Joy FM

Recent posts

4 June 2025, 15:32

Tulia Usilie yatoa kadi za bima za afya kwa wanafunzi wenye ulemavu

Wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya Kabanga mazoezi wapatiwa msaada wa bima za afya ili kuwasaidia kupata matibabu. Na Hagai Ruyagila Katika kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha sekta ya afya nchini, Taasisi ya Usilie Tena yenye makao yake…

4 June 2025, 12:15

Wanafunzi wenye mahitaji maalum Kasulu wapewa tabasamu

Watoto wenye mahitaji maalum wamepewa sare za shule wilayani Kasulu. Na Hagai Ruyagila Wadau wa maendeleo katika Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kujitokeza kuwasaidia wanafunzi wenye mahitaji maalumu, hususan wale wenye ulemavu wa viungo, ili kuwawezesha kutimiza ndoto…

4 June 2025, 09:43

Taasisi za umma zatakiwa kusimamia usafi wa mazingira

Wakuu wa Taasisi za Elimu pamoja na idara ya Afya halmashauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia suala la usafi wa mazingira ili kudhibiti magonjwa ya mlipuko yanayosababishwa na uchafuzi wa mazingira. Na, Hagai Ruyagila Usafi wa mazingira…

2 June 2025, 15:32

WFP yatoa mashine 5 kuongeza virutubishi vya unga lishe

Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuzingatia lishe kwa watoto wao ili waweze kuwa afya bora. Na Michael Mpunije Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP kupitia mradi wa Kigoma Joint Programme limekabidhi mashine…

28 May 2025, 12:18

Zaidi ya vyandarua milioni 1.7 kusambazwa Kigoma

Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa afya katika kukabiliana na ugonjwa wa Malaria ambao umekuwa ukisumbumbua katika mataifa mbalimbali kusini mwa jangwa la Sahara. Na Josephine Kiravu Zaidi ya vyandarau million 1.7 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi…

26 May 2025, 16:32

Viongozi wa dini wahimizwa kuhubiri amani Nchini

Viongozi wa dini Nchini wamehimizwa kuendelea kuliombea Taifa hasa kipindi hiki cha uchaguzi Mkuu. Na Josephinr Kiravu Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini Kutumia majukwaa yao kuhimiza amani ikiwa ni pamoja na kusisitiza wananchi kushiriki  katika…

26 May 2025, 16:18

Watakiwa kuliombea taifa kuelekea uchaguzi mkuu

Wakati Taifa likeelekea katika uchaguzi Mkuu, wakristo wameaswa kuendelea kuombea amani Na Hagai Ruyagila Waumini wa Dini ya Kikristo wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuliombea taifa kuelekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi ocktoba mwaka huu ili ufanyike kwa amani na…

26 May 2025, 16:03

Wanaume ni vichwa na viongozi kuweni kielezo cha kanisa Kasulu

“Wanapokutana wanaume wakatoliki na kufanya hafla mbali mbali ni moja ya kuendelea kujenga  umoja  ikiwemo  kutiana moyo katika kuendelea kushiriki matendo ya huruma kwa kuwatunza wahitaji wenye shida mbalimbali” Na Mwandishi wetu Wanaume wa kanisa katoliki parokia ya mrubona jimbo…

22 May 2025, 16:57

BoT yatoa elimu ya usalama katika fedha kwa watu wenye uoni hafifu

Watu wenye mahiataji maalum wakiwemo wenye uoni hafifu wilayani Chamwino mkoani Dodoma wametakiwa kufuatilia na kutambua alama za usalama katika fedha pamoja na utunzaji unaofaa wa fedha. Na Glory Paschal Benki Kuu ya Tanzania BoT imetoa elimu ya fedha kwa…

21 May 2025, 14:37

BoT yapiga marufuku fedha za kigeni kutumika kufanya miamala nchini

Ni kosa la kisheria kunukuu, kutangaza au kubainisha bei kwa kutumia fedha za kigeni, kulazimisha, kuwezesha au kupokea malipo kwa fedha za kigeni. Na Glory Paschal Benki kuu ya Tanzania BoT imesema malipo yote ya bidhaa na huduma yanapaswa kufanyika…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.