Joy FM
Joy FM
18 September 2025, 15:30
Wananchi wa Kata ya Kagera Manispa ya Kigoma Ujiji, wameomba mgombea ubunge wa jimbola Kigoma mjini Zitto Kabwe kuwasiadia kutatua changamoto ya uwepo mikopo umiza. Na Mwandishi wetu Mgombea ubunge jimbo la Kigoma mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto…
18 September 2025, 10:09
Chama cha ACT Wazalendo kimeahidi kuhakikisha kinatatua changamoto zinawakabili wananchi wa Kata ya Kagera Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa kuboresha na kuendelea miradi iliyoanzishwa na chama hichi kwa kipindi walichokuwepo madarakani ikiwemo barabara na maji Na Mwandishi wetu Mgombea ubunge…
17 September 2025, 15:06
Katika kuthamini mchango wa watumishi wa Umma, Serikali imeendelea kuimarisha mazingira ya kutolea huduma ikiwemo kujenga nyumba kwa ajili ya makazi ya watumishi ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wao. Na Hagai Ruyagila Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru…
17 September 2025, 09:57
Mwenge wa uhuru umewasili Wilayani Kasulu na unatarajia kupitia na kukagua miradi 14 ya maendeleo Na Hagai Ruyagila Jumla ya miradi 14 yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.7 inatarajiwa kukaguliwa, kutembelewa na mingine kuwekewa jiwe la msingi wakati…
17 September 2025, 09:37
Mtoto aliyetelekezwa na mama yake akiwa darasa la pili na kulelewa na shule ahitimu masomo ya darasa la saba huku wito ukitolewa kwa wadau kujitokeza kumsaidia. Na Hagai Ruyagila Wazazi na walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuacha tabia ya…
17 September 2025, 09:11
Mwenge wa uhuru umeendelea kukimbizwa katika Halmashauri za Mkoa wa Kigoma kwa kutembelea na kuweka mawe ya msingi Na Hagai Ruyagila Miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo miradi ya shule afya na miradi ya vikundi vya vijana na wanawake katika Halmashauri…
16 September 2025, 09:56
Mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2025 zimeanza rasmi mkoani Kigoma ambapo miradi 16 ikitarajiwa kuwekewa mawe ya Msingi, mmoja kufunguliwa, 27 kuzinduliwa huku mingine 12 ikitembelewa na kukaguliwa. Na Tryphone Odace Mwenge wa uhuru umeanza mbio zake Mkoani…
12 September 2025, 13:23
Mgombea Uras kupitia chama cha mapinduzi CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwasili Mkoani Kigoma kwa ajili kampeni za kuomba kura kwa wananchi Na Esperance Ramadhan Mkuu wa Wilaya Kigoma Dk. Rashid Chuachua amewataka wananchi wa Mkoa Kigoma kujitokeza kwa…
12 September 2025, 08:24
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoani Kigoma imezindua dawati la uwezeshaji biashara ili kusaidia wafanyabiashara wadogo na wakubwa kuinuka kiuchumi huku wakiomba dawati hilo kusaidia kuondoa changamoto ya kubambikizwa kodi. Na Kadislaus Ezekiel Mamlaka ya mapato (TRA) Mkoa Kigoma imesema…
11 September 2025, 15:53
Wananchi wa vijiji vinavyopakana na enep la hifadhi ya Kitalu cha Uwindaji cha Makere – Uvinza wametakiwa kuheshimu mipaka iliyowekwa Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Wiilaya ya Kasulu kutambulisha…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.