Joy FM
Joy FM
7 July 2025, 09:56
Ushirikishwaji katika kwa wananchi na viongozi wa serikali ni jambo muhimu na litasaidia kupatikana kwa ushirikiano katima maeneo yote ambayo mradi huo utatekelezwa Na Mwandishi wetu Shirika la Tanzania wote Equality Alliance (TAWEA) limezindua mradi wa utunzaji wa Mazingira katika…
7 July 2025, 09:39
Mkuu wa Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma Kanali Isac Mwakisu amesema anatamani kuona mashirika yasiyo ya kiserikali yakishikamana na kufanya kazi kwa umoja katika kuwahudumia wananchi kupitia shughuli mbalimbali za kijamii Na Emmanuel Kamangu Mashirika zaidi ya 40 yasiyo ya kiserikal…
4 July 2025, 16:05
Kubadili taka kuwa fursa ni mchakato wa ubunifu unaohusisha matumizi ya maarifa, teknolojia na ujasiriamali ili kutumia taka kama rasilimali yenye thamani badala ya kuona taka kama uchafu. Na Josephine Kiravu Zaidi ya wafanyabiashara 250 na wadau mbalimbali wa mazingira…
4 July 2025, 09:37
Serikali Kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeendelea na utekelezaji wa Kampeni ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo Mkoani Kigoma ambapo Ng’ombe 800 na Kuku 100 wamepatiwa chanjo wilayani Uvinza. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Ispekta Jenerali…
3 July 2025, 16:06
Ili kupandisha ufaulu kwa wanafunzi, Walimu na Maafisa elimu wameshauri kuffuatilia nakufanya tathimini kwa wanafunzi waliofanya vibaya mitihani yao. Na Emmanuel Kamangu Maafisa elimu kata na walimu wakuu wa shule za msingi Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wametakiwa kufanya tathmini…
3 July 2025, 15:15
Mkuu wa Mkoa Kigoma Simon Srro amesema atashirikiana na viongozi na wananchi wa Mkoa Kigoma katika kuhakikisha maeneleo ya Mkoa yanasonga mbele. Na Lucas Hoha Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji…
3 July 2025, 11:24
Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limeendelea kuhakikisha linafikisha huduma ya umeme kwa wananchi Na Emmanuel Matinde Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limesema kazi ya utekelezaji wa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Megawati 49.5 katika Mto Malagarasi wilayani Uvinza mkoani Kigoma,…
3 July 2025, 10:57
Katika jamii nyingi, mila na desturi zimekuwa nguzo muhimu zinazotambulisha utamaduni na urithi jamii husika. Hata hivyo, mila hizo zimekuwa pia kikwazo kikubwa kwa wanawake wengi, hasa linapokuja suala la uongozi ambapo zimekuwa zikiwanyima wanawake nafasi ya kushiriki kikamilifu katika…
2 July 2025, 16:43
Mwanaume mmoja amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wake wa kike mwenye miaka sita. Na Kadislaus Ezekiel Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Chuachua amethibitisha mtu mmoja kufungwa kifungo cha maisha jera baada ya kukutwa…
2 July 2025, 16:01
Benki Kuu ya Tanzania imeendelea kutoa elimu na kuhamasisha wananchi kuzingatia matumizi na utunzaji bora wa fedha. Na Mwandishi wetu Uvinza Wakulima Mkoani Kigoma wametakiwa kuachana na utamaduni wa kuhifadhi fedha ndani na badala yake kutumia huduma za kibenki ili…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.