Joy FM
Joy FM
18 August 2025, 08:08
Kuanza kwa ujenzi wa Reli na kukamilika kwake kutasaidia kufungua fursa kwa wananchi wetu ambao wataweza kutoka Burundi hadi Dar es Salaam ndani ya siku moja pamoja na usafirishaji wa mizigo ambapo hivi sasa, lori linatumia saa 96 kutoka Dar…
14 August 2025, 13:22
Kampuni ya DongFang Electric (DEC) imefanikiwa kuchepusha maji ya mto Malagarasi katika eneo la Igamba kijiji cha Mwamila wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ili kuanza ujenzi wa tuta la bwawa la kuzalisha umeme kutoka Mto Malagarasi. Na Orida Sayon Mkurugenzi…
13 August 2025, 15:57
Kuelekea uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais, Waandishi wa habari Mkoani Kigoma wamepewa mafunzo ya usalama kazini hasa kipindi cha uchaguzi N a Josephine Kiravu Wanahabari Mkoani Kigoma wamepatiwa mafunzo ya namna ya kujilinda wakati wa utekelezaji wa majukumu…
13 August 2025, 15:29
Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuendelea kutoa taarifa na ushirikiano pindi matukio ya ukatili yanapotokea ili hatua zaidi ziweze kuchukuliwa. Na Emmanuel Kamangu Mabaraza ya watoto Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma yametajwa kuwa chachu ya kupungua kwa matukio ya ukatili…
13 August 2025, 09:59
Mkuu wa Wilaya Uvinza Mkoani Kigoma Mh. Dinnah Mathaman ameagiza TEMESA kufanya ukarabati wa kivuko cha Ilagala ili kurejesha usafiri kwa wananchi ambao hutegemea usafiri huo kwenda katika shughuli mbalimbali za kijamii. Na Kadislaus Ezekiel Wananchi wa Kata nane wa…
12 August 2025, 11:20
Kuelekea uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais, wakristo wameaswa kuendelea kuombea uchaguzi huo ili uweze kufayika kwa amani na utulivu Na Hagai Ruyagila Waumini wa Dini ya Kikristo katika Wilaya ya Kasulu, Mkoani Kigoma, wametakiwa kuendelea kuliombea taifa la…
7 August 2025, 16:13
Msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la Kasulu Mji Nurfus Aziz ametoa maelekezo kwa wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha wanafuata miongozi ya Tume ya uchaguzi Na Hagai Ruyagila Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata katika Halmashauri ya Mji…
7 August 2025, 11:26
Siku chache baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa kwanza katika uchaguzi wa kura za maoni, Mgombea ubunge katika Jimbo la Kigoma Mjiji Kirumbe Ng’enda ametoka hadharani na kuwashukuru wajumbe na kuweka wazi kilichompa ushindi huo Na Tryphone Odace Mgombe ubunge…
6 August 2025, 14:49
Katika jamii nyingi duniani, nafasi ya mwanamke katika uongozi imekuwa ikipata msukumo mpya kadri jamii zinavobadilika kuelekea usawa wa kinjinsia. Pamoja na juhudi zinazofanywa na serikali na mashirika ya kiraia, familia ni muhimili mkuu wa katika safari ya mwanamke kuelekea…
6 August 2025, 13:43
Neema yawashukia wamiliki na madereva wa pikipiki baada ya Serikali kueleza kuwa imeondoa kodi kwa vyombo hivyo Na Timotheo Leonard Serikali imeondoa kodi ya mapato ya shilingi laki moja na elfu ishirini kwa mwaka kwa vyombo vya pikipiki maarufu kama…
Radio JOY 90.5 FM Kigoma is the community radio station broadcasting in Kigoma, which JOY owns IN THE HARVEST organization. We started full Broadcasting in February 2016. Radio JOY FM provides information that caters to the interest of the Kigoma region, Radio Joy broadcasts content that is popular to a local audience community. Radio Joy Fm carries news and information programming geared toward the local area, particularly where other media cannot reach the area and minority groups that are poorly served by other major media outlets. Radio joy as a platform to enable participation of communities in developing activities like
building schools, hospitals and influencing behavior change. We produce programs like Good morning Kigoma, “Harakati za Vijana”, Mashua, “Dimba la Michezo”, East Africa Show, Lunch Time and so on, to keep the value, languages and cultures of Kigoma Society alive on a daily basis. Radio Joy Fm Kigoma work as a means to promote values of access to education, economic and social justice, against class, gender, race, and caste based violence, and transparency in governance.
Missions
Visions
The Owner – The organization owns Radio JOY FM, Kigoma, called Joy in the Harvest, which has been in Kigoma for more than twenty-five years; Radio Joy has a special emphasis on helping the poor, the disabled, and the disadvantaged through the program we produce. Not only that but also we are glad to be part of something big, through the programs Radio Joy producing is able to bring positive change to the Kigoma community.
Radio JOY Location – Radio JOY 90.5 Fm Kigoma, has studios located on Kibirizi Road, Kigoma Town. We are just very few kilometers from Kigoma Railway Station. Our broadcast tower is located on the highest point in the area.