Joy FM

Vitendo vya udhalilishaji wa wanawake wanasiasa Kigoma

1 October 2025, 16:03

Karibu kusikiliza Makala ya wanawake na uchaguzi ambapo leo tunaangazia suala la vitendo vya udhalilishaji wa wanawake wanasiasa hasa katika kipinidi cha kampeni kueleke uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.

Sauti ya Makala inayoangazia vitendo vya udhalilishaji wa wanawake wanasiasa