Joy FM

Recent posts

19 February 2025, 09:51

Watumishi wa umma watakiwa kufanya kazi kwa weledi Kasulu

Kaimu Mkuu wa Wilaya Kasulu ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya Buhigwe Kanali Michael Ngayalina amesema watumishi wa umma hawana budi kuzingatia weledi na taaluma yao katika kuwatumikia wananchi. Na Hagai Ruyagila Watumishi wa Umma katika halmashauri ya Mji Kasulu…

18 February 2025, 17:24

Baraza la madiwani lapitisha bajeti ya zaidi ya bilioni 36 Kigoma Dc

Mawadiwani katika halmashauri ya wilaya Kigoma wametakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ili kuongeza mapato ya halmashauri hiyo. Na Tryphone Odace Baraza la madiwani katika Halmashauri ya Wilaya Kigoma limepitisha rasimu ya bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni 36 ambayo…

17 February 2025, 13:45

TRA Kigoma yajipanga kuzuia uingizwaji bidhaa za magendo

Serikali kupitia Mamlaka ya Mapatao Tanzania TRA imesema itaendelea kushirikiana na wanfanyabiashara kukabiliana na wanaoingiza bidhaa kwa njia za magendo Na Timotheo Leonard Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye, amekemea…

17 February 2025, 11:01

TIRA Kigoma yawataka wamiliki vyombo vya moto kuwa na bima

Mamlaka ya usimamizi wa Bima Tanzania, TIRA imeendelea kuhamasisha wamiliki wa vyombo vya moto na wananchi Mkoani Kigoma kukata bima za vyombo vya moto na bima za afya. Na Lucas Hoha – Kigoma Wamiliki wa vyombo vya moto wameomba, Mamlaka…

12 February 2025, 09:17

Mkataba ujenzi visima sita vya umwagiliaji wasainiwa Kigoma

Serikali imesema itaendelea kuhakikisha inaimarisha sekta ya kilimo kwa kuweka miundombinu rafiki kwa wakulima ili kuhakikisha wanalima kilimo chenye tija. Na James Jovin Wakazi mkoani Kigoma wameishukuru serikali kwa kuendelea kuwekeza katika miradi ya ujenzi wa miundombinu wezeshi kwa ajili…

11 February 2025, 10:38

NGOs zatakiwa kuhudumia wananchi vijijini

Mkuu wa Mkoa Kigoma Thobias Andengenye ameyataka mashirika yasiyo ya Serikali kufanya kai kwa kuzingatia sera na miongozo ya katiba ya nchi katika kuwahudumia ikiwa ni pamoja na kuweka wazi shughuli wanazozifanya. Na Josephine Kiravu Mashirika yasiyo ya kiserikali yanayotekeleza…

11 February 2025, 10:22

Wanasiasa waonywa kutotumia siasa kuvunja mikataba ya miradi

Serikali ya Mkoa wa Kigoma imewataka wanasiasa kutokuwa chanzo cha mikataba ya maendeleo kuvunjwa bila kufuata utaratibu wa kisheria. Na Lucas Hoha Mkuu wa Mkoa wa Kigom Kamishina Jenerali Mstaafu wa jeshi la zimamoto na ukoaji Thobias Andengenye amewataka wanasiasa…

10 February 2025, 11:45

M-mama yaja na suluhisho la vifo vya wajawazito, watoto

Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa afya wameendelea kuweka mikakati ya kupata suluhisho la tatizo la vifo vya wajawazito na watoto wachanga kwa kuhakikisha huduma za dharula zinapatikana kwenye jamii. Na Emmanuel Kamangu Katika kukabiliana na vifo vya mama…

7 February 2025, 16:13

Mkandarasi atimuliwa kwa kuchelewesha mradi Kigoma

Wananchi na Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Kgoma Ujiji Mkoani Kigoma, wamemkataa mkandarasi anayejenga Soko Kuu la Mwanga na Soko la Samaki katika Mwaro wa Katonga, Kwa Madai ya kushidwa kutekeleza mradi kwa wakati, Na kusababisha hasala kwa wafanyabiashara…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.