Joy FM
Joy FM
12 August 2024, 13:56
Wananchi wa kata ya Heru Juu katika halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wameipongeza serikali kwa ujenzi wa mradi wa barabara ya lami unaoendelea kutoka wilayani Buhigwe kuelekea wailayani Kasulu ambapo ukikamilika utawasaidia katika shughuli zao za kiuchumi. Pongezi hizo…
12 August 2024, 09:47
Mkuu wa wilaya Kigoma Mh. Salum Kalli amewataka wafanyakazi kwenye miradi mbalimbali ya barabara kuchukua tahadhari wakati wakichimba vifusi ili kuepuka kufukwa kwa maporomoko ya udongo. Na Tryphone Odace – Kigoma Mtu mmoja ajulikanaye kwa jina la Michael Christopher fundi…
8 August 2024, 09:56
Mkuu wa wilaya buhigwe Michael Ngayalina amelitaka jeshila Polisi wilayano humo kuwachukulia hatua za kisheriamadereva wanaokiuka sheria za usalama barabarani ili kupunguza ajali. Na Michael Mpunije – Buhigwe Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma Limetakiwa…
8 August 2024, 09:38
Serikali ya Tanzania na Burundi zimeendelea na zoezi la kuhamasisha wakimbizi waliopo kwenye kambi za wakimbizi mkoani ili kuweza kurejea nchini burundi kutokana na amani ilipo kwa sasa nchini humo. Na Kadislaus Ezekiel – Kasulu Wakimbizi wa nchi ya Burundi…
7 August 2024, 13:32
Jeshi la polisi wilayani kasulu mkoani kigoma limewataka madereva wa vyombo vya moto na watumiaji wa barabara kuzingatia matumizi ya barabara ili kuepukana na ajali zinazojitokeza wakiwa barabarani. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Watumiaji wa vyombo vya moto hususani waendesha…
7 August 2024, 12:04
Serikali wilayani kasulu mkoani kigoma imewataka wadau wa maendeleo kuendelea kuunga mkono juhudi za serikali za kuboresha miundombinu ya elimu ili kuhakisha wanafunzi wanapata elimu bora. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu Wadau wa maendeleo wilayani Kasulu wameaswa kuendelea kumuunga mkono…
6 August 2024, 10:52
Mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini mkoani Kigoma Mh Asa Makanika ameiomba serikali ya awamu ya sita kusaidia wananchi wa kata ya Mwandiga Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma kuwajengea kituo cha afya ili kuondoa usumbufu wanaoupata wakati wakihitaji matibabu. Kauli…
6 August 2024, 10:08
Na, Joha Sultan Naibu Waziri Ofisi ya Raisi wizara ya Tamisemi Mhe.Zainabu Katimba amewataka wazazi wote mkoani kigoma kuwapeleka watoto shule na kukomesha utoro. Ameeleza hayo katika mkutano wa hadhara uliofanywa na chama cha mapinduzi katika viwanja vya community center…
2 August 2024, 13:39
Baraza la madiwani wilayani Kibondo mkoani Kigoma limemfukuza kazi mtumishi wa idara ya afya, ustawi wa jamii na lishe kwa makosa mbalimbali ikiwemo utovu wa nidhamu. Na James Jovin – Kibondo Mtumishi mmoja wa halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani…
2 August 2024, 11:18
Uamzi wa serikali kuruhusu magari kuanza safari za usiku kwenda maeneo mbalimbali ya nchi hofu ziliibuka kwa baadhi ya wananchi wakihofia usalama wakati wa safari kitu ambacho serikali chini wizara ya mambo ya ndani iliwatoa hofu wananchi na kuwa wataimarisha…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.