Joy FM

Recent posts

6 August 2025, 13:18

Watoto wasionyonya maziwa ya mama hatarini

Akina mama wametakiwa kuhakikisha wanawanyonyesha watoto maziwa ya mama ili waweze kupata virutubisho Na Josephine Kiravu Imeelezwa kuwa viwango vya unyonyeshaji wa maziwa ya mama nchini Tanzania vinaendelea kuimarika, huku asilimia ya watoto wanaonyonyeshwa maziwa ya mama pekee ikiongezeka kutoka…

6 August 2025, 12:33

Wanafunzi wenye ulemavu wapewa bima za afya Kasulu

Wito umetolewa kwa wadau mbaimbali na mashirika kuendelea kuwasaidia wanafunzi wenye mahitaji maalumu ili waweze kufikia ndoto zao. Na Hagai Ruyagila Katika kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya sita katika kuboresha sekta ya afya nchini, Taasisi ya Usilie…

5 August 2025, 17:17

Waziri wa zamani wa fedha ateuliwa kuwa Waziri Mkuu Burundi

Rais wa Jamhuri ya Burundi Evariste Ndayishimiye amemteua Nestor Ntahontuye kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Na Bukuru Elias Daniel Waziri wa zamani wa fedha na hazina wa Burundi Nestor Ntahontuye ameteuliwa kuwa waziri mkuu wa Burundi katika mabadiliko mapya…

5 August 2025, 13:21

Ukatili bado pasua kichwa Kigoma

Jeshi la Polisi kupitia Dawati la Jinsia na watoto wakishirikiana na idara ya maendeleo ya jamii Wilayani Uvinza Mkoani Kigoma wamewataka wananchi kuacha matukio ya ukatili hasa ubakaji na ulawiti kwa watoto  na wanawake na kuhakikisha wanaripoti matukio ya ukatili…

5 August 2025, 13:08

Majambazi watatu wauawa Kigoma

Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma limethibitisha watu watatu wanaosadikiwa kuwa Majambazi kuuawa katika tukio la majibizano ya risasi katika jaribio la kutaka kuteka magari  eneo la Kumshindwi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma Filemon…

5 August 2025, 12:49

DC Uvinza awafunda wanawake viongozi

Wanawake kuwa viongozi inahitajika mikakati ya kina inayojumuisha elimu, fursa, mazingira wezeshi, na mabadiliko ya mitazamo ya kijamii ili waweze kusimama na kuweza kuongoza Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Dinah Mathamani amefunga mafunzo ya siku nne yaliyokuwa na lengo la…

5 August 2025, 12:26

Wahamiaji haramu 793 wakamatwa Kigoma

Misako mbalimbali ya kuwabaini na kuwakamata wahamiaji haramu wanaoingia nchini kinyume cha sheria imeendelea katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Kigoma Jumla ya wahamiaji haramu 793 kutoka mataifa ya Burundi, Congo, Rwanda na Uganda wamekamatwa na Idara ya Uhamiaji Mkoani…

5 August 2025, 11:56

Viongozi wa dini waaswa kuhubiri amani Kigoma

Ikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, viongozi wa dini wametaikiwa kuendelea kuliombea Taifa amani na mshikamano Viongozi wa dini Mkoani Kigoma wametakiwa kuhubiri amani na kudumisha umoja na…

4 August 2025, 15:48

Wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata watakiwa kuwa waadilifu

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kasulu Mjini, Nurfus Aziz, amewatakiwa wasimamizi kuhakikisha vituo vya kupiga kura vinafunguliwa mapema kulingana na maelekezo ya tume huru ya taifa ya Uchaguzi Na Hagai Ruyagila Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata katika…

1 August 2025, 11:43

Viongozi wa dini watakiwa kuepuka ubaguzi Kigoma

Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewaasa viongozi wa dini kuwa na mshikamano wa pamoja katika kuwahumia waumini na jamii kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Viongozi wa umoja wa makanisa ya Kipentekoste Mkoa wa Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.