Joy FM
Joy FM
4 November 2024, 08:33
Serikali imesema itaendelea kuboresha miundombinu mbalimbali na huduma za jamii ili kusaidia kuinua uchumi wa wananchi na taifa kwa ujumla. Na Lucas Hoha – Kigoma Zaidi ya shilingi bilioni 16 zimetengwa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa Soko la…
3 November 2024, 20:39
Halmashauri ya wilaya Buhigwe kupitia kwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Kanali Michael Ngayalina imesema imejianda vyema kuhakikisha ulinzi unaimarika katika kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa. Na Michael Mpunije – Buhigwe Kamati ya Usalama ya wilaya…
1 November 2024, 12:15
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha Mkoani Kigoma zimesababisha baadhi ya nyumba kubomoka na mali za watu kuharibiwa. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Zaidi ya nyumba 10 katika mtaa wa mkombozi kata ya murusi halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma zimebomoka na…
29 October 2024, 11:09
Serikali Mkoani Kigoma kupitia kwa Mkuu wa mkoa huo Kamishana Jenerali Mstaafu wa Jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye serikali imeendelea kuufaungua mkoa wa kigoma kwa kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara na kurahisisha Mkoa wa kigoma kufunguka kibiashara…
28 October 2024, 15:32
Madaktari bingwa na mabingwa bobezi 31 wameanza Kambi ya matibabu ya Siku Tano ikiwa ni katika kuadhimisha miaka Hamsini (50) tangu kuanzishwa kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma Maweni. Na Lucas Hoha – Kigoma Wananchi Mkoani Kigoma wamepongeza…
28 October 2024, 13:03
Katibu tawala wilaya Kasulu Mkoani Kigoma Bi. Theresia Mtewele amesema tayari serikali imefungua zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na halamshauri kupitia mapato ya ndani na hivyo vijana wanaohitimu mafunzo ya ufundi hawana budi kuchangamkia fulsa hiyo…
25 October 2024, 16:11
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi ya nyongeza kutoka mradi mkuu wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami Kabingo, Kasulu hadi Manyovu yenye urefu wa Km. 260, kukamilisha miradi hiyo kwa wakati ili kuendana…
25 October 2024, 13:40
Serikali imesema itaendelea kuhamasisha wajawazito kuhakikisha wanajifungulia kwenye vituo vya kutolea huduma za afya ili kuendelea kupunguza vifo vya watoto wachanga na watoto. Na James Jovin – Kibondo Idadi ya akina mama wajawazito wanaojifungulia kwa wakunga ama waganga wa jadi…
25 October 2024, 09:49
Baadhi ya wananchi wa kata ya Kinazi wilayani Buhigwe mkoani Kigoma wameiomba serikali kukarabati mradi wa maji wa zamani ambao ulikuwa ukitoa huduma kwa wananchi wa kata hiyo baada ya mradi wa maji wa sasa kushindwa kutoa huduma hiyo kwa…
24 October 2024, 12:14
Viongozi wa siasa mkoani Kigoma kupitia Umoja wa vyama vya siasa mkoani hapa wameeleza kuridhishwa na zoezi la uandikishaji kwenye daftari la wakazi kwa ajili ya kupata sifa ya kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika novemba 27,2024. Na, Josephine…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.