Joy FM

Wahamiaji haramu 793 wakamatwa Kigoma

5 August 2025, 12:26

Baadhi ya wahamiaji haramu kutoka mataifa mbalimbali waliokamatwa na Uhamiaji Kigoma, Picha na Mwandishi wetu

Misako mbalimbali ya kuwabaini na kuwakamata wahamiaji haramu wanaoingia nchini kinyume cha sheria imeendelea katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Kigoma

Jumla ya wahamiaji haramu 793 kutoka mataifa ya Burundi, Congo, Rwanda na Uganda wamekamatwa na Idara ya Uhamiaji Mkoani Kigoma wengi wao wakiwa wanafanya kazi za uzalishaji mali hasa kilimo na Uvuvi wakiwa hawana nyaraka zinazowapa kibali cha kufanya kazi na kukaa nchini.

Sauti ya Kadislaus Ezekiel akisimulia taarifa ya Idara ya uhamiaji kuwakamata wahamiaji haramu