Joy FM

Recent posts

23 February 2024, 12:16

Wananchi watakiwa kushiriki mapambano dhidi ya malaria Kibondo

Wananchi wilayani Kibondo mkoani Kigoma kushiriki kikamilifu katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa malaria ambao umekuwa ukisababisha vifo kwenye jamii. Na, James Jovin. Shirika lisilo la kiserikali SADERA kwa kushirikiana na serikali limefanya ziara  katika vijiji kumi wilayani Kibondo mkoani…

22 February 2024, 16:11

Wakuu wa mikoa kuwachukulia hatua wanaohujumu upatikanaji wa sukari

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa yote nchini kusimamia kwa makini usambazaji wa sukari na kuwachukulia hatua wafanyabiashara wote wanaohujumu upatikanaji wake. Waziri Mchengerwa, ametoa agizo…

22 February 2024, 09:53

Kamati za maafa Kigoma, kivu na Tanganyika zakutana kuweka mikakati

Kamati za Maafa Mkoa wa Kigoma pamoja na mikoa ya Kivu Kusini na Tanganyika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zimekutana ili kubadilishana mbinu, kujadili na kuweka mikakati ya pamoja yenye lengo la kukabiliana na majanga katika ukanda huo.  Akifungua Mkutano…

21 February 2024, 16:28

Jeshi la polisi limekamata siraha mbili zilizotelekezwa buhigwe

Watu wasiojulikana wametelekeza siraha mbili katika kijiji cha Kibuye Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma Na, Lucas Hoha Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma limefanikiwa kukamata vitu mbalimbali ikiwemo silaha AK47 moja ikiwa na Magazine yenye risasi 22 na Chinese Pisto moja ikiwa…

21 February 2024, 13:07

Profesa Ndalichako kuifanya sekta ya elimu kuwa kipaumbele Kasulu

Waziri ofisi ya Waziri Mkuu, ajira, vijana  na wenye ulemavu Pro. Joyce Ndalichako amesema ataendelea kuhakikisha sekta ya elimu katika jimbo la kasulu mjini inapewa kipaumbele. Profesa Ndalichko amesema hayo wakati akigawa viti  mwendo na fimbo Kwa walemavu, pamoja na magari…

21 February 2024, 12:07

Kasulu: Chama cha wasioona waomba kushirikishwa kwenye maamuzi

Uongozi wa chama cha wasioona wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameomba viongozi ngazi ya halmashauri  kujenga tabia ya kuwashirikisha katika mambo mbalimbali ili kutoa maoni juu ya maendeleo yao na taifa kwa ujumla. Emmanuel Kamangu anaripoti zaidi.

20 February 2024, 11:25

Idadi ya wanafunzi walioripoti shule Kasulu hairidhishi

Tangu shule zifunguliwe januari 8 mwaka 2024 takwimu zinaonyesha wanafunzi walio wengi hawajaripoti kuanza masomo ya kidato cha kwanza. Na Michael Mpunije Idadi ya wanafunzi walioripoti shuleni kuanza kidato cha kwanza tangu shule zilipofunguliwa januari 8 mwaka huu inatajwa kuwa…

16 February 2024, 15:31

uwepo wa masoko ya uhakika kutatua changamoto za wakulima

Wakulima Katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, wameiomba Serikali kusaidia upatikanaji wa soko la uhakika la kuuza mazao ya mahindi na maharage, kufuatia ongezeko kubwa la uzalishaji wa mazao hayo, ikiwa ni baada ya kupatiwa mbinu za uzalishaji…

14 February 2024, 11:47

Watoto 61,545 kupatiwa chanjo ya surua rubella Kibondo

Watoto kuanza kupatiwa chanjo ya surua na rubela ikiwa ni mkakati wa serikali wa kuhakikisha wanadhibiti ugonjwa huo kwa watoto nchini. Na James Jovin Wizara ya afya imelenga kutoa chanjo ya Surua Rubella kwa watoto wapatao 61,545 wenye umri chini…

13 February 2024, 11:36

Makala: Redio inavyomkomboa mwananchi Kigoma

Katika kuangazia siku ya redio duniani wananchi na wadau mbalimbali wamehusika katika kuzungumzia umuhimu wa redio katika jamii. Ikumbukwe kuwa kauli mbiu mwaka 2024 ni ”Redio: Karne ya kufahamisha, kuburudisha na kuelimisha” ”Inaangazia mambo mengi ya zamani, yanayofaa ya sasa…