma za afya jambo ambalo linakwamisha upatikanaji wa dawa kwa wagonjwa wanapohitaji kutibiwa. Na James Jovin – Kibondo Idara ya afya katika halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani…

9 May 2024, 12:58

Udumavu pasua kichwa kigoma, mafisa lishe kikaangoni

Licha ya mkoa wa kigoma na wilaya zake kuzalisha aina mbalimbali za vyakula vya kutosha bado suala la lishe limekuwa gumu kwani bado watoto wanasumbuliwa na udumavu hali inayochangia hata watoto kushindwa kumudu masomo vizuri shuleni. Na, Josephine Kiravu -Kigoma…

9 May 2024, 12:34

Ekari 400 kugawiwa kwa wananchi wanaoishi maeneo yasiyo rasmi

Kutengwa kwa eneo hilo huenda ikawa mwarobaini wa migogoro ya ardhi baina ya wakulima na mamlaka za serikali hasa wakala wa misitu tanzania TSF ambayo imekuwa kwenye migogoro na wananchi wanaovamia maeneo ya hifadhi. Na Michael Mpunije – Kasulu Serikali…

9 May 2024, 11:47

Serikali yapata mwarobaini ziwa Tanganyika kujaa maji

Wafanyabiashara wanaofanya biashara katika mialo mbalimbali ya ziwa tanganyika wameomba serikali kuangalia namna ya kutenga eneo rafikikwao ili waweze kufanya biashara zao kwani maeneo ya sasa yamejaa maji kutokana na ziwa kuja maji na kuvuka kingo za ziwa. Na Lucas…

8 May 2024, 14:26

Vijana wa JKT kutumika katika uzalishaji mali

Vijana wanaomaliza mafunzo ya kijeshi wametakiwa kuendelea kutumia ujuzi wa uzalishaji mali ili kusaidia kuzalisha na kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani. Na Kadislaus Ezekiel – Kakonko Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jocob Mkunda, amewataka vijana wanaohitimu mafunzo…

8 May 2024, 13:13

Wajasiriamali tumieni vitambulisho kupata mikopo

Serikali imewataka wajariamali kutumia vitambulisho vya ujasiriamali kama sehemu ya kuwawezesha kupata mikopo itakayowasaidia kujiendeleza kibiashara. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wajasiriamali wadogo wadogo wa halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na kitambulisho cha ujasiriamali ambacho kitamsaidia kupata…

7 May 2024, 17:00

Meja Kodi: Lazima tulinde mipaka yetu iwe salama

“Mkoa wa Kigoma una wageni wengi wanaoingia nchini hivyo hatuna budi kuwa makini na kuhakikisha ulinzi unaimarika katika mipaka ya nchi yetu ili kuhakikisha hakuna tatizo linaokea”. Na, Tryphone Odace – Kigoma Mkuu wa Tawi la Lojistiki na Uhandisi Jeshini, …

6 May 2024, 17:06

ACT Wazalendo yampitisha zito kuwa rais

Kiongozi wa cha ACT wazalendo Zitto Zuberi Kabwa amesema kama atagombea urais mwaka 2025 kama wananchi na wanachama wa chama hicho watampa ridhaa ya kuwaongoza. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar…

6 May 2024, 15:58

Neema yawashukia wakulima wa mpunga kasulu

Serikali imeeleza kuwa wakulima wataendelea kuneemeka na mavuno yenye tija iwapo watazingatia maelekezo ya wataalamu wa kilimo juu ya kilimo chenye tija na ushindani katika soko la ndani na nje ya nchi. Na Timotheo Leonard – Kasulu Wakulima wa zao…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.