Joy FM

Recent posts

14 September 2023, 18:27

Mkuu wa wilaya Buhigwe awataka wanaume kuacha kunyonya maziwa ya mama

Baadhi ya Wanaume Katika Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, wametuhumiwa Kunyonya Maziwa ya Wenza wao wa Ndoa baada ya kujifungua, hali ambayo imechangia watoto kukosa maziwa ya kutosha. Na, Tryphone Odace Mkuu Wa Wilaya ya Buhigwe Kanali Michael…

14 September 2023, 16:58

Madiwani Kibondo walia na wafanyabiashara wanaoficha mafuta

Wakati wananchi na watumiaji wa vyombo vya moto Nchi wakiendelea kuteseka na uhaba wa mafuta kwenye vituo vya mafuta huko Kibondo madiwa wameeleza kuwa wanaoficha mafuta ni uhujumu uchumi. Na, James Jovin Madiwani katika halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani…

14 September 2023, 16:24

Manispaa ya Kigoma Ujiji yapunguza kiwango cha utapiamlo

Wazazi na walezi Manispa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia lishe kwa watoto wao kwa kuanda na kuwalisha vyakula vye lishe ya kutosha ili kuwakinga na utaopiamlo. Na, Josephine Kiravu Tangu kuanzishwa kwa siku ya afya ya lishe kila…

13 September 2023, 14:04

Watu sita mbaroni matukio ya uvunjaji, wizi Kigoma

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kigoma wakituhumiwa kufanya uhalifu na wizi katika maeneo mbalimbali mkoani wa Kigoma. Na, Kadislaus Ezekiel. Jeshi la Polisi mkoani Kigoma, limethibitisha kuwakama watu sita wakituhumiwa kujihusisha na matukio ya uvunjaji na wizi…

13 September 2023, 13:07

Wafanyabiashara watakiwa kutoa stakabadhi za EFDs Kigoma

Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imewataka wafanyabiashara kuendelea kutoa stakabadhi za EFD kwa mujibu wa sheria ili serikali iweze kupata mapato kwa maendeleo ya nchi. Na, Lucas Hoha. Wafanyabiashara mkoani Kigoma wameaswa kutoa stakabadhi (risiti) za mashine ya kielektroniki EFD…

11 September 2023, 13:21

DC Kasulu awataka vijana wa JKT Mtabila kuwa wazalendo

Vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT Kambi ya Mtabila Wialayni Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa wazalendo. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isack Mwakisyu amewataka wahitimu wa mafunzo ya awali ya kijeshi kikosi namba…

8 September 2023, 13:34

Zaidi ya watoto 884,500 kupatiwa chanjo ya polio Kigoma

Na, Josephine Kiravu Zaidi ya watoto 884,500 walio chini ya miaka 8  wanatarijiwa kufikiwa na kupatiwa chanjo ya Polio ambayo itaanza kutolewa nyumba kwa nyumba kuanzia septemba 21hadi 24 Mkoani Kigoma. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa kamati ya…

6 September 2023, 16:03

Wakuu wa wilaya, wakurugenzi kusimamia mpango wa usajili wa watoto

Viongozi wa Halmashauri Mkoani Kigoma wametakiwa kuhakikisha watoto wanasajiliwa. Na, Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye amewaagiza wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani hapa kusimamia…

6 September 2023, 12:39

Vijana waliohitimu mafunzo JKT Bulombora watakiwa kuwa wazalendo

Kikosi cha Jeshi la kujenga Taifa JKT Bulombora kimesema kitaendelea kuwafundisha ujuzi na uzalendo vijana wote ili waweze kulitumikia Taifa. Na, Tryphone Odace. Vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi oparesheni miaka 60 katika kambi ya Jeshi la kujenga Taifa JKT, kikosi…

1 September 2023, 11:41

TPA Kigoma yadhamiria kuboresha usafirishji mafuta kwenda Burundi

Katika kuboresha huduma za usafirishaji, Mamlaka ya Bandari Tanzania mkoani Kigoma imesema inaendelea kuboresha usafirishaji wa mafuta kwa nchi ya Burundi. Na, Tryphone Odace Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania TPA mkoa wa Kigoma, imeanza kuchukua hatua za kuboresha nyanja…