Joy FM

Recent posts

30 June 2025, 14:37

Jamii yatakiwa kufanya usafi mara kwa mara Kasulu

Jamii imeshauriwa kuzingatia suala la utunzaji wa mazingira ili kuhakikisha maeneo yao yanakuwa safi na kudhibiti magonjwa ya mlipuko. Na Hagai Ruyagila Halmashauri ya Mji wa Kasulu imezindua rasmi programu ya usafi wa mazingira kwa lengo la kuhamasisha jamii kuwa…

26 June 2025, 16:12

Jamii imeaswa kutowaficha watoto wenye ulemavu

Ulemavu ni hali ya kuwa na hitilafu ya kudumu mwilini au akilini, inayomzuia mtu kutekeleza shughuli fulani katika maisha yake tofauti na watu wengine lakini watu wenye ulemavu wakiwekewa mazingira rafiki kulingana na hitilafu zao wanaweza kutimiza majukumu yao kama…

24 June 2025, 15:52

Wahitimu VETA Kasulu watakiwa kuwa wabunifu

Serikali na wadau wa maendeleo wameendelea kuwahimiza vijana kuwa wabunifu ili waweze kujiajiri kupitia bunifu mbalimbali. Na Hagai Ruyagila Wahitimu wa mafunzo ya ushonaji wa vazi maalumu la kulinia asali na teknolojia ya umeme jua katika chuo cha Veta Kasulu…

24 June 2025, 12:05

Uzalishaji wa maziwa kwa wafugaji bado hafifu Kigoma

Wananchi wametakiwa kuzingatia unywaji wa maziwa safi na salama kwa ajili ya afya yao. Na Orida Sayon Ukosefu wa elimu kuhusu afya ya mifugo imetajwa kuwa changamoto ya uzalishaji wa mazao ya maziwa katika halimashauri za wilaya za Kigoma, Buhigwe,…

23 June 2025, 13:20

Vijana, wanawake, ulemavu wapewa mil. 800 Kasulu

Halamshauri ya Wilaya ya Kasulu imekabidhi hundi ya zaidi ya shilingi milioni 800 kwa vijana, wanawake  na watu wenye ulemavu katika robo ya tatu na nne ya January hadi june 2024/2025. Akiwakabidhi hundi hiyo mgeni rasmi wa hafla hiyo, Mbunge…

18 June 2025, 15:36

Wakristo waaswa kushiriki na kuombea uchaguzi

Kuelekea uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi oktoba mwaka huu, Wakristo wametakiwa kuendelea kuombea amani na utulivu Na Hagai Ruyagila Waumini wa dini ya Kikristo wametakiwa kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kwa kuchukua fomu za kugombea nafasi…

14 June 2025, 10:08

Wanaouza vyandarua nje ya nchi kuchukuliwa hatua

Serikali imesisitiza wananchi kutumia vyandarua kwa matumizi yaliyokusudiwa ili waweze kujikinga na ugonjwa wa Malaria Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu, amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama wilayani humo kuhakikisha vinafuatilia na kubaini wananchi wanaouza…

13 June 2025, 17:03

Serikali kuboresha sera na sheria kwa wenye ualbino

Serikali kuendelea kuboresha sera na sheria kuhusu watu wenye ualbino nchini. Na Kadislaus Ezekiel Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, amesema Serikali itaendelea kuchukua hatua mahususi kuboresha mifumo ya Kisera na sheria katika kuboresha huduma…

9 June 2025, 16:30

Jamii yatakiwa kuwalinda watu wenye ualbino dhidi ya ukatili

Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kuwalinda dhidi ya vitendo vya ukatili watu wenye ualbino huku wakitakiwa pia kuondokana na imani potofu za kishirikina kuhusu watu hao. Na Josephine Kiravu June 13 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya uelewa…

4 June 2025, 15:59

Wanahabari wanawake na rushwa ya ngono

Rushwa ya ngono ndani ya vyombo vya habari, hujumuisha kubadilishana tendo la ngono na ajira, au tendo la ngono na uhakika wa usalama wa kazi na wakati mwingine upendeleo katika kuchapishwa kwa habari. Utafiti uliochapishwa mwaka 2022 na Shirika la…

Radio JOY Profile

Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like

building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.

Missions

  • To be a voice to the voiceless
  • To influence behavior change from bad character to good character
  • To inspire Kigoma society to participate in development activities.
  • To create an awareness of local interests, views and cultures
  • To be a bridge of communication between government and society.

Visions

  • To bring Kigoma society together
  • To facilitate the sharing of information in Kigoma society.
  • To become a local radio that connects all people from different cultures to share their ideas and lifestyles.
  • To implement sustainable radio programs that improve access to information, and opportunity, and participate in and contribute to all aspects of life.

The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.

Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.