Joy FM

Recent posts

25 August 2025, 13:00

Maafisa elimu watakiwa kusimamia elimu ya MEMKWA

Serikali Mkoani Kigoma imesema itaendelea kuhamasisha wananchi kuhakikisha wanaweka mazingira wezeshi kwa ajili watoto hasa wa kike ili waweze kupata elimu. Na Hagai Ruyagila Maafisa elimu na Waalimu kutoka halmashauri mbalimbali za mkoa wa Kigoma wametakiwa kuhakikisha wanazingatia na kutumia…

20 August 2025, 16:08

Gamuye achukua fomu kugombea udiwani Mwilamvya

Wagombea waendelea kuchukua fomu za kugombea na kuahidi kushirikiana na wananchi Na HagaiRuyagila Wananchi wa Kata ya Mwilamvya, wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kudumisha umoja, mshikamano na kuachana na makundi ya kisiasa yanayoweza kusababisha migogoro, Badala yake wametakiwa kushirikiana katika…

19 August 2025, 17:33

Wazee wa kimila wataka usimamizi wa maadili kwa watoto Kigoma

Katika jamii yoyote ile, watoto ni nguzo muhimu ya maendeleo ya sasa na baadaye na maadili ni msingi wa malezi bora yanayomuwezesha mtoto kuwa raia mwema na mwenye mchango chanya kwa jamii hata hivyo, katika siku za hivi karibuni, kumekuwa…

19 August 2025, 16:53

MUHAS kuongeza chachu ya utafiti na matibabu Kigoma

Ujenzi wa chuo kikuu cha afya na Sayansi shirikishi MUHAS kampasi ya Kigoma unatajwa kuongeza tafiti na matibabu kwa kwa wananchi wa mkoa wa Kigoma na maeneo mengine. Na Mwandishi wetu Serikali ya Mkoa wa Kigoma imesema kukamilila kwa ujenzi…

18 August 2025, 14:46

Wanawake washauriwa kushiriki kwenye ngazi za maamuzi

Wanawake wameshauriwa kushiriki katika katika shughuli mbalimbali ikiwemo uongozi Na Hagai Ruyagila Wanawake wa kata ya Muzye Halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na msimamo thabiti na kujitokeza kwa wingi kushiriki shughuli za maendeleo pamoja na kuchangamkia…

18 August 2025, 08:49

Serikali yazindua chumvi lishe ya mifugo Uvinza

Wafugaji wanatarajia kunufaika na uzalishaji wa chumvi lishe kwa ajili ya mifugo na kuongeza thamani ya mifugo na kunufaika na masoko ya ndani na nje ya nchi. Na Tryphone Odace Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema kuwa  hatua ya kiwanda…

18 August 2025, 08:08

Tanzania na Burundi zimezindua ujenzi wa SGR Uvinza -Msongati

Kuanza kwa ujenzi wa Reli na kukamilika kwake kutasaidia kufungua fursa kwa wananchi wetu ambao wataweza kutoka Burundi hadi Dar es Salaam ndani ya siku moja pamoja na usafirishaji wa mizigo ambapo hivi sasa, lori linatumia saa 96 kutoka Dar…

14 August 2025, 13:22

Wachepusha maji mto Malaagarasi kuzalisha umeme

Kampuni ya DongFang Electric (DEC) imefanikiwa kuchepusha maji ya mto Malagarasi katika eneo la Igamba kijiji cha Mwamila wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ili kuanza ujenzi wa tuta la  bwawa la kuzalisha umeme kutoka Mto Malagarasi. Na Orida Sayon Mkurugenzi…

13 August 2025, 15:57

Wanahabari wapewa mafunzo ya usalama wakati wa uchaguzi

Kuelekea uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais, Waandishi wa habari Mkoani Kigoma wamepewa mafunzo ya usalama kazini hasa kipindi cha uchaguzi N a Josephine Kiravu Wanahabari Mkoani Kigoma wamepatiwa mafunzo ya namna ya kujilinda wakati wa utekelezaji wa majukumu…

13 August 2025, 15:29

Mabaraza ya watoto yasaidia kupungua ukatili Buhigwe

Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuendelea kutoa taarifa na ushirikiano pindi matukio ya ukatili yanapotokea ili hatua zaidi ziweze kuchukuliwa. Na Emmanuel Kamangu Mabaraza ya watoto Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma yametajwa kuwa chachu ya kupungua kwa  matukio ya ukatili…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.