Joy FM

Recent posts

28 March 2025, 16:38

Wajasiriamali, wafanyabiashara watakiwa kuwa wabunifu Kigoma

Serikali itaendelea kushirikiana na wafanyabiashara pamoja na mashirika mbalimbali kwa kutoa ujuzi wa namna bora ya kukuza biashara zao. Na Michael Mpunije Wajasiriamali na wafanyabiashara mkoani Kigoma wametakiwa kuwa wabunifu ili kuingia katika soko la biashara lenye kuleta tija na…

27 March 2025, 11:01

Wananchi waomba serikali isimamie mkandarasi wa miradi ya maji Buhigwe

Serikali imeendelea kuhakikisha upatikanaji wa maji unakuwa mkubwa kwa wananchi wilayani Buhigwe. Na Kadislaus Ezekiel Wananchi wa vijiji 8 vya Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma, wameomba serikali kusimamia wakandarasi wanaojenga miradi ya maji ili kuharakisha upatikanaji wa huduma…

27 March 2025, 10:42

Viongozi wa kata na mitaa wapata elimu ya maafa Kigoma

Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu idara ya management ya maafa imetoa elimu kwa watendaji wa kata na mitaa katika Manispaa ya Kigoma Ujiji ya namna ya kupunguza madhara ya maafa kufuatia maafa ya mafuriko, magonjwa ya mlipuko…

27 March 2025, 08:34

DC Uvinza akanusha uwepo mapigano ya kutumia silaha

Na Kadislaus Ezekeiel Kamati Ya Ulinzi na Usalama Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma, Imekanusha Uwepo wa Mapigano ya kutumia Silaha za jadi Kati ya Wananchi na Uongozi wa Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Mahale, Wakipinga Vitongoji vya MAHASA na KABUKUYUNGU…

26 March 2025, 16:35

Wadau wajitokeze kusaidia watu wenye uhitaji

Kikundi cha Upendo kilichopo chini ya Kanisa la Pentekoste Motomoto PMC Kibirizi kimetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wazee wanaoishi kambi ya Silabu Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma Na Orida SayonImekuwa ni utaratibu na desturi kwa kikundi cha upendo…

25 March 2025, 13:01

Wanafunzi elimu ya watu wazima waomba kuboreshewa miundombinu

November 24 mwaka 2021 aliyekuwa waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako alitangaza kuruhusiwa kurejea shuleni kwa wanafunzi waliokatisha masomo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ujauzito kurejea shuleni kwa mfumo rasmi baada ya kujifungua. Na Josephine Kiravu Wanafunzi…

25 March 2025, 11:28

Madereva wa magari madogo wapatiwa elimu ya usalama barabarani

Madereva wa magari madogo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameaswa kuzingatia sheria za usalama barabarani Na Hagai Ruyagila – Kasulu Madereva wa magari madogo ya kubeba abiria katika halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, wameishukuru serikali ya awamu ya sita kupitia…

25 March 2025, 09:35

DC, wananchi sauti moja mapambano dhidi ya m-pox

Baadhi ya wananchi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wameiomba idara ya afya wilayani humo kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kujikinga na ugonjwa wa MPOX. Na Michael Mpunije. Wananchi hao wamesema Elimu kuhusu tahadhari za ugonjwa wa Mpox bado haijawafikia wananchi wengi…

20 March 2025, 19:59

Madereva wapigwa msasa wilayani Kasulu

Madereva wa vyombo vya moto katika halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwa madereva bora kwa kuchukua tahadhari wawapo barabarani ili kupunguza ajali zinazoweza kuepukika. Na, Hagai Ruyagila Akitoa mafunzo ya usalama barabarani kwa madereva wa pikipiki maarufu bodaboda…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.