Joy FM
Joy FM
5 May 2025, 15:17
Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imevuka lengo la ukasanyaji wa mapato ya ndani kwa asilimia 102. Na Hagai Ruyagila Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma limempongeza Mkurugenzi wa halmashauri hiyo Mwl, Vumilia Simbeye kwa…
5 May 2025, 13:01
Serikali imekabidhi msaada wa vitumbalimbali kwa waathirika wa mafuriko eneo la Katubuka Manispaa ya Kiagoma Ujiji. Na Emmanuel Senny Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma kwa…
5 May 2025, 12:28
Viongozi wa Serikali za mitaa na vijiji wametakiwa kusaidia kuwaelesha wananchi juu ya usalama katika maeneo yao Na Hagai Ruyagila-Kasulu Madiwani wa halmashauri ya Mji wa Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kutoa elimu ya usalama katika maeneo yao hii ni…
2 May 2025, 13:05
Mratibu wa shirikisho wa vyama vya wafanyakazi ameomba Serikali kufanyia marekebisho sheria ya utumishi wa umma ili kuondoa mkanganyiko. Na Hagai Ruyagila – Kakonko Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye,…
30 April 2025, 14:40
Zoezi la uboreshaji wa daftari la mpiga kura awamu ya pili linatarajia kuanza mei mosi. Na Emmanuel Kamangu Mawakala wa vyama vya siasa wametakiwa kufuata sheria na taratibu katika vituo vya uandikishaji wakati wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la…
29 April 2025, 14:54
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na mashirik mbalimbali kwa ajili ya kuboresha huduma za elimu Mkoani Kigoma. Na Sadiki Kibwana Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Mohammed Chuachua amegawa vifaa vya sayansi kwa shule za sekondari Mkoa wa Kigoma vyenye…
28 April 2025, 14:56
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali katika kuhakikisha tatizo la utapiamlo linaisha kwa watoto. Na Josephine Kiravu Watoto wenye umri chini miaka 5 wapatao 14 ambao wamegundulika kuwa na utapiamlo wamepatiwa dawa lishe ikiwemo maziwa na karanga vyenye thamani…
24 April 2025, 16:00
Wakati mvua ikiendelea kunyesha na kuathiri miundombinu na makazi ya watu katika eneo la Katubuka Manispaa ya Kigoma Ujiji, Baraza la madiwani limeomba juhudi za haraka kuchukuliwa ili kuwasaidia wananchi ambao wameathirika na mafuriko. Na Orida Sayon Baraza la madiwani…
24 April 2025, 12:33
Tume huru ya Taifa imeendelea kusimamia ugawanyaji wa majimbo yalikuwa yanaonekana makubwa na hivyo kugawanywa ili kuweza kusogeza huduma kwa wananchi Na Lucaa Hoha Wadau wa uchaguzi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wamepitisha muhtasari kutoka tume huru…
21 April 2025, 11:32
Mabadiriko ya tabianchi yamepelekea mvua nyingi kunyesha katika maeneo mbalimbali ambapo mwaka 2023, zilisababisha nyumba zaidi ya mia moja sabini, kuvamiwa na maji huku zikiacha madhara na mwaka huu zimesababisha vifo vya watoto wawili Na Kadislaus Ezekiel Mvua Zinazoendela Kunyesha Mkoani…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.