Joy FM

Viongozi wa dini waaswa kuhubiri amani Kigoma

5 August 2025, 11:56

Baadhi ya viongozi wa dini wakiwa katika ibaada ya kuombea amani uchaguzi Mkuu, Picha na Michael Mpunije

Ikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, viongozi wa dini wametaikiwa kuendelea kuliombea Taifa amani na mshikamano

Viongozi wa dini Mkoani Kigoma wametakiwa kuhubiri amani na kudumisha umoja na mshikamano kuelekea katika uchaguzi Mkuu mwaka huu na kuendelea kutoa Elimu kwa waumini wao kuhusu madhara ya Rushwa.

Sauti ya Michael Mpunije