Joy FM

Recent posts

10 October 2025, 21:35

Sirro ahimiza watoto kusoma masomo ya sayansi Kigoma

Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika kubotesha miundombinu ya kujifunza na kufundishia ili kuhakikisha watoto wanapata elimu iliyo bora Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amewahimiza wazazi Mkoani Kigoma kuhamasisha watoto kuyapenda…

10 October 2025, 12:32

RC Kigoma ataka wananchi kutoa ushahidi vitendo vya ukatili Kasulu

Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo katika kutoa elimu na hamasa kwa wananchi ili waweze kushiriki katika mikakati ya kutokomeza vitendo vya ukatili kwenye jamii. Na Mwandishi wetu Wananchi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa tayari…

10 October 2025, 11:45

Walimu wanolewa kutengeneza zana za kufundishia Kigoma

Katika kuhakikisha walimu wanaendelea kuwa mahiri katika ufundishaji serikali imeendelea kuwapa ujuzi wa walimu ili kufahamu namna ya kutengeneza zana za kufundishia wanafunzi. Na Tryphone Odace Mafunzo ya uandaaji na utengenezaji wa zana za kufundishia na kujifunzia kwa Walimu mahiri…

10 October 2025, 08:05

Dkt. Nchimbi kufanya ziara ya kampeni Kigoma

Mgombea Mwenza wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kinyang’anyiro cha Urais wa Tanzania katika mwaka huu kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt.Balozi Emmanuel John Nchimbi anatarajiwa kufanya ziara ya siku mbili ya kampeni Mkoani Kigoma kuanzia Kigoma Oktoba 12 na 13.…

8 October 2025, 13:08

Kasulu watakiwa kuwekeza kwenye kilimo cha pamba

Serikali kupitia Idara ya Kilimo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imewataka wananchi kuhakikisha wanawekeza katika kilimo cha pamba ili kujiongezea kipato kwa familia na taifa kwa ujumla. Na Hagai Ruyagila Wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwekeza nguvu katika kilimo…

8 October 2025, 12:04

Wamiliki vyombo vya habari Kigoma watakiwa kuajiri wenye taaluma

Serikali imeendelea kuwakumbusha wamiliki wa vyombo vya habari kufuata matakwa ya kisheria kwa kuhakikisha wanatumia na kuajiri waandishi wa habari wenye taaluma ya habari. Na Josephine Kiravu Wamiliki wa vyombo vya habari mkoani Kigoma wametakiwa kuajiri wanahabari wenye taaluma ya…

8 October 2025, 11:39

MCT yanoa wanahabari kukabiliana na habari potofu Kigoma

Baraza la habari Tanzania (MCT) limetoa mafunzo maalum kwa waandishi wa habari Mkoani Kigoma yenye lengo la kupambana na changamoto za habari na taarifa potofu, na mwongozo wa sheria kuhusu upatikanaji wa taarifa na ushiriki wa taasisi za Serikali katila…

6 October 2025, 10:03

Wanafunzi walia na wazazi kuwachagulia masomo Kigoma

Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuwaunga mkono watoto wao katika masomo wanayopenda kusoma na kuacha kuwalazimisha kusoma masomo ambayo hawayawezi Na Emmanuel Kamangu Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari Mikamba Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma wamewaomba…

2 October 2025, 09:34

Wazee Kasulu wataka jamii itambue mchango wao

Serikali imeahidi kuendelea kuboresha maisha ya wazee kwa kuwasaidia kupata matibabu na mahitaji mengine muhinu kama sehemu ya kuambua mchango wao katika jamii. Na Hagai Ruyagila Baadhi ya wazee katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameiomba serikali kuwaangalia kwa jicho la…

2 October 2025, 08:39

Zaidi ya wananchi laki 2 wapatiwa matibabu ya kibingwa nchini

Wananchi zaidi ya elfu saba mkaoni Kigoma wamenufaika na huduma ya matibabu kutoka kwa madaktari bingwa wabobevu wa Mama Samia na kuokoa maisha ya Watanzania hasa wenye hali ya chini. Na Tryphone Odace Wananchi zaidi ya laki mbili wamepatiwa matibabu…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.