Joy FM

Recent posts

13 February 2024, 10:54

Watoto zaidi ya laki 4 kupatiwa chanjo ya surua, rubella

Zaidi ya watoto laki nne na elfu themanini na sita mia saba sabini na mbili  wenye umri wa kuanzia miezi 9-59 Mkoani Kigoma wanatarajia kupatiwa chanjo ya Surua Rubella kuanzia Feb 15-18 mwaka huu kwenye vituo vya afya na zahanati…

12 February 2024, 15:12

Maji ya mito yatajwa chanzo kikuu cha magonjwa ya mlipuko

Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa kuzingatia usafi wa mazingira ili kujilinda na magonjwa ya mlipuko ambayo yamekuwa yakiwakumba baadhi ya wakazi wa mkoa huu katika baadhi ya maeneo ikiwemo kibirizi, Kalalangabo na Gungu lakini na wilaya ya Uvinza ambapo watu 74…

9 February 2024, 13:56

Wanafunzi 600 hawajaripoti shule wilayani kibondo

Ofis ya Eliu wilayani Kibondo imeanza msako wa kuwatafuta wanafunzi waliofaulu kujiunga kidato cha kwanza na hawajaripoti shuleni mpaka sasa. Na, James Jovin Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma imeanza msako wa wanafunzo wote ambao bado hawajajiandikisha kuanza masomo…

8 February 2024, 19:59

Kigoma: Wananchi waonywa matumizi ya dawa kiholela kutibu macho mekundu

Wananchi mkoani Kigoma wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa macho mekundu, ulioripotiwa hivi karibuni kutokea katika baadhi ya mikoa mbalimbali hapa nchini.  Na, Horida Sayoni Mganga mkuu wa mkoa wa kigoma Dr. Jesca Leba Amesema hayo wakati akizungumza na…

7 February 2024, 15:23

Wafanyabiashara Kasulu wahimizwa kutunza mazingira

Wafanyabiashara na wajasiriamali katika halmashauri ya Mji wa Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na vitunzia taka katika maeneo yao kwa ajili ya kuhifadhi uchafu.  Na, Mwandishi wetu Emmanuel Kamangu anasimulia zaidi

7 February 2024, 14:32

Halmashauri ya Kibondo kujenga jengo la ghorofa 3

Halmashauri ya wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma imetenga shilingi bilioni 2.5 ili kujenga jengo jipya la vijana community center ikiwa ni mikakati ya kuchochea na kukuza uchumi wa halmashauri na jamii kwa ujumla  Na, James Jovin Hayo yamebainishwa na diwani…

5 February 2024, 15:32

Viongozi wa dini wakemea ramli chonganishi Kigoma

Jamii imeshauriwa kutojihusisha na vitendo vya ramli chonganishi ambavyo vinafanywa na waganga wa kienyeji ili kuwatapeli wananchi. Na, Josephine Kiravu Viongozi wa dini Kutoka madhehebu mbalimbali Mkoani kigoma wamekemea vikali vitendo vinavyoendelea kufanywa na waganga wanaopiga ramli chonganishi maarufu kwa…

5 February 2024, 13:29

watoto wenye uhitaji maalum waomba kutatuliwa changamoto zao

Watoto wenye mahitaji maalumu katika shule ya msingi Nengo iliyoko wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wanakabiliwa na changamoto mbali mbali ikiwemo uhitaji wa taulo za kike hasa kwa wasichana hali ambayo wakati mwingine hupelekea kukosa masomo darasani. James Jovin ana maelezo zaidi.

2 February 2024, 09:28

Baraza la madiwani kibondo lapitisha rasmu ya bajeti ya bilioni 37.9

Halmashauri ya Wiliya Kibondo Mkoani Kigoma yapitisha rasmu ya bajeti ya mwaka 2024/2025. Na James Jovin. Baraza la madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Kibondo Mkoani Kigoma limepitisha rasimu ya mpango na bajeti ya shilingi bilioni 37.9 kwa mwaka wa…

1 February 2024, 17:15

Wakandarasi wa barabara Kigoma wanyoshewa kidole kutowajibika

Wajumbe Wa Bodi ya Barabara Mkoa wa Kigoma, Wamelalamikia Kusuasua kwa Ujenzi wa Miundombinu ya Barabara za Uvinza – Tabora na Kigoma – Kalya, Kwa madai ya wakandarasi kutowajibika ipasavyo, Pamoja na Kiwango Duni cha Ujenzi wa Mitaro Katika Barabara…