Joy FM
Joy FM
4 July 2024, 12:02
Wazazi na walezi wilayani kibondo Mkoani Kigoma wametakiwa wameomba serikali kupunguza baadhi ya michango midogo midogo ambayo hutozwa shuleni kutokana na hali kuwa ngumu ya maisha. Na James Jovin – Kibondo Wakati shule tayari zimefunguliwa kwa muhula wa pili kwa…
4 July 2024, 10:12
Wakati mashirika yasiyokuwa ya serikali yakiendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuleta maendeleo kwa wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo yametakiwa kutokubali kutumia vibaya kwa lengo la kuchafua taswira ya nchi na kuharibu maadili. Na Josephine Kiravu –…
4 July 2024, 09:55
Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma kigoma limesema litaendelea kuwachukulia hatua watu wanaojihusisha na uhabifu wa nyara za serikali ili kuwa fundisho kwa watu wote wanaojihusisha na vitendo hivyo. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma, limethibitisha kumkamata…
3 July 2024, 14:21
Serikali ya mkoa wa Kigoma imesema dhamira ya serikali kuu ni kuona Kigoma inakuwa na umeme wa uhakika ili kuendelea kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi. Na Sadiki Kibwana – Kigoma Jumla ya shilingi bilioni 434 zilizotolewa na…
2 July 2024, 16:28
Serikali katika halmashauri ya wilaya Kigoma imewataka wananchi kutulia wakati ikiendelea kufuatilia hali ilivyo baada ya volkano la tope kulipuka. Na Josephine Kiravu – Kigoma Wananchi wa kijiji cha Pamila kata ya Matendo wametakiwa kuondoa hofu kufuatia kuwepo kwa tope…
2 July 2024, 15:57
Wananchi wa kata ya Ilagala wilayani Uvinza mkoani Kigoma wameomba serikali kuwasaidia kupunguza tatizo la madawati linazozikubwa shule za kata hiyo ili kuwasaidia watoto kuondokana na tatizola kukaa chini Na Kadislaus Ezekiel – Uvinza Shule za msingi zaidi ya tisa…
2 July 2024, 11:29
Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji Kasulu ametakiwa kutoa taarifa ya mapato ya soko la Kigondo ili kufahamu mapato yanapatikana kwenye soko hilo kama sehemu ya chanzo cha mapato ya halmashauri hiyo. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Baraza la Madiwani katika…
2 July 2024, 10:57
Jeshi la polisi wilayani Kasulu limesema litaendelea kufanya doria muda wote ili kuweza kuwatia hatiani watu wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu kwenye makazi ya watu. Na Michael Mpunije – Kasulu Wananchi wa kata ya Mwilamvya halmashauri ya mji Kasulu mkoani…
2 July 2024, 10:42
Wananchi wa kata ya Kumunyika wamelalamikia serikali kupitia mamlaka ya maji Kasulu kuruhusu mabomba ya ya maji kuwa na tope hali inayoweza kusababisha magonjwa ikiwemo kuhara. N a Emmanuel Kamangu – Kasulu Diwani wa kata ya Kumunyika Bw. Selaman Kwirusha…
2 July 2024, 08:42
Ili kukabiliana na chamgamoto ya watoto kutembea umbali mrefu kwa wananchi wa kata ya Mwilamvya wilayani Kasulu, hatimaye wananchi wamekubaliana kushirikiana na wadau wa maendeleo kuchanga pesa kwa ajili ya kuanza ujenzi wa shule mpya katani hapo. Na Emmanuel Kamangu…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.