Joy FM

Recent posts

18 December 2024, 09:25

Viwavijeshi vyashambulia mazao ya wakulima Kigoma

Wakulima katika Wilaya za Mkoa wa Kigoma wametakiwa kuzingatia matumizi ya mbegu bora za kilimo zinazohimili magonjwa na kutumia viwatilifu ili kusaidia kukabiliana na wadudu wanaoshambulia mashamba. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Mashamba ya mahindi katika Halmashauri za Wilaya ya…

17 December 2024, 12:43

Wakristo watakiwa kuendelea kuwasaidia watu wenye uhitaji

Jamii na wadau mbalimbali wametakiwa Kanisa la FPCT Murusi Galilaya lililopo Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma limetoa msaada kwa watu wenye uhitaji ikiwemo chakula, nguo, Sabuni na Viatu vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni tatu. Msaada huo umetolewa…

17 December 2024, 09:31

DC Kasulu akabidhiwa mradi wenye thamani ya milioni 35 na NRC

Shirika la NRC limemkabidhi mradi wa matundu sita ya vyoo vya kisasa kwa mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isaac Mwakisu yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 35 yatakayotumiwa na Wanafunzi wakike wa shule ya msingi Tulashashe iliyopo Halmashauri…

16 December 2024, 12:53

Tanzania, Burundi kuimarisha usalama mipakani

Uimara wa hali ya usalama wa mipaka ya Tanzania na Burundi utaimarisha uchumi na shughuli za Kibiashara. Na Josephine Kiraavu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali mstaaf wa Jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengnye amesema Serikali itaendelea kutekeleza…

12 December 2024, 12:51

DC kasulu atangaza vita wazazi kuzuia watoto kwenda shule

Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isaac Mwakisu ameliagiza baraza la madiwani la halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma kuhakikisha wanafuatilia watoto wenye umri wa kwenda shule wanaandikishwa ili kuanza elimu ya awali na msingi na wale waliofaulu kujiunga kidato…

12 December 2024, 09:21

EWURA yaonya uuzaji holela wa mafuta Kigoma

Meneja wa mamlaka ya udhibiti wa nishati na maji  EWURA Kanda ya Magharibi Mhandisi Walter Christopher amewataka wadau wa masuala ya uuzaji wa mafuta kutumia fursa ya kuwekeza katika maeneo ya vijijini ambako kuna uhaba mkubwa wa vituo vya mafuta.…

11 December 2024, 16:12

Vijana waomba kupewa elimu ya Kujitegemea Kigoma

Ili kuwa na vionozi wenye maadili mema vijana wanapaswa kuandaliwa wakiwa bado katika umri mdogo Na Josephine Kiravu Baadhi ya vijana Mkoani Kigoma wameiomba Serikali kuwapatia elimu ya kujitegemea ili kuondokana na dhana ambayo imejengeka kwamba vijana wengi wamekuwa wapambe…

11 December 2024, 13:23

Zaidi ya matukio ya ukatili 1900 yameripotiwa Kigoma

Wito umetolewa kwa wadau mbalimbali wa maendeleo kuendelea kushirkiana kutoa elimu na kuchukua hatua dhidi ya vitendo vya ukatili ambavyo vinaonekana kuendelea kuongezka Mkoani Kigoma Na Emmanuel Kamangu – Kasulu Zaidi ya matukio 1900 ya ukatili kwa wanawake na watoto…

11 December 2024, 11:32

Waumini wa dini ya kikristo watakiwa kiliombea Taifa

Kuendelea kupiga vita vitendo vya ukatili Viongozi wa dini wameendelea kuwasisitiza waumini wa madhehebu mbalimbali kuliombea Taifa. Waumini wa dini ya kikristo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuliombea taifa la Tanzania kuendelea kuwa na amani ili kuepuka vitendo vya ukatili…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.