Joy FM

Recent posts

5 August 2025, 13:08

Majambazi watatu wauawa Kigoma

Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma limethibitisha watu watatu wanaosadikiwa kuwa Majambazi kuuawa katika tukio la majibizano ya risasi katika jaribio la kutaka kuteka magari  eneo la Kumshindwi Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma Filemon…

5 August 2025, 12:49

DC Uvinza awafunda wanawake viongozi

Wanawake kuwa viongozi inahitajika mikakati ya kina inayojumuisha elimu, fursa, mazingira wezeshi, na mabadiliko ya mitazamo ya kijamii ili waweze kusimama na kuweza kuongoza Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Dinah Mathamani amefunga mafunzo ya siku nne yaliyokuwa na lengo la…

5 August 2025, 12:26

Wahamiaji haramu 793 wakamatwa Kigoma

Misako mbalimbali ya kuwabaini na kuwakamata wahamiaji haramu wanaoingia nchini kinyume cha sheria imeendelea katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Kigoma Jumla ya wahamiaji haramu 793 kutoka mataifa ya Burundi, Congo, Rwanda na Uganda wamekamatwa na Idara ya Uhamiaji Mkoani…

5 August 2025, 11:56

Viongozi wa dini waaswa kuhubiri amani Kigoma

Ikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, viongozi wa dini wametaikiwa kuendelea kuliombea Taifa amani na mshikamano Viongozi wa dini Mkoani Kigoma wametakiwa kuhubiri amani na kudumisha umoja na…

4 August 2025, 15:48

Wasimamizi wasaidizi ngazi ya kata watakiwa kuwa waadilifu

Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Kasulu Mjini, Nurfus Aziz, amewatakiwa wasimamizi kuhakikisha vituo vya kupiga kura vinafunguliwa mapema kulingana na maelekezo ya tume huru ya taifa ya Uchaguzi Na Hagai Ruyagila Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata katika…

1 August 2025, 11:43

Viongozi wa dini watakiwa kuepuka ubaguzi Kigoma

Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro amewaasa viongozi wa dini kuwa na mshikamano wa pamoja katika kuwahumia waumini na jamii kwa ujumla Na Hagai Ruyagila Viongozi wa umoja wa makanisa ya Kipentekoste Mkoa wa Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa…

30 July 2025, 13:04

Kasulu yaimarisha usafi kuepuka magonjwa ya mlipuko

Usafi na mazingira ni jambo muhimu katika maisha ya binadamu ambapo usafi humaanisha hali ya kuwa safi kimwili, nyumbani, shuleni, na katika maeneo ya kazi. Na Hagai Ruyagila Uwepo wa vyombo maalumu vya kuzoa taka katika Halmashauri ya mji wa…

30 July 2025, 11:57

Waziri Gwajima ataka elimu ya ufundi iwe chachu ya fursa kwa vijana

Vijana waliohitimu mafunzo katika chuo cha veta Kigoma wametakiwa kutumia ujuzi walioupata kuchangamkia fursa zilizopo kujiajiri. Na Orida Sayon Waziri  wa maendeleo ya jamii, wanawake, jinsia na makundi maalumu Mh. Doroth Gwajima ameelekeza wakurugenzi wa maendeleo ya jamii nchini kupeleka…

29 July 2025, 11:39

Neema yawashukia wafanyabiashara za mipakani

Wafanyabiashara ya kuvuka mipaka katika Mkoa wa Kigoma, wamezipongeza idara za serikali zinazosimamia taratibu za biashara zote za mipakani kwa kurahisisha mazingira ya biashara hatua ambayo imesaidia kupungua kwa baadhi ya vikwazo vilivyokuwa vinalalamikiwa na wafanyabiashara ikiwemo upatikanaji wa haraka wa…

28 July 2025, 17:15

Watoto 47 wafanyiwa ukatili ndani ya miezi 3 Kigoma

Waziri wa Mendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Doroth Gwajima amezindua kampeni ya kutokomeza ukatili kwa wanawake na watoto na kuwataka  viongozi wa mikoa nchini kuwachukulia hatua za kisheria wagaga wa jadi ambao wamekuwa wakipiga ramli zinazochochea…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.