Joy FM
Joy FM
10 June 2024, 15:26
Vurugu vimetokea baina ya jeshi la polisi mkoani kigoma na wafugaji hali iliyosababisha mto mmoja kujeruhiwa kwa kupigwa risasi. Na Josephine Kiravu Jeshi la Polisi mkoani Kigoma limethibitisha kutokea kwa vurugu baina ya askari polisi na wafugaji huko katika kijiji…
10 June 2024, 10:48
Serikali wilayani Kasulu mkoani Kigoma inatarajia kugawa mbegu bora za kahawa kwa wakulima ili waweze kulima kilimo chenye tija ambacho kitakuwa na mazao ya kutosha na yenye ushindani kwenye soko la ndani na nje ya nchi. Na Michael Mpunije Wakulima…
7 June 2024, 12:02
Serikali wilayani Kasulu imesema itaendelea kuwachukulia hatua za kisheria watu wote wanaojihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwemo udokozi na wizi kwenye makazi yao ili kuhakikisha wananchi kufanya kazi kwa amani. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa Wilaya…
7 June 2024, 11:48
Serikali ya Tanzania na Burundi zimeendelea kuhamasisha wakimbizi waishio kambi za nduta na nyarugusu mkoani kigoma kurejea kwao kwa hiari kwani tayari taifa la burundi kuna amani ya kutosha kwa sasa. Na, Josephine Kiravu Kufuatia kusuasua kurejea makwao wakimbizi wa…
6 June 2024, 10:56
Serikali imetakiwa kufuatilia na kudhibiti vitendo vya watoto kupotea katika mazingira ya kutatanisha katika halmashauri ya mji wa Kasulu hali inayosababisha wananchi kuishi bila amani. Na Michael Mpunije – Kasulu Wananchi katika halmashauri ya mji Kasulu mkoani Kigoma wameiomba serikali…
6 June 2024, 10:34
Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi wakimbizi katika kambi ya nyargusu wilayani kasulu mkoani kigoma wametakiwa kutunza misitu inayowazunguka ili iweze kudumu na kutumia nishati safi ya kupikia ambayo haiathiri mazingira. Na Michael Mpunije – Kasulu Wakimbizi raia nchi za…
6 June 2024, 09:19
Serikali imewataka wananchi kuendelea kutunza mazingira ili kusaidia kupunguza majanga ambayo yamekuwa yakisababisha maafa. Na Josphine Kiravu Wananchi Mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia utunzaji wa mazingira ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza ikiwa ni pamoja na ongezeko la mvua ambazo mara kadhaa…
5 June 2024, 13:32
Serikali wilayani kasulu mkoani kigoma imesema haitawafumbia wananchi na taaisisi ambazo hazizingatii usafi wa mazingira ili kuhakikisha magonjwa ya mlipuko yanadhibitiwa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wananchi wa Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma Wametakiwa desturi ya kufanya usafi wa mazingira…
5 June 2024, 13:15
Wananch wilayani kasulu mkoani kigoma kuendelea kuchukua tahadhari za majanga ya moto ili kuepuka hasa zinazojitokeza baada ya kutokea majanga ya moto. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Duka moja limeungua kwa moto katika soko kuu la Kasulu Mjini lililopo jirani…
5 June 2024, 12:55
Vitendo vya ubakaji kwa wanawake hasa wanaojishughulisha na kilimo katika maeneo ya mashambani wilayani kasulu vimeendelea kushamiri huku wahanga wakiogopo kutoa taarifa za vitendo hivyo kwa kuhofia kuacha na wenza wao. Na Michael Mpunije Wananchi wilayani Kasulu mkoani kigoma wameiomba…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.